pole mkuu achana nae huyo yupo hapa kuspin mada, kiukweli serikali iko taabani dhoofu hali!
pole mkuu achana nae huyo yupo hapa kuspin mada, kiukweli serikali iko taabani dhoofu hali!
Umenichekesha kweli. Hadi leo tarehe 5 watu hawajalipwaNi kweli mishahara imechelewa lakini ni kwa sababu za msingi sana. Kwanza msiba wa Madiba, rais wetu mpendwa alienda mara mbili, halafu kutokana na safari nyingi akabidi aende kuchekiwa afya yake marekani. sasa wanaolalamika kutokuipwa mshahara wakumbuke rais kwanza mengine baadaye. CCM juuuuuuuuuuuu
Furahi mimi niko Serikalini na mshahara nshaumaliza duuuu labda tuna payroll tofauti sijui.
Muwe wakweli jamani.
Serikali ya JK imevunja record nyingi, mojawapo ya record ni kuchelewesha mishahara ya watumishi wa Umma. Wafanyakazi wa umma wanaingia tarehe 6 hawana mishahara. Serikali kama mwajiri kama imeshindwa kulipa mishahara iseme ili watu watafute kazi sekta binafsi.
Nikisoma comments za watu uwa na smile...yani watu hawajuhi kuwa serikali ina taasisi nyingi...mtu kulipwa yeye ana assume basi kila mtu kalipwa...
Mbona nyie mliolipwa hamkulipwa tarehe sawa (moja); mwingine anasema kalipwa tarehe 24, nmwingine tarehe 27, mwingine tarehe 30...sasa mnashangaa nini wenzenu wakisema hawajalipwa mpaka leo tarehe 3????? Wanalipa kwa awamu that is my deductive conclusion.
'Aloshiba hawezi kumjua mwenye njaa'
Hii ni taarifa ya maono, sio ya kiuchunguzi tafadhali.
mhh,hivi hii mishahara ambayo haijalipwa ni ipi,mbona tumelipwa
Nikisoma comments za watu uwa na smile...yani watu hawajuhi kuwa serikali ina taasisi nyingi...mtu kulipwa yeye ana assume basi kila mtu kalipwa...
Mbona nyie mliolipwa hamkulipwa tarehe sawa (moja); mwingine anasema kalipwa tarehe 24, nmwingine tarehe 27, mwingine tarehe 30...sasa mnashangaa nini wenzenu wakisema hawajalipwa mpaka leo tarehe 3????? Wanalipa kwa awamu that is my deductive conclusion.
'Aloshiba hawezi kumjua mwenye njaa'
Siku nyingine fikiria kabla hujaandikaMwafanya hujuma TRA, Hazina, Bandari, TANAPA, na ktka kila taasisi ya serikali ili msingizie serikali dhaifu. Miaka fulani kundi fulani lilikuwa likijidai wao ndiyo wasomi na kwamba kundi jingine la watu katika jamii hawajaso. Sasa na usomi wetu sisi tunaodai "the educated" tumeifanyia nini nchi zaidi ya ufisadi na sisi sasa ndityo tunalalamika. Tunaifilisi nchi kwa kujichumi kisha tunalalamika wenyewe. Huu ndiyo ukweli ulivyo kwenye maofisi ya umma.
View attachment 130008
Sijui vyama vya wafanyakazi Tanzania wana kazi gani. hadi leo watu hawajalipwa vyama kimyaNdio lazima tuwachanganye kuwalipa kwa mafungu ili mkose umoja....uliewaishiwa Leo unajiona una bahati na unaona ukienda mana au kulalamika unatulia ...Mwezi ujao tunakucheleweshea kidogo..utavumilia ukijuwa ukitoa Sauti utakosa kabisa.....devide and rule....
Hoja ni dhaifu sana kwani haina utafiti wa kutosha !!!!
Mimi mpaka lei tarehe 5 sijapata mshahara. Halafu eti wafanyakazi wengine wa Umma wamepata tangu tarehe 22 mbaya sana.
Dah!!!! Yaani tofauti ya zaidi ya wiki mbili na si ajabu hali hii inaweza kuendelea kwa wiki nyingine nzima!!!!! Hii si haki kabisa!!!![/QUOTE
Mbaya sana, kama huna pesa nyingine unategemea mshahara ni hatari hasa kwa january kama sasa ambapo watoto wanarudi shule kesho.