Serikali yashindwa kulipa mishahara mwezi Mei

Serikali yashindwa kulipa mishahara mwezi Mei

Status
Not open for further replies.
Mzee wa kuyumba kama mwanayumba, muweweseko wa nini? Mwisho wa reli ni Kigoma, mwisho utafika tuu, tujipange kufanya kazi kwa ajili ya maendeleo na siyo hizo fujo za matamanio makubwa ya kutaka madaraka kuliko kutumikia. Mnapenda sana kutumikiwa ndiyo maana mnahaha sana. Mhaho wa nini? kama mnajiamini ombeni ridhaaa siyo kushinikiza watu kwa vururu vururu zenu hapa. Ebo!

Kweli wacheza bao wanashangaza. Ten years unanfunga mtu viatu then unaona sawa. Ua ni wazungu wanaita brainwash. Kweli kazi ipo na watu wa Pwani. Watanzania wezangu tumewapa nchi hawa jamaa for ten years, nafikiri kila mtu anajua tulipo sasa, Please Please tusifanye kosa, No third term, No uncle, No project jumba kuu aka Membe
 



Kuna tetesi ati kuwa mshahara umetoka, jamani nithibitishieni nipo kijijini kwenda mpaka mjini nauli 30000/= kwenda tu bado kulala geust na nauli ya kurudia.

Mshahara wangu ni laki nne kasoro mimi mwalimu shule ya msingi!



Duh nimejikuta nacheka tu. Pole sana mkuu kama ni ya kweli hayo
 



Kuna tetesi ati kuwa mshahara umetoka, jamani nithibitishieni nipo kijijini kwenda mpaka mjini nauli 30000/= kwenda tu bado kulala geust na nauli ya kurudia.

Mshahara wangu ni laki nne kasoro mimi mwalimu shule ya msingi!



Unayejiita mwalimu eidha kwa uhalisia au kutaka public sympathy, sio vema kulalamika njaa mbele ya kadamnasi, jifunze kuwa msiri kwa baadhi ya mambo especially mshahara.
 
kwa "agencies" za serikali kama TANROAD, TRA n.k. wanalipa
Mkuu kwa tanroad sijui ila TRa sio kweli,wanalipa mshahara mkubwa kuliko huo,mimi nilisikis kwa serikali wahasibu wa halmashauri ndio wanalipwa kidogo ila taasisi zingine za serikali zinazojitegemea wanalipa poa ingawa baadhi kweli wanalipa kidogo kama Tanesco wanalipa laki 7 hivi.

Serikali itaua watu kwa mshahara huo inamchochea mtu kua mwizi hasa kama unaishi dar na maisha yalivyo magumu lazima watu wawe wezi. Serikali bado haijaweka usawa katika mishahara maana kuna baadhi ya idara zake nazojua wanalipa mshahara mkubwa sana kwa wahasibu.
 
Mkuu sipo ofisini ninge-attach salary circular hapa,tena sasa huo ni wa TGSE,kuna wale wanaoanza kazi(bila kujali ana masters, wala CPA) anaanza na TGSD SHS.625,000 Basic na net ya 507,450!huu ndo mshahara wa wahasibu na wakaguzi(including ofisi ya CAG) wote serikalini isipokuwa mashirika ya umma na TRA

MKuu hiyo ni hatari,huwa nasikia wahasibu wa halmashauri au serikali kuu ndio wanalipwa mshahara mdogo ikiwemo hao wa CAG ila baadhi ya mashirika ya umma kama Tanesco wanalipwa laki 7 hivi ila TRa wanalipa mkubwa kidogo,TPDC,TPA,EWURA wao ko juu kidogo.

Serikali inachochea watu kua wezi, haiwezekani walipe mtu mshahara mdogo namna hiyo.
 
Hivi Lab technician(certificate,diploma) mishahara yao Serikalini ipoje?.Nisaidieni,nataka nimpeleke dogo akasomee hiyo fani kama inalipa
 
Hivi Lab technician(certificate,diploma) mishahara yao Serikalini ipoje?.Nisaidieni,nataka nimpeleke dogo akasomee hiyo fani kama inalipa
Acha mambo ya kizamani. Usisome fani kwa kua ina mshahara mzuri, soma kwa kua unaipenda. Nakuhakikishia, kama haiko katika damu yako hata wakulipe bei gani utakua nanga tu eneo la kazi na utaishia kufanya madudu
 
Kweli wacheza bao wanashangaza. Ten years unanfunga mtu viatu then unaona sawa. Ua ni wazungu wanaita brainwash. Kweli kazi ipo na watu wa Pwani. Watanzania wezangu tumewapa nchi hawa jamaa for ten years, nafikiri kila mtu anajua tulipo sasa, Please Please tusifanye kosa, No third term, No uncle, No project jumba kuu aka Membe

Acha maneno yako wewe ya kulamba lamba wanaokutuma kuchafua hali ya hewa humu. Maneno ya asiye na busara siku zote utamuona tu anaishia kulalamika tu. Wewe nenda zako rudi ukaswali kabla hujaswaliwa. Maana inaonekana unaweweseka tu hapa.
 
kozi zote hizo wanazokata kwenye mishahara wanashindwa kulipa mishahara kwa wakati?
 
kozi zote hizo wanazokata kwenye mishahara wanashindwa kulipa mishahara kwa wakati?

Hujaeleweka ndg.chija. Wewe chija mbona unalalamika? Ukweli uwe ukweli. Haki ni lazima iende na wajibu. Je? Umetimiza wajibu wako?
 
Acha maneno yako wewe ya kulamba lamba wanaokutuma kuchafua hali ya hewa humu. Maneno ya asiye na busara siku zote utamuona tu anaishia kulalamika tu. Wewe nenda zako rudi ukaswali kabla hujaswaliwa. Maana inaonekana unaweweseka tu hapa.

Bukama Batoko, moto uliuona na ndiyo mwanzo tu. Ninakushauri kawekeni nguvu Chalinze kwa mpambe wenu maana. Watanzania hawwezi kubali third term, watanzania wenzangu please say No to third term, No to Uncle no to project ya jumba kuu AKA Membe
 
Acha mambo ya kizamani. Usisome fani kwa kua ina mshahara mzuri, soma kwa kua unaipenda. Nakuhakikishia, kama haiko katika damu yako hata wakulipe bei gani utakua nanga tu eneo la kazi na utaishia kufanya madudu

Lab technician mshahara 610000/=kama unaanza
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom