Serikali Yashindwa Kulipa Mishahara ya December

Pole sana Mkuu.

Dah!!!! Yaani tofauti ya zaidi ya wiki mbili na si ajabu hali hii inaweza kuendelea kwa wiki nyingine nzima!!!!! Hii si haki kabisa!!!![/QUOTE

Mbaya sana, kama huna pesa nyingine unategemea mshahara ni hatari hasa kwa january kama sasa ambapo watoto wanarudi shule kesho.
 
Back
Top Bottom