BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Pole sana Mkuu.
Dah!!!! Yaani tofauti ya zaidi ya wiki mbili na si ajabu hali hii inaweza kuendelea kwa wiki nyingine nzima!!!!! Hii si haki kabisa!!!![/QUOTE
Mbaya sana, kama huna pesa nyingine unategemea mshahara ni hatari hasa kwa january kama sasa ambapo watoto wanarudi shule kesho.