SGR: What really happened here?

Jiongezeni
tapatalk_1557340499859.jpeg
 
!
!
Huyu Wa Selfie Kwa Kweli Rest In Peace I Advance.
Kuna Sheria Itakuwa Hivi Karibuni Kwamba Ni Marufuku Kupiga Picha Mali Ya Selikali Bila Kibali Cha Katibu Mkuu. Tusubiri Tu
 
Zamani tulikuwa tunasikitika, na kuchukizwa tukiona mali ya umma ikiwa imeharibika, cha ajabu siku hizi watu wanashangilia bila ya kujua kwamba waliongia hasara ni wao. Wana saikolojia hebu tufahamisheni sababu za mabadilko haya ya tabia!!

Sababu ya ardhi kulowa damu,soma kuhusu madhara ya kafala za watu Kwa taifa utayapata majibu yote.
 
Back
Top Bottom