Serikali Yashindwa Kulipa Mishahara ya December

Serikali Yashindwa Kulipa Mishahara ya December

watu kama nyie mnakera sana.huu ni ukweli kuwa mpaka leo tarehe 02/012014 hatujalipwa mshahara wa mwezi december na serikali iko kimya kabisa.

Mpaka habari hizi ziende kwenye media ndio serikali itashituka na kuona aibu.
mshahara wa mwezi wa kumi na mbili?,ina maana wa mwezi wa kumi na moja umemaliza? Ndio maana rafiki wako wa hazina kakutajia oc ,ili usiendelee kumsumbua!
 
Acheni uongo jamani mishahara mpaka imeisha hizo data za uongo mnatoa wapi Watz bwana kwa mabango....!!!
 
Jina Lako lenyewe Bawa inaonyesha ni kiac gani uko kwapani kisha unatandika mkeka wa kimbea uone wangapi watakaa? Wewe sema upo wizara gani ambayo hujalipwa mshahara hadi Leo Kama co ustawisha genge upate utakao saidiana nao kuisema nchi yk Mimi niko wizara ya serikali na mshahara nimechukua tarehe 30/12/2013 bank ya CRDB ATM ya Oil Com mbezi beach chini! Tutafute mada nyingine ya kupoteza cku io futa bana!
 
Narudia, mlizoiba kupitia semina na vikao vya kubuni hazikuwatosha?
 
Jina Lako lenyewe Bawa inaonyesha ni kiac gani uko kwapani kisha unatandika mkeka wa kimbea uone wangapi watakaa? Wewe sema upo wizara gani ambayo hujalipwa mshahara hadi Leo Kama co ustawisha genge upate utakao saidiana nao kuisema nchi yk Mimi niko wizara ya serikali na mshahara nimechukua tarehe 30/12/2013 bank ya CRDB ATM ya Oil Com mbezi beach chini! Tutafute mada nyingine ya kupoteza cku io futa bana!

ni kweli kumbe tuko wengi ambao mishahara hajatoka?? Labda itoke leo tarehe 3. Hongereni walimu nasikia nyie mishahara ilitoka long tym kitambo!
 
Jina Lako lenyewe Bawa inaonyesha ni kiac gani uko kwapani kisha unatandika mkeka wa kimbea uone wangapi watakaa? Wewe sema upo wizara gani ambayo hujalipwa mshahara hadi Leo Kama co ustawisha genge upate utakao saidiana nao kuisema nchi yk Mimi niko wizara ya serikali na mshahara nimechukua tarehe 30/12/2013 bank ya CRDB ATM ya Oil Com mbezi beach chini! Tutafute mada nyingine ya kupoteza cku io futa bana!
Mimi ni mwalimu pale udsm. mshahara mpaka leo bado. uliza mwalim yeyote wa udsm hakuna aliyepata mshahara. chuo wanadai check bado.
 
Wanaostaili kulipwa kwa wakati ni Walimu, Polisi na Manesi maana hao hawana semina na vikao feki vya posho. The rest hata mkikosa sawa

Mimi ni mmojawapo wa uliowataja na bado sijauona huo mshahara hapo ndipo maadili ya kazi yanapokiukwa....mwalimu tuition, nesi lete pesa nikusaidie, polisi pokea rushwa....
 
Kupanda kwa gharama za umeme ni hatua muhimu ya serikali kujiondoa kwenye hii kadhia. Watakuwa wamewalilua Tanesco madeni ya Symbion and the like
 
...si bukubuku la kwenye simu mmekataa, machine za tra hamzitaki,serikali itapata wapi hela,labda wakope kwa mwigulu...
 
Waliokwapua hela zenu wanashinda wanazimwaga ovyo ovyo kwenye harambee za nyumba za ibada, bodaboda na kwingineko.
Wengine miaka kumi iliyopita walikuwa na vikampuni uchwara vya kujenga barabara za vumbi hadi vikapigwa stop na Magufuri,sasa hivi wanatangazwa kuwa kati ya mabilionea wa Afrika.
Ama kweli wajinga ndio waliwao. Tafakari chukua hatua.
 
Utasikia makusanyo ya kodi mwezi huu tumevuka malengo, huku watu wanalia hawajalipwa mshahara, usanii huu uwe na mwisho. Lkn na ninyi wafanyakazi mlimpa kura za nini na yeye alisema hataki kura zenu! wezi wakubwa ninyi mnaikumbatia ccm kwa kuruhusu muwaibie WADANGANYIKA.

Mkuu sio kila mtu msaliti!
 
Huwezi kuamini wafanyakazi wa serikali hadi leo tarehe 2 hawajalipwa mishahara. Nimeombwa na rafiki zangu wawili kuwakopesha kwa vile mishahara haijatoka nikazungumza na jamaa yangu wa hazina anasema mishahara bado waliolipwa ni wajeshi na taasisi baadhi zimelipa kupitia OC. Huu ndio ukweli , kama serikali inashindwa kulipa mishahara kwa wakati tunarudi kama wakati wa Mwinyi mishahara tarehe 7. Kaserikali dhaifu! Vyama vya wafanyakazi vipo wapi au kazi yao kukusanya ada tu?

Waliokopa kwako wamekutapeli tu baada ya kuzitumia vibaya siku ya x-mas. Mshahara ulitoka tarehe 23/12/2013. Wamekunywea poooombee...!!!
 
Ni kweli kabisa mpaka leo baadhi ya wafanyakazi bado hatujalipwa..na jibu ni moja tu hazina haina hela..what a shame??
 
Utasikia makusanyo ya kodi mwezi huu tumevuka malengo, huku watu wanalia hawajalipwa mshahara, usanii huu uwe na mwisho. Lkn na ninyi wafanyakazi mlimpa kura za nini na yeye alisema hataki kura zenu! wezi wakubwa ninyi mnaikumbatia ccm kwa kuruhusu muwaibie WADANGANYIKA.
Hili ni taifa lililoshindwa kwa kila kitu,kila mara nasema na nitarudia kusema.Kama taifa tumeanguka na hakuna wa kutuinua.
Wafanyakazi wa Serikali hawawezi kuachana na serikali hii ya ccm kwa kuwa nao ni sehemu ya mfumo mchafu ulioshindwa,kama sio wala rushwa wakubwa mkiacha walimu wengine mnaishije?kuna jamaa yangu yupo kwenye lile shirika linalohudumia MWANGA anawapenda MAGAMBA ile mbaya,yaani humwambii kitu.
 
inategemea serikalini idara gani,kama hazina umhimu kwa maslahi ya taifa mtasubiri sana,wakati mnafursa ya kugoma,anzisheni mgomo wa nchi nzima, sisiwengine hakuna sheria inayoturuhusu kufanya mgoma
 
Back
Top Bottom