SGS na ALS wamekuja kusema wa makinikia

yani wewe unafikiria international business zinaoperate kama vile kkoo ilo ndo tatizo lako
na sijui unajua nini kuhusu international business operations
na sijui una exposure yoyote kuhusu mineral industry duniani linaweza kua sio tatizo lako labda ni umizuka, ujuaji, maarifa nusu na udumavu, naomba usinichukulie kama nakutukana lakini ndio ukweli wenyewe.
kwanini makampuni yanakua na independent laboratory kwenye kazi zao, lengo ni kupata exactly data ya kitu kinachotakiwa, ndani ya makampuni kuna maabara zao akini aziwi validy hadi maabara zinginge independent laboratory ku verify content na hapo ni kujiridhisha kama kiwango husika cha mzigo hakizidi wala akipungui hii ni kutokana na standards za mteja wake ambae anaweza kua kampuni x basically inajikita kwa kuchenjua makanikia
kama umewahi kufanya kazi japo agency yyt ya kimataifa au kampuni za bishara za imataifa au supermarket utaelewa kwa nini watu wana dought ratio ya samples na result zilizotolewa na ma prof wetu
kila mzigo/packaged una kua proved kila mahala hadi kupata kiwango knachotakiwa, yan maabara za uku zina prove kiwango kilichopo na taarifa zinatumwa, maabara za uko nje nazo zinaverify ili kuepuka kupata loss ama fraud katika kazi zao.
kampuni ndogo ya kuuza mazbibu ya africa kusini inaoperate kiasi kwamba huwezi kuba hata zabibu moja sembuse dhahabu na makanikia
siasa katika professional ndo mazara yake haya
mtu anatoa findings kila mtu anambishia sabu hata kwa wasio na elimu wanajua huo ni uongo
mnachotaka kutuaminisha ni kwamba mzungu alivunjavunja dhahabu ili asilipe kodi na ii akifika ulaya akapate dhahabu nyingi, na faida kubwa. yani mtu ambae 95 percent ni yake bado aibe kwenye 4% tena 0.4 % ya makanikia
cant make sense
ni wajinga tuu ndo watakubali upuuzi huu
yani hueleweki!!!unasupport argument yangu au unaipinga...kwanza hata hukuelewa nilichoandika!!!take a deep breath and go back to my comment,may be,and only may be you might grasp something
 
Kumbuka ACACIA wameomba huo uchunguzi urudiwe kwa kutumia huo huo mchanga uliko kwenye makontena lakini mpaka sasa serikali inaonekana haiko tayari.Swali ni je,wanahofia nini?


Tupe huo ushahidi kuwa wameomba kuwa Uchunguzi Urudiwe? Pia Kumbuka these people they have never been Loyal to any citzen of this Country. Ukitaka Kujua Mfano halisi nenda Mikoa ambayo hayo Madini yanafanyiwa You will understand.
 
Kama mnataka kuijua vizuri SGS angalia sakata la uchafuzi wa mazingira mto tighite kule mkoani Mara data zote zilikuwa safi kwa maana hamna pollution kwenye mto watu waliathirika na wanaharakati kupiga kelele mwisho wake u kweli ulijulikana na walijenga mtambo wa katibu maji kabla ya kutumia. Hawa jamaa wanamahusiano makubwa na hii migodi na wameletwa nchini kutu fool. Dawa ya serikali ni kuanzisha maabara yake ya kisasa na kizalendo kufanya hizi kazi
 
Upo sahihi. Ni pale tu Sampuli zitakazochukuliwa kutoka kwenye makontena yaliyozuiliwa kwa pamoja na pande hizi mbili ndipo itajulikana nani ni msema ukweli.
Prof Mruma alieleza jinsi walivyochukua sampuli. ACACIA hawajaeleza walivyochukua sampuli zao na kimsingi hapakuwa na haja ya kufanya hivyo. Njia sasa ilikuwa ni kuomba upimaji wa pamoja kati ya Serikali na wao. Vipimo vyao tayari vilikuwepo kulikuwa na sababu gani ya kupima tena?!
yani hata kwa analysisi yako prof mruma anaonekana kafanya innovation na sio analysisi kwenye uo mchanga
difference ya 3-5-7 ingekuwa valid lakini hii yake ya 24 to 40 kg kwa kweli inatia mashaka
ongezeko la asilimia 600% had elfu 10 sio jambo la kukubali kilahisi
ndo mana tunasema kuwe na free testing apo
afu watu wanazani watanzania tunapingana na raisi sijui so wazalendo sijui nini
apa watanzania tunapingana na uongo natural evil, yani tunataka kujua ukweli ni nini au kuna maslahi gani katika mgogoro huu
pia utafiti wa prof mruma ndio haswaa unaoleta mgogoro na makadilio ya madeni ya kamati ya prf osolo ndo sheedah
na kama itagundulika walidanganya je walifanya ayo kwa maslahi ya nani
 
Cha muhimu tuendelee kujuzwa mchakato mzima hatua kwa hatua pale white house mubashara, kama ilivyokuwa kwa ripoti mbili zilizopita mpaka kupatikana kwa noah zetu
mkuu umesahau sikuile uliambiwa kuna meli 30 kumbe ziko 13 hii inaitwa jazwa ujazwe kupatwa kwa noah huku
ee noah tunakulilia wanao
 
Science ni msema kweli Prof amebobea Elimu ya mamba usijali hata wakirudi kama hawatatumia lab, za Tmaa na SGS majibu yatakuwa kama ya Prof ila wakitumia hizo lab, majibu kama yao Maabara zote mbili walijenga na kufanya installation ya vifaa wakati WA Alex and Stuart gold assayer analetwa na yona na mramba
Hilo siyo tatizo sana maana machine za kupimia huwa zinafanyiwa calibration na zinaweza kutofautiana kwa jinsi ya itendaji lakini matokeo ya upimaji tofauti zake huwa ni chini ya 1% pungufu au zaidi.
ACACIA kama wana shaka na majibu wakubali kufanya vipimo kwa pamoja na Kamati kwenye maabara yoyote duniani ili kujiridhisha.
Matokeo ya upimaji yanaweza kutofautiani kwa kiasi kikubwa sana kutegemeana na uandaaji wa sampuli. Mtu anaweza kutengeneza matokeo anayoyataka kwa jinsi ya kuandaa Sampuli. Ndiyo maana kwenye utafiti maarifa ya jinsi kuandaa Sampuli hutiliwa mkazo sana. Ukichukua Sampuli vibaya haitakupa sura halisi ya kile ulichokuwa unataka kukifanyia utafiti au kukichunguza.
 
Kumbuka lengo ilikuwa kutaka kujua nini siri ya Kusafirisha Mchanga Nje, so we wanted to know the truth..... and We have knew the truth. Whether ipo kwa contract on not what we wanted is no tell Tanzania and the whole world kuwa kinachopelekwa Nje siyo Mchanga as we used to be told. Pia siyo kweli kuwa ratio za payable meneral zinazosemwa kwenye huo mchanga kuwa ni ndogo kama wanavyoadvocate. Pia siyo kweli other mineral are of the threshhold kiasi kwamba haya thamani as we used to be told as well.

Hicho ndicho we wanted to know na Dunia kwa Ujumla kujua. Sasa tumemshika Mchawi wasiwasi wetu nini are not still believing to this still???
Ukweli gani unoujua unajijaza upumbavu tu usiletee story zako za kuzania zania
 
Kuwatumia hao SGS sio kwa sababu ya kubishana na sisi wao wanaangalia mbele zaidi.

Umeombwa ripoti yako kuona umetumia njia gani kufikia hitimisho lako umekataa

Umeombwa kurudia tena kwa ushiriki wako na wao umekataa

Unatumia findings za ripoti ya kwanza ambazo hazina credibility kujenga arguments zako kwenye ripoti ya pili

Unataka watu waje mezani mjadiliane kwa kutumia findings zako (uko sasa ndio kuishi kwenye dunia yako)

Iwapo huu mgogoro utashindwa kutatuliwa kwa njia za kidiplomasia hizo taasisi ndio zinatambulika kama independent adjudicators with the knowledge on the sector unless Tanzania itoe ushirikiano wa kuthibitisha inachosema vinginevyo mpaka tunafika kwenye international arbitration kama serikari imedhamiria liwalo na liwe watasikilizwa wao sio ripoti ya Mruma or the other professor.

Na tukifika huko tukashindwa kesi tutasema mahakama zinapendelea wazungu wakati clearly sisi wenyewe ndio tunaojitafutia matatizo. Serikari ikae chini kujipanga kuangalia wapi kuna mapungufu ya mikataba kurekebisha ili twende mbele kwa usawa wa pande mbili sio hizi hadithi za kulazimisha vitu ambavyo havipo.
 
Kwa uelewa wangu wa hizi kampuni kubwa ukiona wamejiamini kuweka data public hivi ujue wanajua wanachokifanya. Kampuni yenye employees 90,000 si kampuni ya kitoto hivyo rahisi ku-present forged figures. Unless, hizo barua zisiwe za kwao.
Mkuu huku duniani wenye elimu na utaalamu ndiyo wanaowanyonya wasikuwa na hiyo taalumu. Hatuwezi kuwaamini sifa yao tu. Kama wapo sahihi au sulihisho ni kufanya vipimo vya pamoja. Kuna kitu kinaitwa kupika ( to cook data) hivyo hizo takwimu zao zisikusumbue sana.
Waje mezani kufanyike upimaji wa pamoja
 
Mkuu huku duniani wenye elimu na utaalamu ndiyo wanaowanyonya wasikuwa na hiyo taalumu. Hatuwezi kuwaamini sifa yao tu. Kama wapo sahihi au sulihisho ni kufanya vipimo vya pamoja. Kuna kitu kinaitwa kupika ( to cook data) hivyo hizo takwimu zao zisikusumbue sana.
Waje mezani kufanyike upimaji wa pamoja
Wewe kwa uelewa wako unadhani kati ya Acacia au Barrick na Microsoft ya Bill Gates ipi kampuni inayotengeneza faida kubwa? Hizi Barrick na ACACIA zinaweza kupika figure lakini si kwa factor ya 10.
 
Sisi wananchi wanyonge tunaishi kwa makombo waliyoacha CCM baada ya kuuza/kugawa/na kupora rasilimali za nchi!! Hivi ile hoteli ya mkapa kule south Africa bado ipo? Nayo ina kinga ya kutotaifishwa? Hivi hadi leo hii serikali imeshapata clue ya mmiliki HASA wa Richmond/Dowans/Symbion?? Maana last time niliwaona hao viongozi wa serikali ya ccm wakivutwa masikio kama mazuzu!! Mzalendo Zitto Kabwe aliposisitiza kuwa tusilipe Dowans na ikiwezekana Tuifilisi kabisa kwa kuwa kwanza imeshatuibia sana na kisha pia mmiliki wake Hajulikani! Ni hayohayo matakataka ya ccm ndiyo yaliyoipinga hoja ya zitto kwa kujua ukweli kuwa wanufaika wakuu wa malipo watakayolipwa Dowans ni maccm!! Maccm yalipiga makelele yakidai kuwa Zitto haelewi Mikataba ya kimataifa! Ooh tukiitaifisha tutashitakiwa na kulipishwa mahela Mengi!! Leo yamesahau mapovu yao wenyewe! Wanaambiwa Acacia pia wanaweza kwenda mahakamani na wakatudai mahela mengi yanataharuki! "Ooh Lissu ametumwa" hebu mutuambie ni nani aliyewatuma ninyi kuwatetea majizi Dowans? Ni lissu aliyekuwa akitetea Lugumi? Ni lini magufuli amewahi kulalamikia ccm kupora Viwanja vya michezo nchi nzima? Magufuli mzalendo ndiye huyu huyu anayemkingia kifua mkapa kwa hoja ya hovyo ya "eti Ripoti haikumtaja?"! Kwa muktadha huo tu kwa nini tusiamini kuwa ripoti iliandikwa na mtakatifu mmoja kwa hisia na matamanio yake binafsi na kisha kuwapa Mitume wake kuiinjilisha? Hakuna angle ambayo unaweza kuifananisha ccm na Uzalendo!! CCM Na UZALENDO ni kama giza na mwanga!! Penye ccm hapana uzalendo! Penye uzalendo hakuna ccm!
Hv hakuna uwezekano wa kuLike mara 5
 
Makontaina yako bandarini kibaraka wewe makontaina waliyosafirisha ni mengi kuliko waliyodeclare. Wewe tulia acha wazalendo tupiganie chetu wewe na tundu lisu nendeni mkale makombo Ya vyakula vinavyoangushwa chini na waxungu wa accacia
Tunazungumzia kiwango cha dhahabu na aina nyingine ya madini iliyopo kwenye makinikia.au mmeshageuza kibao?
 
Swala sio maabara hapa swala ni kuletewa majibu ya sampuli zilizopelekwa maabara Australia.
Mkuu samahani , hizo Sampuli zilizopelekwa Australia zilichukuliwa kutoka chanzo kipi? Kati ya hayo makontena 277 au sehemu nyingine? Hizo Sampuli zilichukuliwa kwa pamoja? Kama siyo bado hakuna suluhisho juu ya huo utata!
 
Uoga wa nini subirini ili mjifunze kuwa kusema uongo ni kitu kibaya sana. Waambieni hao maprofesa uchwara wenu waliotoa ripoti za uongo ili kuwahadaa wananchi wajiandae sasa.
 
Hao SGS hamna nilichokiona cha maana kwenye ripoti yao.
SGS wajanja wanajichomoa na wanawapima watanzania akili zao.
Hata kama wanajisifu wapo karibu nchi zote, wakiongoza katika kufanya analysis, sampling n.k n.k Bado haijatengua ripoti ya Pr Mruma kuprove alichokiona kwenye makontena.
Nianze na mfano.
Umeenda hospital unahisi kichwa kinakuuma, umemueleza dr akupime uenda una malaria, Dr akakuchukua damu bahada ya matokeo akagundua kweli una malaria.

Tanzania ni kama mgonjwa pale tunasimamiwa na TMAA, tunategemea matokeo ya sampling kutoka SGS ambae ndio kama DR, akitoa matokeo ya sample aliyochukua na TMAA ndio wanafile hiyo hiyo.(kumbuka hapo tushamwabia atupe matokeo ya copper, silver na gold.
Hapo Dr wetu SGS kashamaliza kazi yake, hana lawama, lawama zitakuja kwa tofauti ya viwango tu.

Sasa kama umeenda hospital na ukamueleza Dr mie naumwa lakini chukua damu na upime magonjwa yote. Hapo dr atakuja na majibu yote una typhod, UTI, Kaswende, gono, malaria, kichaa n.k n.k (rejea uchunguzi wa pr Mruma mchanga kapima kila content iliomo mule)
Umeona kazi ya SGS ilivyo rahisi, kama watalazimika kuzipima upya sample za nyuma ni lazima zitaleta majibu tofauti na waliyonayo kwenye ripoti na hili si kosa lao ni makubaliano ya TMAA na Accacia wapime gold, silver na copper.

Hapo SGS hana makosa, makosa yapo kwa Accacia wanakijua wanachokifanya

Angalia kuna element zingine zimefanyiwa analysis, kwenye hizo docs.
 
Hilo siyo tatizo sana maana machine za kupimia huwa zinafanyiwa calibration na zinaweza kutofautiana kwa jinsi ya itendaji lakini matokeo ya upimaji tofauti zake huwa ni chini ya 1% pungufu au zaidi.
ACACIA kama wana shaka na majibu wakubali kufanya vipimo kwa pamoja na Kamati kwenye maabara yoyote duniani ili kujiridhisha.
Matokeo ya upimaji yanaweza kutofautiani kwa kiasi kikubwa sana kutegemeana na uandaaji wa sampuli. Mtu anaweza kutengeneza matokeo anayoyataka kwa jinsi ya kuandaa Sampuli. Ndiyo maana kwenye utafiti maarifa ya jinsi kuandaa Sampuli hutiliwa mkazo sana. Ukichukua Sampuli vibaya haitakupa sura halisi ya kile ulichokuwa unataka kukifanyia utafiti au kukichunguza.
hapa ndo napopata shida mimi kiwango cha mruma ni zaidi ya akanikia, yani kutoka 4 -5 kwenda 24 to 40 jamani hata kama ww sio msomi unaweza kuiuliza ni mahesabu gani yaepigwa apo yani ni uongo wa wazi wazi. ACACIA wanajua kama walizidisha basi ni kutoka 4 had 6 na sio 4had 24 na 40 yan hapo ndipo penye shida.
deni lenyewe trillion 108 usd inakalibia budget ya marekani waka 2016 unahisi dunia imefika mwisho kwa mahesabu ya ma prof wetu
 
Mkuu samahani , hizo Sampuli zilizopelekwa Australia zilichukuliwa kutoka chanzo kipi? Kati ya hayo makontena 277 au sehemu nyingine? Hizo Sampuli zilichukuliwa kwa pamoja? Kama siyo bado hakuna suluhisho juu ya huo utata!
Maabara huwa inatunza sampuli hata kwa zaidi ya miaka 3.
 
SGS!!!!!!! Eti wa kuaminika mmmmmmmm. Time will tell. Tusubiri haraka ya nini owners wa barrik are no nonsense people. Hawawezi kubali uhuni uliochezwa kati Ya menejiment Ya accacia na wafanyakazi wahuni wa SGS na ALS kuwaibia both serikali ya Tanzania na wamiliki wa accacia. Stay tuned sasa hivi vikao ni kati ya walioibiwa wawili serikali ya Tanzania Na wamiliki ambao ni wanahisa. SGS na had ALS wasianze kuruka ruka kama chura aliyetumbukia kikaango cha mafuta ya moto watulie wasubiri walioibiwa wamalize mazungumzo yao
Wewe mijadala imeshakushinda.chukua kapu uwende shamba. Umeandika nini sasa hiki.
 
Makontaina yako bandarini kibaraka wewe makontaina waliyosafirisha ni mengi kuliko waliyodeclare. Wewe tulia acha wazalendo tupiganie chetu wewe na tundu lisu nendeni mkale makombo Ya vyakula vinavyoangushwa chini na waxungu wa accacia
Mkuu kama ni kuhusu makombo, haya makinikia ni makombo hasa yani ni 5% ya kinachoibwa.

Punguza mihemko, meza ya majadiliano inahitaji utulivu na sio hii attitude ya layman uliyonayo.
 
Back
Top Bottom