Kitchener
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 13,823
- 27,695
wajifunze kwa ule mgahawa wa korogwe. space kubwa, vyoo vipo mbali, pasafi.Duuh bora ununue biskuti na soda yako..dar sio mbali mpk ule mi wali au michips mchemsho
wajifunze kwa ule mgahawa wa korogwe. space kubwa, vyoo vipo mbali, pasafi.Duuh bora ununue biskuti na soda yako..dar sio mbali mpk ule mi wali au michips mchemsho
Tuna ushamba wa safari.Duuh bora ununue biskuti na soda yako..dar sio mbali mpk ule mi wali au michips mchemsho
Waione hii commentwajifunze kwa ule mgahawa wa korogwe. space kubwa, vyoo vipo mbali, pasafi.
ukimix na mayai ya kuchemsha itapendeza zaidi!Sili njian hata iweje. Ni mahind tu na karanga
Nikifika ndio naingia sehem nakula
Hahahhhahahhaha ni prakataprakataaa taaaataaataaaTuna ushamba wa safari.
Kila kiuzwacho tunataka tule.
Apple, korosho, machungwa, karanga, zabibu na tukifika htelini tunataka kukuchips, tukifika chalinze korosho yani mu anafika ugenini akingia chooni nyumba nzima inanuka.
Watanzania tujifunze kuchukuwa hatua. Dunia hii hakuna mtu wa kukuonea huruma kama hujui kupigania haki yako.Mnatuleta kwenye migahawa ya ghali sana kwa huduma za chakula, au mnataka turudi kwenye Zama za kusafiri huku tumebeba mikate na soda?
Umeuziwa hotel gani, na ni chakula gani hicho cha ghali ndugu mpaka umekuja kulalamika humu jukwaani!Dom-Dar mkuu
unakulaje safarini aiseeMnatuleta kwenye migahawa ya ghali sana kwa huduma za chakula, au mnataka turudi kwenye Zama za kusafiri huku tumebeba mikate na soda?
hebu imagine, mabasi yanasimama pale morogoro msamvu sio chini ya 10 kwa wakati mmoja hadi watu huwa wanachanganya mabasi, yakiondoka mengine yamefika asubuhi hadi jioni, pako overcrowded mno, na pamebanana na vyoo hapohapo, vyakula havipo mbali na choo, nnzi akitoka chooni hata hahangaiki kwenda mbali kugusa msosi. afu mtu chakula cha buku mia tano anakuuzia 8000. soda pale ni 2000 na sidhani kama wanatoa kodi, manake huwa hawatoi risiti ya EFD unakula tu kwa coupon yao ile, kweli mtu aniuzie soda ya 1000 kwa 2000 na asinipe risidi ya efd? serikali ichunguze pale ama la na TRA nao wana mgao wao pale pamoja na madereva. TRA Mpo wapi? hela kiasi gani inaingizwa pale kichafuchafu tu au na yule mmemkadiria kama ni mama ntilie? analipa kodi? anatoa risiti manake ile biashara yake sio ndogo, ile inaingiza si chini ya 400m kwa mwaka anastahili atoe risiti kama kwenye migahawa mikubwa tu.kama safari ndefu mimi huwa nabeba msosi,mazaa anakaanga mihogo na nyama natoboa.kama safari fupi navumilia ni maji tu.
Hapo mwambao ni noma kwa misosi yake aisee...panajaa mnooo...ni kweli risiti ni efd...hebu imagine, mabasi yanasimama pale morogoro msamvu sio chini ya 10 kwa wakati mmoja hadi watu huwa wanachanganya mabasi, yakiondoka mengine yamefika asubuhi hadi jioni, pako overcrowded mno, na pamebanana na vyoo hapohapo, vyakula havipo mbali na choo, nnzi akitoka chooni hata hahangaiki kwenda mbali kugusa msosi. afu mtu chakula cha buku mia tano anakuuzia 8000. soda pale ni 2000 na sidhani kama wanatoa kodi, manake huwa hawatoi risiti ya EFD unakula tu kwa coupon yao ile, kweli mtu aniuzie soda ya 1000 kwa 2000 na asinipe risidi ya efd? serikali ichunguze pale ama la na TRA nao wana mgao wao pale pamoja na madereva. TRA Mpo wapi? hela kiasi gani inaingizwa pale kichafuchafu tu au na yule mmemkadiria kama ni mama ntilie? analipa kodi? anatoa risiti manake ile biashara yake sio ndogo, ile inaingiza si chini ya 400m kwa mwaka anastahili atoe risiti kama kwenye migahawa mikubwa tu.
kuna siku nilienda Dodoma pale kati kuna mgahawa wa Chef Asil na Mwambao, pana jaa na pasafi sana, wanakuletea risiti ya EFD kabisa tena kwa chakula hata kama ni cha 6000 au 7000. hapo morogoro tunatozwa 8000 hadi 10,000 na hakuna EFD receipt.
janabi si alidakwa anapiga chapati mbili na soda yule, huyo ni kichekesho kama walivyo kina chalamila n.k, akisema kitu jua ni liTiss fulani limetumwa kuvuruga akili za watu mpoteze muda kumjadili wakati maccm wanafyonza pesa zenu.Prof Janabi akiona mnalalamika kukaa masaa 8 bila kula anafyonza tuu huko...
hawatoi, unalipa kwa coupon yao tu inayokutambulisha aina ya chakula, wali nyama pale unapigwa 7000 au 8000 na hakuna risiti, wakati nikienda migahawa bora mjini chakula cha bei hiyo unapata risiti ya efd. TRA mnajulikana mkitaka kumkadiria mtu mnaangalia kama kwa mwaka ataingiza si chini ya 100m au 400 m kama sikosei, lazima atumie efd. sasa tuambieni, huyo mwizi wa pesa hapo mgahawa wa morogoro kwa siku wanaingiza shs. ngapi, hasa huyo mwenye bufee, wanauza tangu asubuhi hadi jioni, utakuta wamekadiriwa kuwa ni machinga, ila kwa siku hapo wanaingiza milioninyingi tu, kwa wiki, kwa mwezi, kwa mwaka hawafikishi 100m hao? watoe risiti za efd, pia waamrishwe kupaweka mazingira rafiki na masafi ama la pafungwe.Hapo mwambao ni noma kwa misosi yake aisee...panajaa mnooo...ni kweli risiti ni efd...
yule nae hana lolote mlalamishi tu.Prof Janabi akiona mnalalamika kukaa masaa 8 bila kula anafyonza tuu huko...
Hapo kwny ulalamishi nimecheka balaayule nae hana lolote mlalamishi tu.
Siku ukipelekwa Muhimbili hospital, siku bibie amekupa mzigo mashine haifanyi kazi, Kisukari kimepanda unatamani uikamate uingize kwa mkono utam'kumbuka Dokta Janabi.yule nae hana lolote mlalamishi tu.