Serikali imeshindwa kulipa malimbikizo ya mishahara toka 2017 hadi 2021

50cent

JF-Expert Member
Aug 6, 2014
270
134
Kuna watumishi walipandishwa madaraja 2016, 2017, 2019 na 2021. Marekebisho ya mishahara yakacheleweshwa hivyo kusababisha madeni ya malimbikizo ya mshahara.

Kila waziri anayeteuliwa wizara ya Utumishi na Tamisemi wamekuwa wakijinadi kulipa lakini hadi wanahamishwa hakuna kinachofanyika.

Wakurugenzi kupitia maafisa Utumishi wamekuwa wakisumbua Watumishi kujaza fomu za madai kila mara lakini hakuna kinachofanyika.

Sasa waziri wa Utumishi na Tamisemi kama madeni hayo mnajua hayalipiki toeni tamko ijulikane kuliko kuwaingiza watumishi kwenye hasara za kusafiri kwenda halimashauri, kupriti na kutoa copy nyaraka.

Ikumbukwe kuna watumishi wameshapandishwa mara mbili, hivyo wanadai malimbikizo mara mbili.

Naomba kuwasilisha
 
Kuna watumishi walipandishwa madaraja 2016, 2017, 2019 na 2021. Marekebisho ya mishahara yakacheleweshwa hivyo kusababisha madeni ya malimbikizo ya mshahara.

Kila waziri anayeteuliwa wizara ya Utumishi na Tamisemi wamekuwa wakijinadi kulipa lakini hadi wanahamishwa hakuna kinachofanyika.

Wakurugenzi kupitia maafisa Utumishi wamekuwa wakisumbua Watumishi kujaza fomu za madai kila mara lakini hakuna kinachofanyika.

Sasa waziri wa Utumishi na Tamisemi kama madeni hayo mnajua hayalipiki toeni tamko ijulikane kuliko kuwaingiza watumishi kwenye hasara za kusafiri kwenda halimashauri, kupriti na kutoa copy nyaraka.

Ikumbukwe kuna watumishi wameshapandishwa mara mbili, hivyo wanadai malimbikizo mara mbili.

Naomba kuwasilisha
Serikali Yako inalipa madeni ya nje yenye 10% tu watumishi wametelekezwa
 
Serikali imekuja na wazo zuri la kueffect mshahara wa mtumishi immediately mara tu baada ya kupanda ila kinachoshangaza sijui kuna nini mpaka inashindwa kulipa malimbikizo ya mishahara ambayo yanadaiwa miaka na miaka mfano kwa waliopanda 2014 na 2017.

Huko nyuma kipindi cha Magu kisingizio kilikuwa tunahakiki tunahakiki.Siku hizi ni kila wakati jazeni kwenye template jazeni kwenye template hivi nyie watu wa wizara ya utumishi na wa TAMISEMI mnapata faida gani kuwasumbua watumishi wa umma wa kada za chini wakiwemo manesi maveo na walimu wetu kwa kuwapiga danadana arrears zao?Au toeni tamko tu kwamba malimbikizo yote yamefutwa ili watu wasitegemee kitu ambacho hakiji kulipwa
 
Kuna watumishi walipandishwa madaraja 2016, 2017, 2019 na 2021. Marekebisho ya mishahara yakacheleweshwa hivyo kusababisha madeni ya malimbikizo ya mshahara.

Kila waziri anayeteuliwa wizara ya Utumishi na Tamisemi wamekuwa wakijinadi kulipa lakini hadi wanahamishwa hakuna kinachofanyika.

Wakurugenzi kupitia maafisa Utumishi wamekuwa wakisumbua Watumishi kujaza fomu za madai kila mara lakini hakuna kinachofanyika.

Sasa waziri wa Utumishi na Tamisemi kama madeni hayo mnajua hayalipiki toeni tamko ijulikane kuliko kuwaingiza watumishi kwenye hasara za kusafiri kwenda halimashauri, kupriti na kutoa copy nyaraka.

Ikumbukwe kuna watumishi wameshapandishwa mara mbili, hivyo wanadai malimbikizo mara mbili.

Naomba kuwasilisha
Ila imelipa 75 bil kwa kampuni ya madini baada ya kushindwa kesi. Unajua why? Huko kuna pay back ndiyo maana wanalipa haraka, huku kwenye mishahara hakuna payback
 
Kuna watumishi walipandishwa madaraja 2016, 2017, 2019 na 2021. Marekebisho ya mishahara yakacheleweshwa hivyo kusababisha madeni ya malimbikizo ya mshahara.

Kila waziri anayeteuliwa wizara ya Utumishi na Tamisemi wamekuwa wakijinadi kulipa lakini hadi wanahamishwa hakuna kinachofanyika.

Wakurugenzi kupitia maafisa Utumishi wamekuwa wakisumbua Watumishi kujaza fomu za madai kila mara lakini hakuna kinachofanyika.

Sasa waziri wa Utumishi na Tamisemi kama madeni hayo mnajua hayalipiki toeni tamko ijulikane kuliko kuwaingiza watumishi kwenye hasara za kusafiri kwenda halimashauri, kupriti na kutoa copy nyaraka.

Ikumbukwe kuna watumishi wameshapandishwa mara mbili, hivyo wanadai malimbikizo mara mbili.

Naomba kuwasilisha
Si nenda mahakama ya kazi.
 
Back
Top Bottom