Serikali yashindwa kulipa mishahara mwezi Mei

Serikali yashindwa kulipa mishahara mwezi Mei

Status
Not open for further replies.
serikali ya ccm iko dhohofu ile hali...

Pia wanataman hata uchaguzi uwe kesho ili wapumzike maana ni soo ila Mwigulu Nchemba naibu Waziri yeye wala hajaliona hili angalau hata alitolee ufafanuzi. Na kwa nimjuavyo atadanganya kuna system ya ulipaji hazina imekorofisha ila hela zipo mark ma word
 
Last edited by a moderator:
Pia wanataman hata uchaguzi uwe kesho ili wapumzike maana ni soo ila Mwigulu Nchemba naibu Waziri yeye wala hajaliona hili angalau hata alitolee ufafanuzi. Na kwa nimjuavyo atadanganya kuna system ya ulipaji hazina imekorofisha ila hela zipo mark ma word

Ukiwa source mzuri ndani ya hazina unaweza kutuambia hali ilivyo!!
 
Ha ha ha trend inawashika watu sana,serikali imechoka kwanzia mwezi wa kwanza hadi leo hawapeleka hundi za malipo ya mifuko ya pensheni either mchango wa mfanyakazi na hata wa mwajiri,Je kama sikufilisika nini?Pia mjiulize mifuko ikifilisika mtamdai nani?Kama sikuwa kama wazee wa EAC-Community na Reli zamani...Lol wafanyakazi pigeni chini MaCCM wanawaibia sana,Pia nimegundua Mbunge yeyeto waCCM hakuna nachoweza kukusaidia cha msingi tubadilishe uongozi ili watendaji wezi na network zao ziondolewe nchi hii ya Tanzania.
Poleni sana kwa yote,lakini mabadiliko ni wewe na si mwingine.
 
Pia wanataman hata uchaguzi uwe kesho ili wapumzike maana ni soo ila Mwigulu Nchemba naibu Waziri yeye wala hajaliona hili angalau hata alitolee ufafanuzi. Na kwa nimjuavyo atadanganya kuna system ya ulipaji hazina imekorofisha ila hela zipo mark ma word


Ndio maana hakuna anayefaa ndani ya ccm
 
Last edited by a moderator:



Kuna tetesi ati kuwa mshahara umetoka, jamani nithibitishieni nipo kijijini kwenda mpaka mjini nauli 30000/= kwenda tu bado kulala geust na nauli ya kurudia.

Mshahara wangu ni laki nne kasoro mimi mwalimu shule ya msingi!


mwalimu utaendelea kuchagua CCM?
 
Mkuu taasisi gani ya serikali inalipa huo mshahara mhasibu,halmashauri au wapi,aisee kweli serikali inaonea watuu.
Mkuu sipo ofisini ninge-attach salary circular hapa,tena sasa huo ni wa TGSE,kuna wale wanaoanza kazi(bila kujali ana masters, wala CPA) anaanza na TGSD SHS.625,000 Basic na net ya 507,450!huu ndo mshahara wa wahasibu na wakaguzi(including ofisi ya CAG) wote serikalini isipokuwa mashirika ya umma na TRA
 
Mkuu sipo ofisini ninge-attach salary circular hapa,tena sasa huo ni wa TGSE,kuna wale wanaoanza kazi(bila kujali ana masters, wala CPA) anaanza na TGSD SHS.625,000 Basic na net ya 507,450!huu ndo mshahara wa wahasibu na wakaguzi(including ofisi ya CAG) wote serikalini isipokuwa mashirika ya umma na TRA

Attach kabisa bwana tuone,inabidi ufanye juhudi za ziada tuone ukweli huo aisee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom