Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,161
Muda mfupi uliopita, waziri wa Elimu na Mafunzo ya ufundi, prof Jumanne Maghembe, amelitangazia Bunge kuwa serikali imefuta udahili wa wanafunzi takribani 300 wa Chuo Kikuu Dar es Salaam.
Katika maelezo yake, Prof Maghembe alisema kuwa wanafunzi hao wametimuliwa baada ya kukaidi amri ya uongozi wa chuo iliyowataka warejee madarasani.
Miongoni mwa waliotimuliwa ni wale waliogoma kuanzia juzi (zaidi ya 250) na wengine 38 ambao jana walikamatwa na polisi katika vurugu na leo wamefikishwa mahakamani kisutu wakikabiliwa na kesi 3 rofauti.
Katika maelezo yake, Prof Maghembe alisema kuwa wanafunzi hao wametimuliwa baada ya kukaidi amri ya uongozi wa chuo iliyowataka warejee madarasani.
Miongoni mwa waliotimuliwa ni wale waliogoma kuanzia juzi (zaidi ya 250) na wengine 38 ambao jana walikamatwa na polisi katika vurugu na leo wamefikishwa mahakamani kisutu wakikabiliwa na kesi 3 rofauti.