Kevzy
JF-Expert Member
- May 23, 2026
- 969
- 1,696
- Thread starter
- #41
Mmeyataka wenyewe kudhalilishwa pengine mmeomba Kwa Mungu mkamiweBasi tusaidie kwa niaba yetu upigwe wewe!
Sasa Kuna mda mnalia daah yaani nyie, alaf ukute mtu anakukunja , unabaki kama kisado wakati una mwili kama nyumba na unapata mimba , jamaa anakataa mimbaaa daah