zee_latown
JF-Expert Member
- Feb 21, 2026
- 523
- 927
na ndiyo maana huwa sipendi kukaa karibu na familia yangu nikiwa na silaha... naghadhibika sana na sana mtu mpuuzi.Duh ni hatari, lakini sidhani kama mwanao atakuwa na mawazo haya ya kipuuzi namna hii!