BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Bajeti ya Serikali ya miezi 12 kuanzia July 2013 mpaka June 2014 ilitangazwa June 2013, leo Serikali haina pesa ya kulipa mishahara, ndani ya miezi sita!!!! Na hii trend ya kushindwa kulipa mishahara baada ya miezi michache tu yangu bajeti itangazwe rasmi huu ni mwaka wa nne sasa. 2009 au 2010 walianza kuchelewesha mishahara hadi tarehe 45 mpaka tarehe 50 kuanzia August/September ya mwaka huo. Huu ni ushahidi mwingine tosha wa Serikali hii dhalimu kuendelea kujikanyagakanyaga kwenye utendaji wake wa kila siku.