Haki na wajibu!!!teh teh umeshatoroka kazini mara ngapi ndani ya mwezi huu!!
Hawa vijana ndo mafisadi anadai mshahara umechelewa toka ameingia ofisini asubuhi hajafanya kazi yoyote ni kushinda kwenye mitandao ya kijamii kwa kutumia Internet ya Mwajiri wake,Anaingia JF na kutukana viongozi hawawajibiki.
Vijana kama hawa ni Mizigo Mizigo Mizigo kwa taifa.