Dont you think our kodi is stretched already kuliko kuiongezea mzigo wa mahakama (iwe ya kikristo, kipagani, kiislamu etc) what i think ni kwamba mambo kama afya, elimu, n.k. they need more money, na haya yatamnufaisha kila mtanzania hata mpagani ambaye hana dini .. kwanini tumtenge huyu mpagani na achangie kitu ambacho hakimsaidii
Kwani mie nikuulize nini definition ya serikali? na kama mahakama ni sehemu ya public sector je wanalipwa kwa kazi gani? Kama wanaowahudumia ni watanzania je inakuwa vp 36% ya watanzania (ambao ni waislamu) isihudumiwe kwa kigezo eti the rest (30% wakristo na waliobakia hawatahudumiwa) iko wapi fairness??