SGR: What really happened here?

SGR: What really happened here?

tuwe na subila jaman hicho ni kitendea kazi tu mambo mazuri yanakuja hicho ni cha mkandarasi
 
Unajua nimeaza kuamini sasa tatizo sio nyerere, mwinyi, mkapa, jk, wala jpm.ila ni akili za watz.

Huyu jamaa amepiga picha akiwa ni fundi anayejua kila kitu lakini sijui anachukua ukumbusho wa kitu gani!!!!

Watz nao wameona picha tayari wana maelezo yao kichwani, mashine haina hata tyre mtu anakwambia imepinduka, na anasema ni kichwa cha treni kimeanza kazi!!!

Ukikutana na mtz kitaa, unaweza sema ni mtu wa maana sana, kumbe kichwani mweupee,na anajua kuongea balaa.
 
Hiyo ni test ya kupima udongo , lazima ukiangushe kama mara nne hivi, duu sijui kama tutafika
 
Na ndivyo utakuwa, hicho sio kati ya vinavyoagizwa na serikali ni cha mjenzi/mkandarasi kwa ajili ya majaribio.

Watu wanapenda sana kupotosha na hili jambo linakera sana
Mnahangaika na hawa mbung'o mtakesha macho mekundu.

Hawa ndio wale wanafunzi darasana leo ukiwaambia 4+5=9,hafu kesho ukamwambia 8+1=9 akili yake ina stack.
 
Ndoto zenu hazitazaa matunda. Hicho ni kitendea kazi cha yepi merkez na wala siyo treni. Kinaweza kuwa kimeanguka wakati kinashushwa kwenye lori. Kilikuwa bandarini mda mrefu. Mnachukia na kuombea mabaya Nchi yenu wenyewe! Nyie ni mashetani.
Nyumbu zote ni mashetani
 
Mnhh...


Huyu jamaa aliyejiselfie anaweza tekwa apotee kabisa ktk uso wa dunia...
Ni kweli aisee su hata kupoteza kibarua chake kuna watu vilaza au ubongo ushaingia ganzi na matendo ya utekaji?
 
HAJAWAHI KUFANIKIWA KILA ABAPOGUSA. AJITAFAKARI KAMA ANAFAA

POLE KWA WATAKAOTUMBULIWA
Kuna mmoja juzi alisema nitaendeleza alikoishia Mengi. Haa, nilimchekiii, Mungu aepushe mbali nisiseme neno baya. Kama hujazaliwa kiongozi, usilazimishe.
 
Naomba kujua wadau inasemekana kile kichwa cha treni ambacho kimeletwa nchini kwa majiribio kimepiga chini kama unavyoona kwenye picha hii siyo edet hii?
william_andason-20190509-0001.jpeg

au hii picha siyo Tanzania?
 
Unajua nimeaza kuamini sasa tatizo sio nyerere, mwinyi, mkapa, jk, wala jpm.ila ni akili za watz.

Huyu jamaa amepiga picha akiwa ni fundi anayejua kila kitu lakini sijui anachukua ukumbusho wa kitu gani!!!!

Watz nao wameona picha tayari wana maelezo yao kichwani, mashine haina hata tyre mtu anakwambia imepinduka, na anasema ni kichwa cha treni kimeanza kazi!!!

Ukikutana na mtz kitaa, unaweza sema ni mtu wa maana sana, kumbe kichwani mweupee,na anajua kuongea balaa.
wanafaham ni chamajaribio swali ni: 1 je pale walikua wajaribu nini. 2: hv kilishushwa porini sio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom