Serikali yashindwa kulipa mishahara mwezi Mei

Serikali yashindwa kulipa mishahara mwezi Mei

Status
Not open for further replies.
Mkuu sipo ofisini ninge-attach salary circular hapa,tena sasa huo ni wa TGSE,kuna wale wanaoanza kazi(bila kujali ana masters, wala CPA) anaanza na TGSD SHS.625,000 Basic na net ya 507,450!huu ndo mshahara wa wahasibu na wakaguzi(including ofisi ya CAG) wote serikalini isipokuwa mashirika ya umma na TRA

Ndo maana wanaiba!
 



Kuna tetesi ati kuwa mshahara umetoka, jamani nithibitishieni nipo kijijini kwenda mpaka mjini nauli 30000/= kwenda tu bado kulala geust na nauli ya kurudia.

Mshahara wangu ni laki nne kasoro mimi mwalimu shule ya msingi!



Umesema unafundisha shule gani vile?.
 



Kuna tetesi ati kuwa mshahara umetoka, jamani nithibitishieni nipo kijijini kwenda mpaka mjini nauli 30000/= kwenda tu bado kulala geust na nauli ya kurudia.

Mshahara wangu ni laki nne kasoro mimi mwalimu shule ya msingi!


...haya ndio baadhi ya mambo anayotakiwa ayajibu Mwigulu Nchemba.....haswa wakati huu anapotangaza nia kugombea urais....Atuambie hazina yetu wanaiachaje????...kuna reserve kiasi gani???....ama wanajichotea wanavyotaka?

CC: Mwigulu Nchemba
 



Kuna tetesi ati kuwa mshahara umetoka, jamani nithibitishieni nipo kijijini kwenda mpaka mjini nauli 30000/= kwenda tu bado kulala geust na nauli ya kurudia.

Mshahara wangu ni laki nne kasoro mimi mwalimu shule ya msingi!



Pamoja na mateso haya yote wanaopata wafanyakazi eti Prince na team yake inadhani wanaweza mpitisha uncle yao Membe ili waendelee na third term. Wafanyakazi wote please say NO to Membe project
 
Pamoja na mateso haya yote wanaopata wafanyakazi eti Prince na team yake inadhani wanaweza mpitisha uncle yao Membe ili waendelee na third term. Wafanyakazi wote please say NO to Membe project

Kumbe na wewe ni mtumishi wa umma au?
 



Kuna tetesi ati kuwa mshahara umetoka, jamani nithibitishieni nipo kijijini kwenda mpaka mjini nauli 30000/= kwenda tu bado kulala geust na nauli ya kurudia.

Mshahara wangu ni laki nne kasoro mimi mwalimu shule ya msingi!


Kwangu mimi bado haujafika ...
 
Acha uongo wako hapa. Huo ni uzushi tu, unapenda sifa za chee wewe!

Mtasema mengi mwaka huu. Hakuna hela za Escrow au Jumba kuu. Watanznia please NZo with Team Membe and third term to this 4th Regime. Nchi imefilisika kwa ajilinya hawa jamaa, then bila aibu wanataka third term
 
Kwa taarifa nilizopata toka vyanzo vya ndani hazina ni kwamba mpaka sasa asilimia kubwa kama si wote wanaolipwa kutokea hazina hawajalipwa mishahara yao. Na hii inatokana na serikali kutokuwa na hela mpaka Jana za kutosha kulipa mishahara.

Fedha ambazo zilitengwa kwa ajili ya kulipa mishahara zimelipwa kwa wanafunzi kama bumu yao ili wasikose kura za wanachuo maana mgomo wao ulishaanza kusambaa nchi nzima na hyo ingeathiri uchaguzi wa Oktoba kwa CCM. Pia inasemekana naibu Waziri wa fedha anataka kupiga kupata hela ya kampeni.


Pigia kura CCM upate maisha bora
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom