Serikali yashindwa kulipa mishahara mwezi Mei

Serikali yashindwa kulipa mishahara mwezi Mei

Status
Not open for further replies.
Sasa mbona wanakimbilia kuongeza majimbo ya uchaguzi? Is that a pressing need?
 
Mkuu you might be right, Jana usiku kipindi cha Bunge, nilimsikia Mh. Joseph Mbilinyi aka Sugu Waziri Kivuli wa Habari vijana na michezo, akisema kwamba Watumishi wote wa serikali na Taaisisi zake hadi jana walikuwa hawajalipwa mishahara yao.

Hakuna waziri aliyekanusha taarifa hiyo Sugu, kuashiria kwamba ilikuwa kweli. Kama hii serikali imeanza kuchechemea kulipa mishahara ya wafanyakazi wake May, Je ikifika Mwezi September na October kweli itaweza kulipa mishahara ya Wafanyakazi wake.

I can see mambo yakizidi kuwa mabaya kadri tunavyoikaribia October 2015

Kwani mshahara ukitoka unapitia bungeni?si kwenye akaunti za watu sasa wewe na huyo mwenzako mtueleze mko taasisi gani nyie ili mpate za kwenu pengine mmeshafukuzwa kazi!
 
Nimeshafanya kazi,nawataka leo leo mlinipe Shs.630,000 zangu.sio ombi ni lazima.ikifika j3 ntaenda kufungua kesi
 
Kwa wadau mliopo serikalini, naomba kuuliza hivii wenzangu mmepata mshahara wa mwezi May?
Kuna tetesi kuwa mshahara hazina imewalipa wanafunzi bum hela ya mshahara ....
 
mnatufanya hatuna akili?,kwani boom ni trilion ngapi?
 
Kwani mshahara ukitoka unapitia bungeni?si kwenye akaunti za watu sasa wewe na huyo mwenzako mtueleze mko taasisi gani nyie ili mpate za kwenu pengine mmeshafukuzwa kazi!

Mbona mshahara umetoka jana?

Haina haja ya kujua taasisi na pia soma bandiko juu linasemaje. Tulivyowaambia mmechoka na mmeshindwa kuongoza hii nchi mlizan tunamaanisha nini. Na cjui nani katuloga watanzania tunashindwa kutambua baya yaan miaka yote hii na shida zote hizi bado unaona ni halali yako kweli ni akili hii. We unaambiwa mishahara haijaingia mpk leo
 
Wewe nani mbona watumishi wa serikali wote wamepata mishahara , naona wewe utakuwa mwalimu tu wewe,
 
Haina haja ya kujua taasisi na pia soma bandiko juu linasemaje. Tulivyowaambia mmechoka na mmeshindwa kuongoza hii nchi mlizan tunamaanisha nini. Na cjui nani katuloga watanzania tunashindwa kutambua baya yaan miaka yote hii na shida zote hizi bado unaona ni halali yako kweli ni akili hii. We unaambiwa mishahara haijaingia mpk leo

Kwani leo tarehe ngapi???makubaliano yako na mwajiri wako ni tarehe ngapi??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom