SGR: What really happened here?

SGR: What really happened here?

HAJAWAHI KUFANIKIWA KILA ABAPOGUSA. AJITAFAKARI KAMA ANAFAA

POLE KWA WATAKAOTUMBULIWA
Ndoto zenu hazitazaa matunda. Hicho ni kitendea kazi cha yepi merkez na wala siyo treni. Kinaweza kuwa kimeanguka wakati kinashushwa kwenye lori. Kilikuwa bandarini mda mrefu. Mnachukia na kuombea mabaya Nchi yenu wenyewe! Nyie ni mashetani.
 
Ndoto zenu hazitazaa matunda. Hicho ni kitendea kazi cha yepi merkez na wala siyo treni. Kinaweza kuwa kimeanguka wakati kinashushwa kwenye lori. Kilikuwa bandarini mda mrefu. Mnachukia na kuombea mabaya Nchi yenu wenyewe! Nyie ni mashetani.
Mkuu, inasikitisha sana.
 
Ndoto zenu hazitazaa matunda. Hicho ni kitendea kazi cha yepi merkez na wala siyo treni. Kinaweza kuwa kimeanguka wakati kinashushwa kwenye lori. Kilikuwa bandarini mda mrefu. Mnachukia na kuombea mabaya Nchi yenu wenyewe! Nyie ni mashetani.
Well said....waambie mkuu.
 
Ndoto zenu hazitazaa matunda. Hicho ni kitendea kazi cha yepi merkez na wala siyo treni. Kinaweza kuwa kimeanguka wakati kinashushwa kwenye lori. Kilikuwa bandarini mda mrefu. Mnachukia na kuombea mabaya Nchi yenu wenyewe! Nyie ni mashetani.

Eleza basi vizuri tukuelewe maana wakati kinashushwa walisema ni kwa ajili ya majaribio, hebu tufungue zaidi mkuu
 
Hio ni ile air kigoma iliopindukaga wameediti

In gwajima voice....
 
Shida ya Mleta mada ana fikiri hiyo ni treni kumbe ni kiberenge na anafikiri ni cha tanania kumbe ni cha mkandarasi na kazi yake ni kukagua reli na kilianguka wakati kinashushwa site...
Mtoa mada anatamani ingekuwa ndio treni imeanguka
Hicho ni kichwa cha majaribio na ni cha mkandarasi .... na hicho kimeletwa kwa majaribio tuuu na ndio maana kama ukikisoma vizuri kimeandikwa Yarp Maerkezi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom