Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Lunyungu Mimi Nakutafuta Sana Kama Uko Maeneo Haya Ya Udsm
Sasa Hivi Najuka Utawala Tuonane Hapo Hill Park Kama Una Muda Numbre Yangu Ni 0713 620278
Is this measure not (too) excessive? Au ndivyo tulivyo...kutumia akili kidogo, mabavu mengi.
Mukandala amekanusha kufa kwa mwanafunzi yeyote, anasema alipatwa na mshituko mkutokana na mimba na yupo katika hospitali moja huko mikocheni anatibiwa
This is sad story, hawa UDASA wapoje na Waziri Prof. Mzima haoni kama kufukuza wanafunzi siyo suluhisho? Halafu wanasema walikamatwa wanafunzi 39, waliofikishwa leo mahakamani ni 38 tu, huyu mmoja yupo wapi? kama wameua kweli si waseme? Duu ufisadi hadi kwenye masuala ya jamii!!