Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,608
- 2,736
Mkuu unayo magari na majumba ya kumhonga ?Njoo kwangu[emoji23]
Mkuu unayo magari na majumba ya kumhonga ?Njoo kwangu[emoji23]
SelfieUmejuaje kama hao wadada wenzako kua umewazidi uzuri? umejuaje kama wewe ni mzuri?
Hahaha! Mkuu jikite kwenye mada.naona siku hizi jinsia yako imekuwa ya kike kabisa haibadilikibadiliki.
Mkuu ndio umelijua hilo leo mpaka wengine wanatuita sisi mabeberu kha!Eeh Mungu endelea kunisaidia nisioe nchi hii.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]jitahid uwe unaitiia ata ndimu ili iwe mnato
Simple. We badilika tu from SEXLESS to KEJamani hii kitu najiuliza sana. Inakuwaje wadada wenzagu, tena wengine nawazidi uzuri lkn wao wanahongwa magari na majumba? Mm naishia kupewa elfu 20, 50 ama kulipiwa kodi mwezi mmoja?
Nipeni maujanja nijiweke vipi? Nikae wapi? Niende wapi? Nivae vipi? Iii nimpate mtu mwenye pesa zake zisizo na mawazo
.
The more i know them the more i hate them.Mkuu ndio umelijua hilo leo mpaka wengine wanatuita sisi mabeberu kha!
Eeh Mungu endelea kunisaidia nisioe nchi hii.
Mungu atusaidie aisee.Buhhhhhhh
Chief
niombee na mm nisioe nchi hii
Fanya hivi... Angalia porn video za wapigwaji maharufu wa hizo kazi, ujue wanavofanya na wanavojiamin.Jamani hii kitu najiuliza sana. Inakuwaje wadada wenzagu, tena wengine nawazidi uzuri lkn wao wanahongwa magari na majumba? Mm naishia kupewa elfu 20, 50 ama kulipiwa kodi mwezi mmoja?
Nipeni maujanja nijiweke vipi? Nikae wapi? Niende wapi? Nivae vipi? Iii nimpate mtu mwenye pesa zake zisizo na mawazo
.