Huwezi kuamini wafanyakazi wa serikali hadi leo tarehe 2 hawajalipwa mishahara. Nimeombwa na rafiki zangu wawili kuwakopesha kwa vile mishahara haijatoka nikazungumza na jamaa yangu wa hazina anasema mishahara bado waliolipwa ni wajeshi na taasisi baadhi zimelipa kupitia OC. Huu ndio ukweli , kama serikali inashindwa kulipa mishahara kwa wakati tunarudi kama wakati wa Mwinyi mishahara tarehe 7. Kaserikali dhaifu! Vyama vya wafanyakazi vipo wapi au kazi yao kukusanya ada tu?
Watu wanaingia tarehe 6 kesho bila mishahara sijui serikali ina tatizo gani? Effect yake ni kuuwa sekta ya umma maana kama mtu huwezi kupata mshahara kwa wakati ulee familia yako utaijali kazi? je rushwa itaisha wakati hulipi mishahara?
Watu wanaingia tarehe 6 kesho bila mishahara sijui serikali ina tatizo gani? Effect yake ni kuuwa sekta ya umma maana kama mtu huwezi kupata mshahara kwa wakati ulee familia yako utaijali kazi? je rushwa itaisha wakati hulipi mishahara?