Kuna wadada wana kismati bwana wee!! Hee! usiombe, ukichovya tu kumani million zinaingia tena ukiwa hapohapo kwenye kinena acha kabisa!
Sometimes uko juu ya kinena Unaitwa na boss cmu. ngriiii "bwanae uko wapi ? kuna semina ya mwezi Covid-London nataka uende mimi sipo ofisini!! Unaitaka?
Acha hilo kuna kupanda cheo ghafla ofisini.kupata kazi mpya nyingi. Safari zenye hela. Mara Magu anakuita ikulu wee!!!
Kutajirika ghafla yaani utadhani huyo dada amefungua maisha yako!
Kifupi maisha yanabadilika Sasa kwanini nisi muhonge nyumba ya ghorofa?
Utasikia bibi ako anakwambia mke ni huyu! Muache uone cha mtema kuni. Lkn yeye dem hajui kuwa mtu wake yamemnyookea.
Lkn kuna wengine unagonga week na muhonga unarudi home mwenye nyumba hakutaki tu!
hupati tena hela umesoma lkn unakuwa km chokoraaa! Unanuka kikwapa!
Gari unauza. Cheo hupandi, wafanyakazi hawakupendi boss nae! sasa hapo kweli mleta mada ntarudi kwako?
Kwanza nauri sina.
Sina pa kulala.nimefukuzwa
Kazini ni matatizo tupu mara Umekula rushw wewe! Mara hivi!!
Hata hela yakukupa tena sina.
Lkn kule niliko pata million na safari nyingi lazima nimkatie mkwanja mreeefu ndo maana machangu doa hupata wateja wenye nazo!
Wana maisha wale hee! Wasikiega tu!! ndo maana wanaume ni onja onja. Wanatafuta papuchi zenye kismati,
umewahi ona Ma-Cd wamekaukiwa wanaume?
Tena wabunge hatari. km Malima.
Nb narudisha nyota zilizoibiwa lkn uwe na hela. Mashangaxi ni htr sana kwa kuiba nyota