Sex inamdhalilisha sana mwanamke

Sex inamdhalilisha sana mwanamke

Vipi na wewe kuwa kama wao, shika ukuta uliwe, chutama afu ingia leba na kila kinachowahusu chukua nafasi yao....
Maana umeandika pointless
 
Tendo la sex linamdhalilisha mwanamke na kumfedheesha sana

Jinsi anavyoshughulishwa wakati wa kufanya sex, , abinywee, akunjweee, daah alaf ukute apewi pesa daah sex haipo fair Kwa mwanamke ni kweli

Kama nature imetaka hivyo Kuna sehemu imemuonea mwanamke kibaya zaidi apate mimba akazae aingie leba yaani nusu kifo na mtoto wanaume tukamkataa au ukakataa tangia mimba

Na siku izi na wao wanakula Kwa jasho yaani wanaotafuta kama tunavyotafuta sisi aisee

Sex haipo fair Kwa mwanamke
hiyo nistarehe, na hizo heka heka nikupendezesha sex, nakuhusu kuzarilishwa, ni labda kama anapostiwa akiwa anafanya ilo tendo. Ila anafanya na mpenzi wake au mumewake na kama unaona bado anazarilishwa, basi niyeye anajizalilisha baada tu ya kukubali kusex, sijui umenipata hapo.
 
Sex sio biashara, sema ndo hivyo tu watu wameshindwa kujali utu, na kufanya starehe kua biashara inayokalia upande wa mwanamke, japo kua kazi kubwa hufanya mnunuzi au mlipaji ambae ni mwanaume.
 
Back
Top Bottom