Sakata la Makinikia linatuonesha Watanzania tusivyo wamoja

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,227
12,953
Asalaam Alyekum Ndugu zangu Watanzania!
Tumsifu Yesu Kristo ndugu zangu Watanzania!

Kwanza nitaanza kurejea mgogorowa IPTL na Serikali juu ya Escrow Account, nakumbuka vyema jinsi Serikali ya Rais Kikwete ikivyojitahidi kusimama upande wa IPTL na kusisitiza zaidi kuwa Serikali haikuwa na hela kwenye Escrow Account ila fedha zote ni za IPTL.

Mh Kafulila wakati uo akiwa mbunge alisimama kidete sana kutuonyesha Watanzania jinsi Serikali ilivyo bariki hela za umma kuliw huku watumishi wake wakuu wakigawana kwenye viroba, Rais Kikwete, AG Welema alifikia mpaka kumuita Kafulila Tumbili kote ni kupigania zile hela walizokula ambazo ni Watanzania, Rais Kikwete alisimama kweupe kusema Serikali haikuwa na hela kwenye Escrow Account huku akipingwa na Bunge, CAG pamoja na TRA hawa wakisema Serikali ilikuwa na hela kwenye ile Account.

Niende kwenye issue ya Makinikia. Watanzania tumegawanyika katika issue ya Makinikia, kwasasa aliehakikisha kuwa tunapata chetu hatukuwa tayari kumsuport zaidi sasa tunawapigania Barrick Gold Mine! Sina hakika kama issue ni Amount iliyoibuliwa kwenye tume Prof Mruma au issue tunapinga kama tulikuwa hatuibiwi rasimali zetu?

Miaka ya nyuma Watanzania kila mmoja wao tulikuwa na tunaamini kuwa tunapigw sana kwenye migodi ya madini huku nchi yetu ikiachwa na mashimo mara baada ya wawekezaji na wachimbaji wa madini kuondoka, ila sasa mbona kama tumegeuka tena tumeanza kuwapigania tukio walalamikia? Bado najiuliza maswali ya Msingi

1. Hatukabaliani na Amount iliyoletwa na Prof. Mruma au hatukubaliani na ripoti yote ya Prof. Mruma kama tulikuwa tunaibiwa?

2. Kama Ripoti ya Prof. Mruma ilikuwa si yakweli ilikuwaje mpaka Barick Gold Mine waliamua kuindoa Acacia Mining waliokamkabidhi migodi yao?

3. Kama ripoti ya Prof. Mruma haikuwa ya kweli, Ilikuwaje mpaka mwenyekiti mtendaji wa Barrick Gold Corporation akaja Tanzania na akakubali kuingia kwenye mazungumzo na Serikali mpaka kuhafikiana kulipa fedha zaidi Billion 700 za Kitanzania na kukubali kuanza kulipa fedha zaidi ya Matriion ambazo iliripotiwa kuwa imeisababishia serikali hasara?

4. Swali la Luhaga Mpina aliulizwa kwa bahati mbaya au alipata fununu kuwa Kikao cha Rais Samia na Mark Bristow Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Barrick Gold Corporation tarehe July 8, 2021 walihafikiana kusitisha malipo ya fedha waliyokubaliana kwenye awamu iliyopita chini ya Hayati Magufuli?

5. Kikao cha Rais Samia na Rais, Mkurugenzi Mtendaji wa Barrick Gold Corporation kilihusu nini hasa kama sio issue ya mtifuano uliokaibuka katika Serikali iliyopita?

5. Kama Riport ya Prof Mruma ilikuwa ni ya uongo kwanini Barrick au Accacia hawakuigomea eidha na kuamua kuondoka na kuachana na Tanzania au kufungua shauri la madai kwa kuchafuliwa na Serikali ya Tanzania kwenye mahakama za kimataifa?

6. Wanzania huwa tunaangalia nani kaibua issue ndo tusimame nayo au tunaangalia issue kama ina maslahi kwa nchi yetu?

7. Watanzania tuna nini chakujifunza kama Taifa katika Issue ya Makinikia uku ikilifikiria kwa karibu issue ya Escrow Account?

pascal-mayalla
Johnny Sack jovas jonathan @
 
Barick na Serikali ya Magufuli wenyewe ndio walifuta hhilo deni la trilioni 360 na kupewa bilioni 700 pamoja na makubaliano ya kuunda kampuni ya Twiga na kujenga kiwanda cha kuchenjua makinikia, deni lilibaki tu huko TRA lakini kila kitu kilishakuwa settled.

Ndio maana katika mkutano wa mwisho wa Barick na serikali ya Magufuli walieleza vitu vyote walivyokubaliana lakini hawakusema chochote kuhusu trilioni 360 zitakavyolipwa, walieleza kuwa Barick italipa bilioni 700 kwa awamu
 
Baada ya majadiliano, ilithibitika hatuwadai hata dola 1 Acacia ila Barrick wanapendekeza Acacia atupatie msaada wa dola milioni 120 maana milioni 180 wanatudai. Hivyo kutoka ile dola milioni 300 waliyoipendekeza Acacia kutusaidia, ukiondoa dola milioni 180 wanayotudai Acacia, inabakia dola milioni 120 tu. Hata hoyo dola milioni 120?.

Watanzania tulipumbazwa na zile ripoti takataka, na siasa za hadaa
 
Baada ya majadiliano, ilithibitika hatuwadai hata dola 1 Acacia ila Barrick wanapendekeza Acacia atupatie msaada wa dola milioni 120 maana milioni 180 wanatudai. Hivyo kutoka ile dola milioni 300 waliyoipendekeza Acacia kutusaidia, ukiondoa dola milioni 180 wanayotudai Acacia, inabakia dola milioni 120 tu. Hata hoyo dola milioni 120?.

Watanzania tulipumbazwa na zile ripoti takataka, na siasa za hadaa
Wewe huwa ni mpuuzi tu, kitu hujui nyamaza
 
1. Kama ripoti zilikuwa za kweli kwanini Tanzania haikuwashtaki Acacia ktk mahakama ya kimataifa ya migogoro ya uwekezaji?

2. Kama ripoti zilikuwa za kweli kwanini tumelipwa kiasi kidogo sana ukilinganisha na madai yetu ya usd 191 billion?

3. Kishika uchumba cha usd 300 million ni 0.16% ya madai yetu dhidi ya Acacia.

4. Serikali haikuchukua hatua zozote dhidi ya waliohusika kuiingiza nchi ktk mikataba mibovu. Hakuna hata mmoja aliyefunguliwa mashtaka.

5. Chama cha mapinduzi CCM kilimpitisha, Deo Mwanyika, aliyekuwa Makamu wa Raisi wa Acacia kuwa mgombea ubunge wa Njombe mjini.

6.Kama Acacia walituibia kiasi kikubwa namna ile inawezekanaje mmoja wa watendaji wake wakuu aaminiwe na Ccm kuwa mbunge?
 
Asalaam Alyekum Ndugu zangu Watanzania!
Tumsifu Yesu Kristo ndugu zangu Watanzania!

Kwanza nitaanza kurejea mgogorowa IPTL na Serikali juu ya Escrow Account, nakumbuka vyema jinsi Serikali ya Rais Kikwete ikivyojitahidi kusimama upande wa IPTL na kusisitiza zaidi kuwa Serikali haikuwa na hela kwenye Escrow Account ila fedha zote ni za IPTL.

Mh Kafulila wakati uo akiwa mbunge alisimama kidete sana kutuonyesha Watanzania jinsi Serikali ilivyo bariki hela za umma kuliw huku watumishi wake wakuu wakigawana kwenye viroba, Rais Kikwete, AG Welema alifikia mpaka kumuita Kafulila Tumbili kote ni kupigania zile hela walizokula ambazo ni Watanzania, Rais Kikwete alisimama kweupe kusema Serikali haikuwa na hela kwenye Escrow Account huku akipingwa na Bunge, CAG pamoja na TRA hawa wakisema Serikali ilikuwa na hela kwenye ile Account.

Niende kwenye issue ya Makinikia. Watanzania tumegawanyika katika issue ya Makinikia, kwasasa aliehakikisha kuwa tunapata chetu hatukuwa tayari kumsuport zaidi sasa tunawapigania Barrick Gold Mine! Sina hakika kama issue ni Amount iliyoibuliwa kwenye tume Prof Mruma au issue tunapinga kama tulikuwa hatuibiwi rasimali zetu?

Miaka ya nyuma Watanzania kila mmoja wao tulikuwa na tunaamini kuwa tunapigw sana kwenye migodi ya madini huku nchi yetu ikiachwa na mashimo mara baada ya wawekezaji na wachimbaji wa madini kuondoka, ila sasa mbona kama tumegeuka tena tumeanza kuwapigania tukio walalamikia? Bado najiuliza maswali ya Msingi

1. Hatukabaliani na Amount iliyoletwa na Prof. Mruma au hatukubaliani na ripoti yote ya Prof. Mruma kama tulikuwa tunaibiwa?

2. Kama Ripoti ya Prof. Mruma ilikuwa si yakweli ilikuwaje mpaka Barick Gold Mine waliamua kuindoa Acacia Mining waliokamkabidhi migodi yao?

3. Kama ripoti ya Prof. Mruma haikuwa ya kweli, Ilikuwaje mpaka mwenyekiti mtendaji wa Barrick Gold Corporation akaja Tanzania na akakubali kuingia kwenye mazungumzo na Serikali mpaka kuhafikiana kulipa fedha zaidi Billion 700 za Kitanzania na kukubali kuanza kulipa fedha zaidi ya Matriion ambazo iliripotiwa kuwa imeisababishia serikali hasara?

4. Swali la Luhaga Mpina aliulizwa kwa bahati mbaya au alipata fununu kuwa Kikao cha Rais Samia na Mark Bristow Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Barrick Gold Corporation tarehe July 8, 2021 walihafikiana kusitisha malipo ya fedha waliyokubaliana kwenye awamu iliyopita chini ya Hayati Magufuli?

5. Kikao cha Rais Samia na Rais, Mkurugenzi Mtendaji wa Barrick Gold Corporation kilihusu nini hasa kama sio issue ya mtifuano uliokaibuka katika Serikali iliyopita?

5. Kama Riport ya Prof Mruma ilikuwa ni ya uongo kwanini Barrick au Accacia hawakuigomea eidha na kuamua kuondoka na kuachana na Tanzania au kufungua shauri la madai kwa kuchafuliwa na Serikali ya Tanzania kwenye mahakama za kimataifa?

6. Wanzania huwa tunaangalia nani kaibua issue ndo tusimame nayo au tunaangalia issue kama ina maslahi kwa nchi yetu?

7. Watanzania tuna nini chakujifunza kama Taifa katika Issue ya Makinikia uku ikilifikiria kwa karibu issue ya Escrow Account?

pascal-mayalla
Johnny Sack jovas jonathan @
,,NINI WAMOJA..!!. hata tungekuwa wawili.. Watanzania chini ya hili DUDE FICEM tutaendelea kupigwa kila uchao
 
1. Kama ripoti zilikuwa za kweli kwanini Tanzania haikuwashtaki Acacia ktk mahakama ya kimataifa ya migogoro ya uwekezaji?

2. Kama ripoti zilikuwa za kweli kwanini tumelipwa kiasi kidogo sana ukilinganisha na madai yetu ya usd 191 billion?

3. Kishika uchumba cha usd 300 million ni 0.16% ya madai yetu dhidi ya Acacia.

4. Serikali haikuchukua hatua zozote dhidi ya waliohusika kuiingiza nchi ktk mikataba mibovu. Hakuna hata mmoja aliyefunguliwa mashtaka.

5. Chama cha mapinduzi CCM kilimpitisha, Deo Mwanyika, aliyekuwa Makamu wa Raisi wa Acacia kuwa mgombea ubunge wa Njombe mjini.

6.Kama Acacia walituibia kiasi kikubwa namna ile inawezekanaje mmoja wa watendaji wake wakuu aaminiwe na Ccm kuwa mbunge?
YALE MAKONTENA YA MAKINIKI YALIOZUIWA BANDARINI JE KUNAMREJESHO WOWOTE.
 
Asalaam Alyekum Ndugu zangu Watanzania!
Tumsifu Yesu Kristo ndugu zangu Watanzania!

Kwanza nitaanza kurejea mgogorowa IPTL na Serikali juu ya Escrow Account, nakumbuka vyema jinsi Serikali ya Rais Kikwete ikivyojitahidi kusimama upande wa IPTL na kusisitiza zaidi kuwa Serikali haikuwa na hela kwenye Escrow Account ila fedha zote ni za IPTL.

Mh Kafulila wakati uo akiwa mbunge alisimama kidete sana kutuonyesha Watanzania jinsi Serikali ilivyo bariki hela za umma kuliw huku watumishi wake wakuu wakigawana kwenye viroba, Rais Kikwete, AG Welema alifikia mpaka kumuita Kafulila Tumbili kote ni kupigania zile hela walizokula ambazo ni Watanzania, Rais Kikwete alisimama kweupe kusema Serikali haikuwa na hela kwenye Escrow Account huku akipingwa na Bunge, CAG pamoja na TRA hawa wakisema Serikali ilikuwa na hela kwenye ile Account.

Niende kwenye issue ya Makinikia. Watanzania tumegawanyika katika issue ya Makinikia, kwasasa aliehakikisha kuwa tunapata chetu hatukuwa tayari kumsuport zaidi sasa tunawapigania Barrick Gold Mine! Sina hakika kama issue ni Amount iliyoibuliwa kwenye tume Prof Mruma au issue tunapinga kama tulikuwa hatuibiwi rasimali zetu?

Miaka ya nyuma Watanzania kila mmoja wao tulikuwa na tunaamini kuwa tunapigw sana kwenye migodi ya madini huku nchi yetu ikiachwa na mashimo mara baada ya wawekezaji na wachimbaji wa madini kuondoka, ila sasa mbona kama tumegeuka tena tumeanza kuwapigania tukio walalamikia? Bado najiuliza maswali ya Msingi

1. Hatukabaliani na Amount iliyoletwa na Prof. Mruma au hatukubaliani na ripoti yote ya Prof. Mruma kama tulikuwa tunaibiwa?

2. Kama Ripoti ya Prof. Mruma ilikuwa si yakweli ilikuwaje mpaka Barick Gold Mine waliamua kuindoa Acacia Mining waliokamkabidhi migodi yao?

3. Kama ripoti ya Prof. Mruma haikuwa ya kweli, Ilikuwaje mpaka mwenyekiti mtendaji wa Barrick Gold Corporation akaja Tanzania na akakubali kuingia kwenye mazungumzo na Serikali mpaka kuhafikiana kulipa fedha zaidi Billion 700 za Kitanzania na kukubali kuanza kulipa fedha zaidi ya Matriion ambazo iliripotiwa kuwa imeisababishia serikali hasara?

4. Swali la Luhaga Mpina aliulizwa kwa bahati mbaya au alipata fununu kuwa Kikao cha Rais Samia na Mark Bristow Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Barrick Gold Corporation tarehe July 8, 2021 walihafikiana kusitisha malipo ya fedha waliyokubaliana kwenye awamu iliyopita chini ya Hayati Magufuli?

5. Kikao cha Rais Samia na Rais, Mkurugenzi Mtendaji wa Barrick Gold Corporation kilihusu nini hasa kama sio issue ya mtifuano uliokaibuka katika Serikali iliyopita?

5. Kama Riport ya Prof Mruma ilikuwa ni ya uongo kwanini Barrick au Accacia hawakuigomea eidha na kuamua kuondoka na kuachana na Tanzania au kufungua shauri la madai kwa kuchafuliwa na Serikali ya Tanzania kwenye mahakama za kimataifa?

6. Wanzania huwa tunaangalia nani kaibua issue ndo tusimame nayo au tunaangalia issue kama ina maslahi kwa nchi yetu?

7. Watanzania tuna nini chakujifunza kama Taifa katika Issue ya Makinikia uku ikilifikiria kwa karibu issue ya Escrow Account?

pascal-mayalla
Johnny Sack jovas jonathan @
Hakika
 
YALE MAKONTENA YA MAKINIKI YALIOZUIWA BANDARINI JE KUNAMREJESHO WOWOTE.

..achana na yalipopelekwa hayo makontena.

..kama serikali ilikuwa inaamini kuwa makontena yale yana madini kibao au thamani kubwa kuliko waliyokuwa waki-declare Acacia kwanini haikuyanunua kwa bei ndogo, halafu waende wakayauze wao kwa thamani halisi na kupata faida?

..Makontena yamechukuliwa na Barrick na serikali haijaeleza yalipouzwa zilipatikana fedha kiasi gani.
 
Asalaam Alyekum Ndugu zangu Watanzania!
Tumsifu Yesu Kristo ndugu zangu Watanzania!

Kwanza nitaanza kurejea mgogorowa IPTL na Serikali juu ya Escrow Account, nakumbuka vyema jinsi Serikali ya Rais Kikwete ikivyojitahidi kusimama upande wa IPTL na kusisitiza zaidi kuwa Serikali haikuwa na hela kwenye Escrow Account ila fedha zote ni za IPTL.

Mh Kafulila wakati uo akiwa mbunge alisimama kidete sana kutuonyesha Watanzania jinsi Serikali ilivyo bariki hela za umma kuliw huku watumishi wake wakuu wakigawana kwenye viroba, Rais Kikwete, AG Welema alifikia mpaka kumuita Kafulila Tumbili kote ni kupigania zile hela walizokula ambazo ni Watanzania, Rais Kikwete alisimama kweupe kusema Serikali haikuwa na hela kwenye Escrow Account huku akipingwa na Bunge, CAG pamoja na TRA hawa wakisema Serikali ilikuwa na hela kwenye ile Account.

Niende kwenye issue ya Makinikia. Watanzania tumegawanyika katika issue ya Makinikia, kwasasa aliehakikisha kuwa tunapata chetu hatukuwa tayari kumsuport zaidi sasa tunawapigania Barrick Gold Mine! Sina hakika kama issue ni Amount iliyoibuliwa kwenye tume Prof Mruma au issue tunapinga kama tulikuwa hatuibiwi rasimali zetu?

Miaka ya nyuma Watanzania kila mmoja wao tulikuwa na tunaamini kuwa tunapigw sana kwenye migodi ya madini huku nchi yetu ikiachwa na mashimo mara baada ya wawekezaji na wachimbaji wa madini kuondoka, ila sasa mbona kama tumegeuka tena tumeanza kuwapigania tukio walalamikia? Bado najiuliza maswali ya Msingi

1. Hatukabaliani na Amount iliyoletwa na Prof. Mruma au hatukubaliani na ripoti yote ya Prof. Mruma kama tulikuwa tunaibiwa?

2. Kama Ripoti ya Prof. Mruma ilikuwa si yakweli ilikuwaje mpaka Barick Gold Mine waliamua kuindoa Acacia Mining waliokamkabidhi migodi yao?

3. Kama ripoti ya Prof. Mruma haikuwa ya kweli, Ilikuwaje mpaka mwenyekiti mtendaji wa Barrick Gold Corporation akaja Tanzania na akakubali kuingia kwenye mazungumzo na Serikali mpaka kuhafikiana kulipa fedha zaidi Billion 700 za Kitanzania na kukubali kuanza kulipa fedha zaidi ya Matriion ambazo iliripotiwa kuwa imeisababishia serikali hasara?

4. Swali la Luhaga Mpina aliulizwa kwa bahati mbaya au alipata fununu kuwa Kikao cha Rais Samia na Mark Bristow Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Barrick Gold Corporation tarehe July 8, 2021 walihafikiana kusitisha malipo ya fedha waliyokubaliana kwenye awamu iliyopita chini ya Hayati Magufuli?

5. Kikao cha Rais Samia na Rais, Mkurugenzi Mtendaji wa Barrick Gold Corporation kilihusu nini hasa kama sio issue ya mtifuano uliokaibuka katika Serikali iliyopita?

5. Kama Riport ya Prof Mruma ilikuwa ni ya uongo kwanini Barrick au Accacia hawakuigomea eidha na kuamua kuondoka na kuachana na Tanzania au kufungua shauri la madai kwa kuchafuliwa na Serikali ya Tanzania kwenye mahakama za kimataifa?

6. Wanzania huwa tunaangalia nani kaibua issue ndo tusimame nayo au tunaangalia issue kama ina maslahi kwa nchi yetu?

7. Watanzania tuna nini chakujifunza kama Taifa katika Issue ya Makinikia uku ikilifikiria kwa karibu issue ya Escrow Account?

pascal-mayalla
Johnny Sack jovas jonathan @
Ccm wamezulimiana hayo mapesa sass team Magufuli imeamua kumwaga mboga hadharani
 
Asalaam Alyekum Ndugu zangu Watanzania!
Tumsifu Yesu Kristo ndugu zangu Watanzania!

Kwanza nitaanza kurejea mgogorowa IPTL na Serikali juu ya Escrow Account, nakumbuka vyema jinsi Serikali ya Rais Kikwete ikivyojitahidi kusimama upande wa IPTL na kusisitiza zaidi kuwa Serikali haikuwa na hela kwenye Escrow Account ila fedha zote ni za IPTL.

Mh Kafulila wakati uo akiwa mbunge alisimama kidete sana kutuonyesha Watanzania jinsi Serikali ilivyo bariki hela za umma kuliw huku watumishi wake wakuu wakigawana kwenye viroba, Rais Kikwete, AG Welema alifikia mpaka kumuita Kafulila Tumbili kote ni kupigania zile hela walizokula ambazo ni Watanzania, Rais Kikwete alisimama kweupe kusema Serikali haikuwa na hela kwenye Escrow Account huku akipingwa na Bunge, CAG pamoja na TRA hawa wakisema Serikali ilikuwa na hela kwenye ile Account.

Niende kwenye issue ya Makinikia. Watanzania tumegawanyika katika issue ya Makinikia, kwasasa aliehakikisha kuwa tunapata chetu hatukuwa tayari kumsuport zaidi sasa tunawapigania Barrick Gold Mine! Sina hakika kama issue ni Amount iliyoibuliwa kwenye tume Prof Mruma au issue tunapinga kama tulikuwa hatuibiwi rasimali zetu?

Miaka ya nyuma Watanzania kila mmoja wao tulikuwa na tunaamini kuwa tunapigw sana kwenye migodi ya madini huku nchi yetu ikiachwa na mashimo mara baada ya wawekezaji na wachimbaji wa madini kuondoka, ila sasa mbona kama tumegeuka tena tumeanza kuwapigania tukio walalamikia? Bado najiuliza maswali ya Msingi

1. Hatukabaliani na Amount iliyoletwa na Prof. Mruma au hatukubaliani na ripoti yote ya Prof. Mruma kama tulikuwa tunaibiwa?

2. Kama Ripoti ya Prof. Mruma ilikuwa si yakweli ilikuwaje mpaka Barick Gold Mine waliamua kuindoa Acacia Mining waliokamkabidhi migodi yao?

3. Kama ripoti ya Prof. Mruma haikuwa ya kweli, Ilikuwaje mpaka mwenyekiti mtendaji wa Barrick Gold Corporation akaja Tanzania na akakubali kuingia kwenye mazungumzo na Serikali mpaka kuhafikiana kulipa fedha zaidi Billion 700 za Kitanzania na kukubali kuanza kulipa fedha zaidi ya Matriion ambazo iliripotiwa kuwa imeisababishia serikali hasara?

4. Swali la Luhaga Mpina aliulizwa kwa bahati mbaya au alipata fununu kuwa Kikao cha Rais Samia na Mark Bristow Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Barrick Gold Corporation tarehe July 8, 2021 walihafikiana kusitisha malipo ya fedha waliyokubaliana kwenye awamu iliyopita chini ya Hayati Magufuli?

5. Kikao cha Rais Samia na Rais, Mkurugenzi Mtendaji wa Barrick Gold Corporation kilihusu nini hasa kama sio issue ya mtifuano uliokaibuka katika Serikali iliyopita?

5. Kama Riport ya Prof Mruma ilikuwa ni ya uongo kwanini Barrick au Accacia hawakuigomea eidha na kuamua kuondoka na kuachana na Tanzania au kufungua shauri la madai kwa kuchafuliwa na Serikali ya Tanzania kwenye mahakama za kimataifa?

6. Wanzania huwa tunaangalia nani kaibua issue ndo tusimame nayo au tunaangalia issue kama ina maslahi kwa nchi yetu?

7. Watanzania tuna nini chakujifunza kama Taifa katika Issue ya Makinikia uku ikilifikiria kwa karibu issue ya Escrow Account?

pascal-mayalla
Johnny Sack jovas jonathan @
cc: Pascal Mayalla
 
..kama acacia walikuwa wanadai bei ya makontena ni dola 1 wakati ripoti za WATAALAMU / MAPROFESA wetu zimebaini thamani halisi ni dola 1000, serikali ilipaswa kununua makontena yote.

..baada ya kununua makontena serikali ingeweza kuyauza kwa faida kubwa kulikuwa hakuna haja ya kupigishana kelele, au kujadiliana na acacia.

CC Nguruvi3
 
..kama acacia walikuwa wanadai bei ya makontena ni dola 1 wakati ripoti za WATAALAMU / MAPROFESA wetu zimebaini thamani halisi ni dola 1000, serikali ilipaswa kununua makontena yote.

..baada ya kununua makontena serikali ingeweza kuyauza kwa faida kubwa kulikuwa hakuna haja ya kupigishana kelele, au kujadiliana na acacia.

CC Nguruvi3
1. Tatizo lilianza kwa mikataba kujadiliwa kwa siri , hakuna anayejua nini kilijadiliwa kwa muktadha upi

2. JPM akaendeleza kwa kukataa kushirikisha Bunge, akawatumia viongozi wa dini na vyombo vya usalama!

3. Ikulu ilikuwa na preconceived notion kwamba tunaibiwa na mabeberu. Ikapelekea kuunda kamati kwa jazba

4. Kamati za Mruama na mwenzake ziliundwa kukiwa na majibu tayari, walikuwa wanatafuta uhalali wa majibu

Yes nakubaliana nawe kwanini serikali haikununua makontena na kuyauza kwa faida!
 
Acaccia hawakuingia Tz kisiri siri na kuanza kuchimba madini, walikuja kisheria na kuingia mikataba na serikali ya Tanzania kisheria. Hakuna mtu alikuwa anaibiwa ikiwa kila kitu kiko kimkataba. Madini na mchanga wote ule kisheria ni mali ya Acaccia kwa mujibu wa mkataba. Kama serikali iligundua Acaccia wanatuibia (kwa kukiuka mkataba) basi sheria ilipaswa ichukue mkondo wake na sio siasa au nguvu.
 
Back
Top Bottom