SGS na ALS wamekuja kusema wa makinikia

Tuache mawazo hasi. Kweli sampuli imetolewa bulyanhulu analysis imefanyiwa Australia nyumbani kwa wezi bado tunashabikia. Kuweni wapole hawa tunaenda nao taratibu .sampuli zitachukuliwa na zitapelekwa maabara na itakuwa man to man kwenye analysis na mtashuhudia majibu yatakayotoka.
Zitaenda maabara ipi ambayo si ya wezi?
 
Watanzania bhana
... Yaani wanatamani wazungu washinde serikali ishindwe
...Acha ujuha wako, watanzania wana hasira na hao waliotufikisha hapo kwa mikataba ya kipuuzi na ulafi wa irresponsible leaders. Yaani ujinga mfanye nyinyi kwa ufisadi wenu halafu mnatuletea stori eti serikali ishindwe. Mfano mwingine wa ulafi wenu ni pesa za escrow si mligawana mchana kweupe? Halafu mnataka tuwaite wazalendo aarrghh!!!
 
Tuache mawazo hasi. Kweli sampuli imetolewa bulyanhulu analysis imefanyiwa Australia nyumbani kwa wezi bado tunashabikia. Kuweni wapole hawa tunaenda nao taratibu .sampuli zitachukuliwa na zitapelekwa maabara na itakuwa man to man kwenye analysis na mtashuhudia majibu yatakayotoka.
Upo sahihi. Ni pale tu Sampuli zitakazochukuliwa kutoka kwenye makontena yaliyozuiliwa kwa pamoja na pande hizi mbili ndipo itajulikana nani ni msema ukweli.
Prof Mruma alieleza jinsi walivyochukua sampuli. ACACIA hawajaeleza walivyochukua sampuli zao na kimsingi hapakuwa na haja ya kufanya hivyo. Njia sasa ilikuwa ni kuomba upimaji wa pamoja kati ya Serikali na wao. Vipimo vyao tayari vilikuwepo kulikuwa na sababu gani ya kupima tena?!
 
Science ni msema kweli Prof amebobea Elimu ya mamba usijali hata wakirudi kama hawatatumia lab, za Tmaa na SGS majibu yatakuwa kama ya Prof ila wakitumia hizo lab, majibu kama yao Maabara zote mbili walijenga na kufanya installation ya vifaa wakati WA Alex and Stuart gold assayer analetwa na yona na mramba
 
Makontaina yako bandarini kibaraka wewe makontaina waliyosafirisha ni mengi kuliko waliyodeclare. Wewe tulia acha wazalendo tupiganie chetu wewe na tundu lisu nendeni mkale makombo Ya vyakula vinavyoangushwa chini na waxungu wa accacia
Saaaafi.vibaraka hao.hata wakati afrika kusini wazalendo wakipigania uhuru.walikuwepo vibaraka wa wazungu.waliokuwa wamepewa kz ya kupambana na weusi wenzao njaaa.unafki ndio inayomsumbua tundu lissu na wenzie.lkn tutambue c wanachadema woote wanamuunga mkono tundu lissu.ni wachache tu wenye mtizamo fyongo na akili mbilikimo
 
IMG_20170524_150830_713.JPG
Mimi nadhani ile ripoti iliandaliwa kwa pamoja na mzee makinikia mwenyewe
Prezdenti wetu ni mtaalamu wa miamba!!! Mumempa kazi ya siasa! Anatamani tujue kuwa yeye ni mtaalam wa miamba!!
Majukumu yake ya sasa ni ya kisiasa
Sasa tutajuaje kuwa mheshimiwa ni mtaalam wa miamba?
Ni RAHISI sana!!!!
"Unachanganya miamba na siasa kisha unakoroga,koroga kwa NGUVU sana hadi Debe lisikike mtaa wa pili kuwa linakorogwa!" kisha watu wakiuliza "nini hicho?" watajibiwa "Mheshimiwa anaonyesha taaluma yake ya miamba"
 
Tuache mawazo hasi. Kweli sampuli imetolewa bulyanhulu analysis imefanyiwa Australia nyumbani kwa wezi bado tunashabikia. Kuweni wapole hawa tunaenda nao taratibu .sampuli zitachukuliwa na zitapelekwa maabara na itakuwa man to man kwenye analysis na mtashuhudia majibu yatakayotoka.
Kwa uelewa wangu wa hizi kampuni kubwa ukiona wamejiamini kuweka data public hivi ujue wanajua wanachokifanya. Kampuni yenye employees 90,000 si kampuni ya kitoto hivyo rahisi ku-present forged figures. Unless, hizo barua zisiwe za kwao.
 
Mkiacha ushabiki mtaelewa kanaanisha mini lakini pia tusubiri tuone kwenye huo mjadala wa hao ma profesa nani atakuja na hoja ya matumaini ila wakishindwa sijui tutaambiwa wamehongwa?!
 
Makontaina yako bandarini kibaraka wewe makontaina waliyosafirisha ni mengi kuliko waliyodeclare. Wewe tulia acha wazalendo tupiganie chetu wewe na tundu lisu nendeni mkale makombo Ya vyakula vinavyoangushwa chini na waxungu wa accacia
Kwa nini mnataka sifa kwa lisu lakini mnamuacha akiesababisha atc, nbc, ttcl, hiyo migodi kunyonywa kwa sera za uwekezaji? Tuendelefanya siasa kwenye maisha ya watu tunaona mwisho wake. Waziri anaenda saini mkataba nje ya boss wake kasema mkataba ni siri halafu we unakomaa na lisu. Miaka ijayo hii 15% ya helsb mtasema kaleta lisu. Tanzania yetu wote jamani
 
Makontaina yako bandarini kibaraka wewe makontaina waliyosafirisha ni mengi kuliko waliyodeclare. Wewe tulia acha wazalendo tupiganie chetu wewe na tundu lisu nendeni mkale makombo Ya vyakula vinavyoangushwa chini na waxungu wa accacia

Zezeta kama wewe hauwezi kuwa mzalendo. Pigania ugali wako.
 
Kwa uelewa wangu wa hizi kampuni kubwa ukiona wamejiamini kuweka data public hivi ujue wanajua wanachokifanya. Kampuni yenye employees 90,000 si kampuni ya kitoto hivyo rahisi ku-present forged figures. Unless, hizo barua zisiwe za kwao.
Unachotaka Kusema ni kuwa mtu mkubwa huwa hajambi na akijamba ni vigumu kuprove kuwa kajamba.very poor reasoning
 
Mada iliyoko mezani ni assay na sio idadi ya makontena against alichosema mruma.
Povu jingi au bado usingizi haujakuisha?
Mkuu acha hizo. Hata kama haumpendi Magu kwa hili ungenyamaza tu. Kwa jinsi kontena zilivyokosa seal ya TMAA baada ya kuchukua sample ya kupeleka lab ya SGS basi kuna uwezekano mchanga uliokuwa bandarini sio ule uliopimwa na SGS, aidha ulibadlishwa au ulichomekewa/changanywa na madini yaliyo onekana na tume ya Prof. Mruma. Ndio maana yamepatikana madini kwa aslimia kubwa sana ikapelekea tume ya pili kusema kilichokuwa kinasafirishwa sio mchanga bali madini kamili. Kuna mengi huyajui hayajasomwa pale hadharani kwa sababu mbalimbali hata Mruma alimwambia Mh.JPM siku ile wanamkabidhi report kuna mengi zaidi atayasoma na akiona inafaa ataitoa kwa umma uyajue yote.
 
Tatizo ni namna mruma alivyo mdanganya rais, repoti ya mruma ina mapungufu mengi sana kitalaam na hasa kwenye swala zima la 'grade & metal content estimation' leo hii ukimuuliza mruma ulizipataje zile data anaweza kujikojolea na kama si kujinyea kabisa. Hata kwenye mazungumzo jamaa waki propose swala la kuchukua sample upya ukweli ni kuwa rais na nchi kwa ujumla tutaumbuka vibaya, tunacho takiwa kukifanya kwa sasa ni 'kupoteza ushaidi' fasta, hayo makinikia tukayamwage au tuwagawie wachimbaji wadogo wadogo otherwise tutakuja kudondokea puz kwa maamuzi ya kukurupuka
Khaaaaaa sio JF niijuayo, too low mkubwa hembu tafakari unachokiongea
 
Cha muhimu tuendelee kujuzwa mchakato mzima hatua kwa hatua pale white house mubashara, kama ilivyokuwa kwa ripoti mbili zilizopita mpaka kupatikana kwa noah zetu
 
Hao SGS hamna nilichokiona cha maana kwenye ripoti yao.
SGS wajanja wanajichomoa na wanawapima watanzania akili zao.
Hata kama wanajisifu wapo karibu nchi zote, wakiongoza katika kufanya analysis, sampling n.k n.k Bado haijatengua ripoti ya Pr Mruma kuprove alichokiona kwenye makontena.
Nianze na mfano.
Umeenda hospital unahisi kichwa kinakuuma, umemueleza dr akupime uenda una malaria, Dr akakuchukua damu bahada ya matokeo akagundua kweli una malaria.

Tanzania ni kama mgonjwa pale tunasimamiwa na TMAA, tunategemea matokeo ya sampling kutoka SGS ambae ndio kama DR, akitoa matokeo ya sample aliyochukua na TMAA ndio wanafile hiyo hiyo.(kumbuka hapo tushamwabia atupe matokeo ya copper, silver na gold.
Hapo Dr wetu SGS kashamaliza kazi yake, hana lawama, lawama zitakuja kwa tofauti ya viwango tu.

Sasa kama umeenda hospital na ukamueleza Dr mie naumwa lakini chukua damu na upime magonjwa yote. Hapo dr atakuja na majibu yote una typhod, UTI, Kaswende, gono, malaria, kichaa n.k n.k (rejea uchunguzi wa pr Mruma mchanga kapima kila content iliomo mule)
Umeona kazi ya SGS ilivyo rahisi, kama watalazimika kuzipima upya sample za nyuma ni lazima zitaleta majibu tofauti na waliyonayo kwenye ripoti na hili si kosa lao ni makubaliano ya TMAA na Accacia wapime gold, silver na copper.

Hapo SGS hana makosa, makosa yapo kwa Accacia wanakijua wanachokifanya
 
Watanzania hatujui mengi ila ndio tunaopiga kelele sana.

Accacia imeoperate Tanzania kwa miaka mingi na ulipaji wake wa kodi ni wakusuasua mbali na mikataba mibovu tuliyoingia, ila hata kile tulichopaswa kukipata hatujakipata kama ilivyotakikana.

Kabla hatujawa wapiga kelele tujiulize baadhi ya maswali na tukipata majibu yake ndio hasa tuanze kupiga kelele tukiwa na information za uhakika.

Hawa hawa Accacia ndio miaka ya nyuma walikua wakireport loss every year na at the same time walikua wakiwalipa shareholders dividend, (tunajua dividend inalipwa out of profit made on particular year) sasa unajiuliza mtu anapataje loss alafu analipa dividend?? Hapa ni dhuluma dhahiri, alafu anakwambia Tanzania is our major business operation.

Pamoja na mapicha picha mengi hivi hatujiulizi huyu mtu report zake anatudanganya???
Hembu turudi kuangalia Management cost of Fee apart from salaries & wages, what about Director fee??
Swali la kawadia kwa ordinary person hivi unawezaje kutumia zaidi ya kile unachokipata kutoka kwenye biashara/ ajira yako kuu. Lets say unalipwa 1,000,000 kama salary Net na matumizi ya mwezi ni 3,000,000 na ajira ndio kipato chako kikuu???

Huyu huyu katudanganya kua kasafirisha makontena 44 kumbe kasafirisha 47 kwanin??

Anakuja tena kwenye records zake anasema kalipa 118 Bill kama kodi na fee za manispaa ila kucheck records kwenye government institution amelipa 42 Billions.

Every year anatutishia gold imekwisha na cost za kumaintaine the site is higher than profit actually earned. Kupunguza wafanyakazi ndio usiseme kisa eti hawezi kuwalipa, yote haya ni kuihadaa serikali ili apate kureport loss. Lakini anachokifanya ni Manipulation of figure(Creative Accounting at work).

Hivi utaendeleaje na biashara ambayo kila siku unapata hasara??

Hivi unafikiri Mwenyekiti wa Parent company (Barrack Gold) angekuja kama sio area of interest?? Waachie mgodi kama wanavyofanyiwa sio ukweli au uongo unaofanana na ukweli.

Kiuhalisia wamekua wakiuziana after every five years and we all remember that sema tunajifanya kusahau ama kupiga kelele tu aisee.

Huu mchezo hadi sasa ni wakuuangalia mwisho wake ila kuna tutakachoambulia kama Nchi.
 
Hakuna mtu amesema takwimu zao ni za kugushi au forged agenda hapa ni usahihi wa hizo takwimu .tayari maabara mbili zinakinzana kwenye majibu yao ya Australia na za hapa nyumbani. Hawakuwepo sampuli zilipochukuliwa na kuwa analysed na pia wakati wao wanachukua na kufanya analysis hapakuwa na representation kwa upande wetu kwa ajili ya ku witness.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom