Serikali yatoa Tumaini Mahakama ya Kadhi

Dont you think our kodi is stretched already kuliko kuiongezea mzigo wa mahakama (iwe ya kikristo, kipagani, kiislamu etc) what i think ni kwamba mambo kama afya, elimu, n.k. they need more money, na haya yatamnufaisha kila mtanzania hata mpagani ambaye hana dini .. kwanini tumtenge huyu mpagani na achangie kitu ambacho hakimsaidii

Kwani mie nikuulize nini definition ya serikali? na kama mahakama ni sehemu ya public sector je wanalipwa kwa kazi gani? Kama wanaowahudumia ni watanzania je inakuwa vp 36% ya watanzania (ambao ni waislamu) isihudumiwe kwa kigezo eti the rest (30% wakristo na waliobakia hawatahudumiwa) iko wapi fairness??
 
For your information mfadhili mkubwa wa Tanzania sasa hivi ni Mchina (hana dini), wakifuatiwa na nchi za kiarabu. Marekani na other western countries wanapledge tu kutoa lakini wakitoa either zinatoka pesa kidogo au zote zinachukuliwa na wao wenyewe watanzania wanafaidika kidogo tu. Ulizia vizuri data zako kabla hujasema. Pili huko marekani au Uingereza 10% ya wananchi wake ni waislamu je nawao watasemaje? Acheni kuwatisha waislamu wanapodai haki yao ya msingi.

.
Nchi za kiarabu zina misaada ipi kwa taifa la tanzania zaidi ya Tende na nyama za kafara kwa mungu wao?. Hata hivyo ni nani aliyewanyima waislamu ruhusa ya kumteua kadhi wao kupitia taasisi zao za kidini. Hapa kinachotafutwa sii kadhi kwa maana ya kadhi bali mamlaka ya kidola yanayotambulika kikatiba na kugaramiwa na serikali kuu. Huu ni uvunjifu wa katiba na kamwe hautavumiliwa.
 
Dont you think our kodi is stretched already kuliko kuiongezea mzigo wa mahakama (iwe ya kikristo, kipagani, kiislamu etc) what i think ni kwamba mambo kama afya, elimu, n.k. they need more money, na haya yatamnufaisha kila mtanzania hata mpagani ambaye hana dini .. kwanini tumtenge huyu mpagani na achangie kitu ambacho hakimsaidii

Na unaposema kodi inakuwa streched already unaweza kutwambia kodi yangu inaenda wapi? Hebu tupatie breakdown
 
avatar15832_1.gif

Samahani Henge picha yako ka vile makamu wa raisi Dr. Ghalibu Bilali
 
.
Nchi za kiarabu zina misaada ipi kwa taifa la tanzania zaidi ya Tende na nyama za kafara kwa mungu wao?. Hata hivyo ni nani aliyewanyima waislamu ruhusa ya kumteua kadhi wao kupitia taasisi zao za kidini. Hapa kinachotafutwa sii kadhi kwa maana ya kadhi bali mamlaka ya kidola yanayotambulika kikatiba na kugaramiwa na serikali kuu. Huu ni uvunjifu wa katiba na kamwe hautavumiliwa.

Uvunjivu wa kikatiba kwa ibara ipi hebu tufafanulie vizuri
 
.
Nchi za kiarabu zina misaada ipi kwa taifa la tanzania zaidi ya Tende na nyama za kafara kwa mungu wao?. Hata hivyo ni nani aliyewanyima waislamu ruhusa ya kumteua kadhi wao kupitia taasisi zao za kidini. Hapa kinachotafutwa sii kadhi kwa maana ya kadhi bali mamlaka ya kidola yanayotambulika kikatiba na kugaramiwa na serikali kuu. Huu ni uvunjifu wa katiba na kamwe hautavumiliwa.

Ingelikuwa vizuri ukaleta evidence kusema kwamba nchi za kiarabu kazi yao kuleta tende tu
 
Ni tusi kwa uislamu kutegemea kodi za makafiri(NON MUSLIM) kuendesha mahakama ya kadhi!na hasa ukizingatia fedha hizo zinapatikana kutokana na kutoza kodi kwenye biashara kama za nyama ya nguruwe,pombe na matozo ya riba ambayo ni haramu kwa uislam.Mbona waislamu wa Tanzania mnatia aibu sana!Najua mnajidanganya baada ya kuona rais,makamo wa rais na viongozi mbalimbali wa serikali ni waislamu.Hii ni kazi ngumu sana,si raisi kama mnavyofikiri!

Tanzania bila Mahakama ya kadhi na OIC inawezekana hata kama rais na makamu wake ni waislam!!!:llama::llama::llama:


 
Kwani mie nikuulize nini definition ya serikali? na kama mahakama ni sehemu ya public sector je wanalipwa kwa kazi gani? Kama wanaowahudumia ni watanzania je inakuwa vp 36% ya watanzania (ambao ni waislamu) isihudumiwe kwa kigezo eti the rest (30% wakristo na waliobakia hawatahudumiwa) iko wapi fairness??
ulifanya sensa lini ukaja na hizi percentages 30 percent and 36 percent
 
Ingelikuwa vizuri ukaleta evidence kusema kwamba nchi za kiarabu kazi yao kuleta tende tu

tetesi:naskia ukila tende unapunguza nguvu za nanihii.

mimi naogopaga kweli kula hzi kitu za kiarabu.

hafu ukizoeza kuwapa watoto ndo unawaharbu kabsaaaaaaaaaaaaa.

wanakuwa na tabia mbaya.

waarabu bwana siwawez
 
Ni tusi kwa uislamu kutegemea kodi za makafiri(NON MUSLIM) kuendesha mahakama ya kadhi!na hasa ukizingatia fedha hizo zinapatikana kutokana na kutoza kodi kwenye biashara kama za nyama ya nguruwe,pombe na matozo ya riba ambayo ni haramu kwa uislam.Mbona waislamu wa Tanzania mnatia aibu sana!Najua mnajidanganya baada ya kuona rais,makamo wa rais na viongozi mbalimbali wa serikali ni waislamu.Hii ni kazi ngumu sana,si raisi kama mnavyofikiri!

Tanzania bila Mahakama ya kadhi na OIC inawezekana hata kama rais na makamu wake ni waislam!!!:llama::llama::llama:



Na ni tusi kodi za waislamu kwenda kuhudumia kanisa vile vile
 
Good point mkuu labda nikuulize umesema Tanzania ni yetu sote sasa kama waislamu na sehemu ya watanzania wanahitaji pia uhuru wa kufanya mambo yao nchi kuna ubaya gani wakapewa mahakama ya kadhi. hebu nipe sababu mkuu at least wewe unakuja na mlango wa kistaarabu.

Mkuu ni kweli ni issue ya ustaarabu tu, wala haina haja ya kulumbana. Kwanza tungeambiwa mahakama za kawaida zina upungufu gani mpaka zionekane kushindwa ku-accomodate mambo ya waislamu au kama zinashughulikia mambo ya wakristo na wapagani kwa haki na kupuuza ya waislamu, tuambiwe ni mahakama gani itakuwa na final say, ya kadhi au ya mahakama kuu. Na kama hiyo mahakama itashughulikia mambo ya ndoa na mmoja kati ya wanandoa ni wa dini nyingine issue hii itashughulikiwa vipi.

Na kama mahakama za sasa zina upungufu (hazitendi haki kwa watanzania-waislamu na wakristo) kwa nini tusiombe reform kwa mahakama ili kuwe na haki kwa watanzania wote na si waislamu tu?

Ni kwanini sehemu moja ya watanzania iwe subjected kwenye two legal systmes, wengine kwenye legal system moja?

Mkuu unaweza kuona kuwa kuna maswali mengi kuliko majibu kuhusu idea nzima ya mahakama ya "kadhi". Hata mipaka yake bado haijulikani, maana Tanzania hakuna watu wanaoandikishwa kuwa waislamu, na ndoa kati ya dini mbalimbali hapa kwetu ni kawaida, tofauti sana na nchi zenye udini na ukabila. Kama wewe mkristo itakuwa ajabu sana mtu unaambiwa mkeo au mumeo mwislamu anaenda kuhukumiwa kwenye mahakama ya kadhi.

Inaonekana kama kuna watu waliitumia kwa sababu za kisiasa, na sio kuboresha maisha ya waislamu. MImi kwa mamoni yangu Mahakama za sasa zina matatizo makubwa, si kwa waislamu tu. Hata wapagani na wakristo nao wana matatizo nazo, for the sake of umoja wetu na utanzania wetu ni bora wote tupambane na mahakma hizi kuliko kuleta za kadhi.
 
CIA World Fact Book itakupa jibu lako. Pia sensa ya mwaka 2002 ijapokuwa majibu sijui yako wapi?

I don't believe Muslims can use CIA data as evidence.

Labda kama siyo CIA ya Marekani.

Au munamaanisha CIA = Chief Internal Auditor?
 
Mkuu ni kweli ni issue ya ustaarabu tu, wala haina haja ya kulumbana. Kwanza tungeambiwa mahakama za kawaida zina upungufu gani mpaka zionekane kushindwa ku-accomodate mambo ya waislamu au kama zinashughulikia mambo ya wakristo na wapagani kwa haki na kupuuza ya waislamu, tuambiwe ni mahakama gani itakuwa na final say, ya kadhi au ya mahakama kuu. Na kama hiyo mahakama itashughulikia mambo ya ndoa na mmoja kati ya wanandoa ni wa dini nyingine issue hii itashughulikiwa vipi.

Na kama mahakama za sasa zina upungufu (hazitendi haki kwa watanzania-waislamu na wakristo) kwa nini tusiombe reform kwa mahakama ili kuwe na haki kwa watanzania wote na si waislamu tu?

Ni kwanini sehemu moja ya watanzania iwe subjected kwenye two legal systmes, wengine kwenye legal system moja?

Mkuu unaweza kuona kuwa kuna maswali mengi kuliko majibu kuhusu idea nzima ya mahakama ya "kadhi". Hata mipaka yake bado haijulikani, maana Tanzania hakuna watu wanaoandikishwa kuwa waislamu, na ndoa kati ya dini mbalimbali hapa kwetu ni kawaida, tofauti sana na nchi zenye udini na ukabila. Kama wewe mkristo itakuwa ajabu sana mtu unaambiwa mkeo au mumeo mwislamu anaenda kuhukumiwa kwenye mahakama ya kadhi.

Inaonekana kama kuna watu waliitumia kwa sababu za kisiasa, na sio kuboresha maisha ya waislamu. MImi kwa mamoni yangu Mahakama za sasa zina matatizo makubwa, si kwa waislamu tu. Hata wapagani na wakristo nao wana matatizo nazo, for the sake of umoja wetu na utanzania wetu ni bora wote tupambane na mahakma hizi kuliko kuleta za kadhi.

Excellent mkuu ni swala la kujadiliana chini na kukubaliana kistaarabu but tatizo la wakristo wengine na humu JF ni kwamba linapokuja swala la mahakama kadhi ni kama it is a sin halifai hata kusemwa na baada ya hapo inafuata vitisho na mikwala na kudai kodi yao haiendi kwenye mahakama ya kadhi. Hizi stereotype statements ndio zinanikera mie kwanini? Kwani waislamu sio sehemu ya jamii ya watanzania?
 
For your information mfadhili mkubwa wa Tanzania sasa hivi ni Mchina (hana dini), wakifuatiwa na nchi za kiarabu. Marekani na other western countries wanapledge tu kutoa lakini wakitoa either zinatoka pesa kidogo au zote zinachukuliwa na wao wenyewe watanzania wanafaidika kidogo tu. Ulizia vizuri data zako kabla hujasema. Pili huko marekani au Uingereza 10% ya wananchi wake ni waislamu je nawao watasemaje? Acheni kuwatisha waislamu wanapodai haki yao ya msingi.

Hiyo kwenye rangi ni "mis-information" labda kama tafsiri yako ya neno "dini" ni kuwa na waumini wengi wa Uislamu au Ukristo.

China kuna Waislamu zaidi ya 100 milioni, kuna Budha, Wakristo n.k.
 
Hiyo kwenye rangi ni "mis-information" labda kama tafsiri yako ya neno "dini" ni kuwa na waumini wengi wa Uislamu au Ukristo.

China kuna Waislamu zaidi ya 100 milioni, kuna Budha, Wakristo n.k.

Najua kama kuna wachina waislamu hasa sehemu za north. Ila wachina wengi ni waumini wa kisoshalisti na wafuasi wa chairman Mao sasa still ni nchi haina dini!!
 
Kwani mie nanufaika na nini na kodi yangu ninayolipa serikalini? Kwani walipa kodi Tanzania ni wakristo pekee au vp mbona JF kuna watu mna fikra za mgando hivi!!

Kwa hivyo kama hunufaiki na kodi unayolipa serikalini ndio na kodi inayolipwa NA WENGINE igharamie mahakama ya kadhi? Nani na wapi kasema walipakodi ni wakristo peke yao?

Umethibitisha kuwa WEWE NDIE MWENYE FIKRA MGANDO kwa kuona kisichoandikwa - meaning You have a fixation about your own ideas believe it is truth!!!
 
nyie muslims hakuna anaye wakataza kua na kadhi,anzishenzi tu mahakama ila muifinance wenyewe tu,sio mnataka kubebwa na hela za selikali za watu wote wakristo na wapagani,mkitaka kua na kadhi mlipeni na sadaka zenu kama wakatoliki na mahakama zao
 
Hiyo kwenye rangi ni "mis-information" labda kama tafsiri yako ya neno "dini" ni kuwa na waumini wengi wa Uislamu au Ukristo.

China kuna Waislamu zaidi ya 100 milioni, kuna Budha, Wakristo n.k.

Ukitamka maneno kama hayo nchini China unanyongwa hadharani. Wachina, Wakorea na Wajapani hawapendi urongo na uzushi
 
Back
Top Bottom