Sex inamdhalilisha sana mwanamke

Sex inamdhalilisha sana mwanamke

Mimi katika huu umri wangu naichukulia sex kama sanaa inayohitaji ubunifu na kujiachia ili pande zote mbili zifurahie na kuridhika!

Hakuna udhalilishaji wowote hapo. Unless otherwise kama mwanamke wako hataki hiyo mikao, basi uamuzi wake uheshimie. Ukimlazimisha ndiyo unakua umemzalilisha.
umemdhalilisha✅
umemzalilisha❎
 
Tendo la sex linamdhalilisha mwanamke na kumfedheesha sana

Jinsi anavyoshughulishwa wakati wa kufanya sex, , abinywee, akunjweee, daah alaf ukute apewi pesa daah sex haipo fair Kwa mwanamke ni kweli

Kama nature imetaka hivyo Kuna sehemu imemuonea mwanamke kibaya zaidi apate mimba akazae aingie leba yaani nusu kifo na mtoto wanaume tukamkataa au ukakataa tangia mimba

Na siku izi na wao wanakula Kwa jasho yaani wanaotafuta kama tunavyotafuta sisi aisee

Sex haipo fair Kwa mwanamke
venyewe vanasema ukipewa mbususu ichape kwelikweli
 
Back
Top Bottom