SGR na Zimwi la Uhairishwaji kila Muda

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
May 10, 2012
8,586
17,696
Zifuatazo ni Failed Mission ya Majaribio au Kuanza Kwa Kutumika SGR..
Kipi Kifanyike..

  • Februari 2019 - Aliyekuwa Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji alisema safari ya kwanza ya SGR itaanza Novemba, 2019.
  • Januari 2021 - Aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas alisema huduma za SGR zitaanza ndani ya mwaka 2021.
  • Machi 2021 - Aliyekuwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhandishi Leonard Chamuriho alisema safari zitaanza rasmi Agosti, 2021.
  • Aprili 2021 - Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alisema safari za majaribio zitaanza Julai/Agosti 2021.
  • Mei 2021 - Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema safari za majaribio zitaanza Agosti 2021.
  • Septemba 2021- Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alisema safari zitaanza rasmi kati ya Disemba 2021 & Januari 2022
  • Machi 2022 - Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania(TRC), Masanja Kadogosa amesema safari zitaanza rasmi Aprili 2022.
  • Septemba 2022 - Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchakuzi, Atupele Mwakibete alisema safari zitaanza rasmi Februari 2023.
  • Januari 2023- Aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa alisema safari za majaribio zitaanza Februari 2023.
  • Februari 2023- Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa alisema safari za SGR zitaanza rasmi Mei 2023
  • June 2023- Aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa alisema safari za majaribio zitaanza Julai 2023.
  • Disemba 2023- Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa alisema safari zitaanza rasmi mwishoni mwa Januari
    2024.
  • Disemba 2023- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa agizo safari zianze kabla ya mwezi Julai 2024.
 
Zifuatazo ni Failed Mission ya Majaribio au Kuanza Kwa Kutumika SGR..
TANZNIA mipi Kifanyike..

  • Februari 2019 - Aliyekuwa Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji alisema safari ya kwanza ya SGR itaanza Novemba, 2019.
  • Januari 2021 - Aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas alisema huduma za SGR zitaanza ndani ya mwaka 2021.
  • Machi 2021 - Aliyekuwa Waziri wa Ujenzi na Uchaguzi Mhandishi Leonard Chamuriho alisema safari zitaanza rasmi Agosti, 2021.
  • Aprili 2021 - Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alisema safari za majaribio zitaanza Julai/Agosti 2021.
  • Mei 2021 - Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema safari za majaribio zitaanza Agosti 2021.
  • Septemba 2021- Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alisema safari zitaanza rasmi kati ya Disemba 2021 & Januari 2022
  • Machi 2022 - Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania(TRC), Masanja Kadogosa amesema safari zitaanza rasmi Aprili 2022.
  • Septemba 2022 - Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchaguzi, Atupele Mwakibete alisema safari zitaanza rasmi Februari 2023.
  • Januari 2023- Aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa alisema safari za majaribio zitaanza Februari 2023.
  • Februari 2023- Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa alisema safari za SGR zitaanza rasmi Mei 2023
  • June 2023- Aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Ndg. Gerson Msigwa alisema safari za majaribio zitaanza Julai 2023.
  • Disemba 2023- Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa alisema safari zitaanza rasmi mwishoni mwa Januari
    2024.
  • Disemba 2023- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ametoa agizo safari zianze kabla ya mwezi Julai 2024.
Hakuna mwananchi anayejali
 
Wenye mamlaka ya kuachia treni ya umeme ndio hao hao wanaomiliki makampuni ya mabasi na malori ya mizigo,, tafakari,,
 
Ni Tanzania pekee ambapo kiongozi anawajibika kwa/anawajibishwa na kiongozi mkubwa ama chama badala ya wananchi.

Bila kuwapa wananchi nguvu ya kikatiba kuwawajibisha viongozi, SGR kuanza ni ndoto,na hata ikitokea imeanza, kuwa na tija ni ndoto ya alinacha.

CCM ni baba wa uongo, ghiriba na utapeli.
 
Back
Top Bottom