SGR: What really happened here?

SGR: What really happened here?

Habari picha
Kumbe kweli kimeanguka, kuna mtu jana alisema kimeanguka maeneo ya gongo la mboto watu wakabisha. Basi itakuwa ni laana.

FB_IMG_1557293285766.jpeg
FB_IMG_1557293288840.jpeg
 
Yaani hiyo selfie inaweza mpeleka mtu matatani.
Umeongea ukweli kwa tanzania huyo jamaa atapata tabu kwanini kapiga picha eneo la ajali...Ni kweli treni imeanguka ila yeye sio msemaji wa shirika, kwanini apige picha eneo la tukio? Jamaa watalala naye mbele...
 
Aliyeleta hizo picha sio mstarabu hata kidogo.
Alishindwa vipi kuficha sura ya Huyo mtoa taarifa.

Kesho ukisikia mtu amekamatwa kwa uchochezi utasikitika wakati umechangia ukamatwaji wake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom