Basi hiyo editing ni ya kiwango cha juu sana hasa mazingira yanavyoonekana!Wameki edit hicho ili kionekane kimeanguka kumbe kimesimama.
Wallah huyu jamaa aliyeselfie na hii ajali na kurusha mitandaoni akibaki kazini amshukuru Mungu. Ataondoka tu.Naomba kujua wadau inasemekana kile kichwa cha treni ambacho kimeletwa nchini kwa majiribio kimepiga chini kama unavyoona kwenye picha hii siyo edet hii? View attachment 1092372
au hii picha siyo Tanzania?
Hilo nalo neno!Mnhh...
😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu jamaa aliyejiselfie anaweza tekwa apotee kabisa ktk uso wa dunia...
Ya na kimeua watu 40.
amesahau ya abdul nondo huyu na crack za UDSM HostelYaani hiyo selfie inaweza mpeleka mtu matatani.
Teh teh teh!!Yaani hiyo selfie inaweza mpeleka mtu matatani.
Zamani tulikuwa tunasikitika, na kuchukizwa tukiona mali ya umma ikiwa imeharibika, cha ajabu siku hizi watu wanashangilia bila ya kujua kwamba waliongia hasara ni wao. Wana saikolojia hebu tufahamisheni sababu za mabadilko haya ya tabia!!
Eee buana eehHapa kili kuwa kimepumzika kidogo. Hakuna tatzio hapo