Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,099
- 24,338
tuna tatizo la umeme, hatuna sukari, hatuna maji , mafuta hakuna, haya binafsi hapa jukwaani hayana maana.Unatumia private jet? Safari za ardhini unatumia free ride imeandikwa J
tuna tatizo la umeme, hatuna sukari, hatuna maji , mafuta hakuna, haya binafsi hapa jukwaani hayana maana.Unatumia private jet? Safari za ardhini unatumia free ride imeandikwa J
Wewe ndio umeleta mambo yako binafsi kuwa hujatumia public transport since 2009, Je hata ndege unatumia private jet?tuna tatizo la umeme, hatuna sukari, hatuna maji , mafuta hakuna, haya binafsi hapa jukwaani hayana maana.
nimeona hujui maana na public na sipo tayari kukufumbua macho.Wewe ndio umeleta mambo yako binafsi kuwa hujatumia public transport since 2009, Je hata ndege unatumia private jet?
Alifika kweli?? Maana huo mchanganyiko kama sio ngozi ngumu yetu hautoboi...au mzungu pori huyo..Kuna siku niko kwenye dar express tukapelekwa pale mombo. Binafsi safarini nakula vyakula vikavu tu (nyama choma, chips au ndizi za kukaanga) nje ya hapo ni bites tu.
Nikawa na mzungu flani klwa rangi ya ngozi yake ) kwenye seat ya pembeni. Kufika pale jamaa akanunua wali maharage, wakamjazia na kisanvu mchuzi mwingi, akachukua na sharubati ya parachichi (imewekewa kwenye chupa ya maji) Akaja kula ndani ya gari daaah siku ile ndio niligundua kuna watu wana roho ngumu.
Ni mzungu kwa rangi ya ngozi tu. Alishukia njiani sijui kama alitoboa salama.Alifika kweli?? Maana huo mchanganyiko kama sio ngozi ngumu yetu hautoboi...au mzungu pori huyo..
Rafiki, wewe huli chochote hata kama safari ni ndefu?Mi nawashangaa wanaokula njiani aise
Niko mjini kabla huzaliwa pimbi wee. Njoo Ubungo Kibo utanikutaDodoma umeondoka saa sita,amuda wa chakula cha mchana unafika upo morogoro, mbona rahisi tu? halafu, kama wewe huli, usifikiri na wenzako hawali, maisha yako sio ya wengine, unaposafiri sio kwamba unatakiwa ujiteseee, usileeee ili uonekane umesafiri, unaweza kuinjoy mambo mbalimbali kama vile misosi misafi pia. nyie watu mmekuja mjini juzi ninyi mnasumbua sana.
Hahaha hapo itakuwa ndugu yetu alijisahau kidogo au labda safari zake ni barabarani tu hatuwezi jua, ila kwa mtu ambaye safari zake anamix na angani na majini wengi ni ngumu kukwepa public transport kwa miaka yote hiyo, wachache wanaomudu private mara kwa maraHana hela ya kutumia private jet muda wote. Hajui kuwa hata atcl,emirates na wenzie ni public transport.
Hata commercial airlines nazo mbona ni public transport mkuunimeona hujui maana na public na sipo tayari kukufumbua macho.
sasa mbona bado mshamba aisee na umekaa mjini, tukusaidieje sasa?Niko mjini kabla huzaliwa pimbi wee. Njoo Ubungo Kibo utanikuta
Mahindi ya kuchomwa yanayouzwa dirishani yanakuwa yameshikwashikwa na watu wengi sana.Sili njian hata iweje. Ni mahind tu na karanga
Nikifika ndio naingia sehem nakula
Wanunuzi wa vyakula vya Hotel nzuri wapo?vyakula vya pale morogoro ni vichafu ukila ukiona haujaugua tumbo shukuru Mungu, space ndogo, na sio mbali na chooni, hivi hata mabwana afya huwa hawapaoni pale?
Usimamizi nao mbovu, Hizi Hotel za njiani wanazouza vyakula karibu kabisa na vyoo vya abiria ni kwa sababu ya kutowajibika tu kwa idara za afya.wao kama ni madereva, wanakuwa na kamisheni kwanza ya chakula bure na pili ya pesa. sasa mwenye mabasi sijui kama analijua hilo. kiukweli inakera mno mno. unaweza kusafiri na mtoto mimi naweza nisile ila mtoto unatamani umnunulie kitu cha kutafuna hata kama kidogo, shida sasa unaogopa mtoto asije kuugua tumbo. watu wamejazana kama mtaa wa congo, choo haipo mbali, watu wote wanaotoka chooni na mimaji waliyokanyaga kule chooni wanapita na kukanyaga karibu na vyakula, watu wenyewe wa morogoro wanatawadhaga bila kunawa na sabuni hao.
Hapa Mahali magari mengi yanapapenda ila ni pabovu sana, nafikiri ni sehemu pia huwa wanapata abiria wengi wa kupakia na kusafiriI think ndio wametuleta hapa Leo. Kwa nje si kuna kina mama kibao wanauza ndizi na machungwa? Imebidi ninunue tu ndizi kisukari za buku mbili na maji ya kunywa. Imagine ka robo kuku elfu sita, kuku mwenyewe si kuku sijui njiwa
hebu imagine, mabasi yanasimama pale morogoro msamvu sio chini ya 10 kwa wakati mmoja hadi watu huwa wanachanganya mabasi, yakiondoka mengine yamefika asubuhi hadi jioni, pako overcrowded mno, na pamebanana na vyoo hapohapo, vyakula havipo mbali na choo, nnzi akitoka chooni hata hahangaiki kwenda mbali kugusa msosi. afu mtu chakula cha buku mia tano anakuuzia 8000. soda pale ni 2000 na sidhani kama wanatoa kodi, manake huwa hawatoi risiti ya EFD unakula tu kwa coupon yao ile, kweli mtu aniuzie soda ya 1000 kwa 2000 na asinipe risidi ya efd? serikali ichunguze pale ama la na TRA nao wana mgao wao pale pamoja na madereva. TRA Mpo wapi? hela kiasi gani inaingizwa pale kichafuchafu tu au na yule mmemkadiria kama ni mama ntilie? analipa kodi? anatoa risiti manake ile biashara yake sio ndogo, ile inaingiza si chini ya 400m kwa mwaka anastahili atoe risiti kama kwenye migahawa mikubwa tu.
kuna siku nilienda Dodoma pale kati kuna mgahawa wa Chef Asil na Mwambao, pana jaa na pasafi sana, wanakuletea risiti ya EFD kabisa tena kwa chakula hata kama ni cha 6000 au 7000. hapo morogoro tunatozwa 8000 hadi 10,000 na hakuna EFD receipt.
Unajua kwenye hizo safari kuna watoto, kuna watu wanatumia dawa na kuna wengine wameanza safari hata chai hawajanywa??Tatizo wabongo pia tunapenda sana kupoteza muda na kulakula hovyo. Safari ya Dodoma ilipaswa iwe kushusha tu abiria na kupakia na sio kusimama kula. Hata safari ya Arusha ilipaswa kuwa hivyo. Angalau Dar - Mwanza, Dar - Sumbawanga, Dar - Kigoma, Dar - Songea, Dar - Bukoba ndo kuna ulazima wa watu kusimama kula.
Sio rahisi kupata chakula kizuri sehemu safi kwa bei rahisi ya wanyonge, vizuri gharama.Ulishawahi kupanda ABC upper class?
Na wenyewe sio poa sijui wanadhani abiria wote ni matajiri
Kweli kabisakuna mgahawa mmoja wa ajabu upo pale morogoro msamvu aisee, chakula kichafu, wanauza chakula cha 1500 kwa shs.8000, hata chakula cha mamantilie ni kuzuri afu wana customer care mbovu, ajabu sana. bora hata pale pa zamani.