Serikali yaajiri walimu hewa(?) Ushahidi huu hapa...

Naona kuna watu wanataka wanachoamini wao ndio wanataka wengine waamini hivyo hivyo, ukitofautiana nao basi unaambulia matusi. this is not fair.
1. Kwanza makosa ya kibinadamu yapo. Kwa hiyo kilichotokea kinaweza kuwa kwa kukusudia au kimakosa
2. Hili la jina kutokea mara mbili au tatu huwa lipo. Na tatizo hili huwa linatokea lakini mfumo wa kiajira hulifuta. Kwa mfano mtu amepangiwa vituo viwili, anapofika kituo ambacho ameamua kwenda basi hufanyiwa uhakiki upya na kama kuna makosa haajiriwi na taarifa hutolewa kunako husika. Katika kituo kingine atakuwa hakuripoti hivyo hutolewa.
3. Ni vigumu mishahara kupigwa kwani hata mhusika akifanya mbinu za kuripoti sehemu mbili waajiri wana utaratibu wa kuhakiki payroll kwa wale watoro kwa hiyo mtu wa hivyo hataonekana kazini upande mmoja kwa zaidi ya siku tatu na atatolewa ripoti ya utoro.
4. Kwa utawala uliopo mtu atakayefanya hila za kuchakachua mishahara atakuwa ameamua kujitoa mhanga kitakachomtokea sisemi. Hivi mtu anaweza kuhatarisha ajira yake kwa mishahara ya watu watatu?
5. Mwisho kichwa cha habari kinaweza kuwa sahihi kwa idadi ya waliopita lakini watakao ripoti, hata kama idadi iliyotolewa iko sahihi bila makosa watakao ripoti sio wote, kuna wengine kwa kipindi cha tangu watume maombi watakuwa wamepata shughuli nyingine, au ajira nyingine au hata kufariki. Hapo kwa idadi pungufu (imeitwa hewa) haitakosekana.

NASUBIRI MATUSI KWA WASIOKUBALI MAWAZO TOFAUTI NA YAO - TUMEWAZOEA.
Mkuu toa explaination kidogo ya mtu mmoja kumaliza miaka miwili tofauti
 
Naona kuna watu wanataka wanachoamini wao ndio wanataka wengine waamini hivyo hivyo, ukitofautiana nao basi unaambulia matusi. this is not fair.
1. Kwanza makosa ya kibinadamu yapo. Kwa hiyo kilichotokea kinaweza kuwa kwa kukusudia au kimakosa
2. Hili la jina kutokea mara mbili au tatu huwa lipo. Na tatizo hili huwa linatokea lakini mfumo wa kiajira hulifuta. Kwa mfano mtu amepangiwa vituo viwili, anapofika kituo ambacho ameamua kwenda basi hufanyiwa uhakiki upya na kama kuna makosa haajiriwi na taarifa hutolewa kunako husika. Katika kituo kingine atakuwa hakuripoti hivyo hutolewa.
3. Ni vigumu mishahara kupigwa kwani hata mhusika akifanya mbinu za kuripoti sehemu mbili waajiri wana utaratibu wa kuhakiki payroll kwa wale watoro kwa hiyo mtu wa hivyo hataonekana kazini upande mmoja kwa zaidi ya siku tatu na atatolewa ripoti ya utoro.
4. Kwa utawala uliopo mtu atakayefanya hila za kuchakachua mishahara atakuwa ameamua kujitoa mhanga kitakachomtokea sisemi. Hivi mtu anaweza kuhatarisha ajira yake kwa mishahara ya watu watatu?
5. Mwisho kichwa cha habari kinaweza kuwa sahihi kwa idadi ya waliopita lakini watakao ripoti, hata kama idadi iliyotolewa iko sahihi bila makosa watakao ripoti sio wote, kuna wengine kwa kipindi cha tangu watume maombi watakuwa wamepata shughuli nyingine, au ajira nyingine au hata kufariki. Hapo kwa idadi pungufu (imeitwa hewa) haitakosekana.

NASUBIRI MATUSI KWA WASIOKUBALI MAWAZO TOFAUTI NA YAO - TUMEWAZOEA.
we jamaaa huoni aibu,,kwa miaka hii idara ya ajira imekuwa ni jicho la wengi sana pia kumbuka kuwa siku hizi kila kitu kipo kielectronic zaid sasa hawa jamaa laiti wangekosea kwa mtu mmoja au wawili tungesema ni sawa ila kwa hao walioletwa na mleta mada ni wengi sana na nahisi mleta mada alichoka kuendelea na hii kazi ya kufukunyuwa ila inaonekana walimu hewa wapo wengi sana kwenye hizo ajira mpya
 
Hata kipindi kile waliajiri walimu hewa

Huu nao ni ufisadi mwingine ndani ya serikali ya Jiwe maana wanaingia kwenye Mfumo wa mishahara wa watumishi wa umma wakati ni majina hewa"

Au ni kudanganya watu kwamba tumeajiri walimu elf4 kumbe ukute ni elf 1 .......

Hii serikali ya kupika data ni shida.
Ishitakiwe kwa mujibu ya sheria ya Takwimu iliyoandaliwa kutisha wapinzani
 
Duuuh, we jamaa kiboko aisee.., ahsante kwa uchunguzi wa kina, wengi wetu hatuna muda wa kuchunguza vitu kwa kina namna hiyo, aisee...!!!
 
Hata kipindi kile waliajiri walimu hewa

Huu nao ni ufisadi mwingine ndani ya serikali ya Jiwe maana wanaingia kwenye Mfumo wa mishahara wa watumishi wa umma wakati ni majina hewa"

Au ni kudanganya watu kwamba tumeajiri walimu elf4 kumbe ukute ni elf 1 .......

Hii serikali ya kupika data ni shida.
Hao wote wanaingizwa kwenye payroll na kulipwa mishahara kama kawaida, watumishi hewa wanarudi taratibu kwenye payroll, huu ni ufisadi na tunarudi kulekule kwenye wizi wa ghost workers!
 
Naona kuna watu wanataka wanachoamini wao ndio wanataka wengine waamini hivyo hivyo, ukitofautiana nao basi unaambulia matusi. this is not fair.
1. Kwanza makosa ya kibinadamu yapo. Kwa hiyo kilichotokea kinaweza kuwa kwa kukusudia au kimakosa
2. Hili la jina kutokea mara mbili au tatu huwa lipo. Na tatizo hili huwa linatokea lakini mfumo wa kiajira hulifuta. Kwa mfano mtu amepangiwa vituo viwili, anapofika kituo ambacho ameamua kwenda basi hufanyiwa uhakiki upya na kama kuna makosa haajiriwi na taarifa hutolewa kunako husika. Katika kituo kingine atakuwa hakuripoti hivyo hutolewa.
3. Ni vigumu mishahara kupigwa kwani hata mhusika akifanya mbinu za kuripoti sehemu mbili waajiri wana utaratibu wa kuhakiki payroll kwa wale watoro kwa hiyo mtu wa hivyo hataonekana kazini upande mmoja kwa zaidi ya siku tatu na atatolewa ripoti ya utoro.
4. Kwa utawala uliopo mtu atakayefanya hila za kuchakachua mishahara atakuwa ameamua kujitoa mhanga kitakachomtokea sisemi. Hivi mtu anaweza kuhatarisha ajira yake kwa mishahara ya watu watatu?
5. Mwisho kichwa cha habari kinaweza kuwa sahihi kwa idadi ya waliopita lakini watakao ripoti, hata kama idadi iliyotolewa iko sahihi bila makosa watakao ripoti sio wote, kuna wengine kwa kipindi cha tangu watume maombi watakuwa wamepata shughuli nyingine, au ajira nyingine au hata kufariki. Hapo kwa idadi pungufu (imeitwa hewa) haitakosekana.

NASUBIRI MATUSI KWA WASIOKUBALI MAWAZO TOFAUTI NA YAO - TUMEWAZOEA.
Utetezi huu pelekea watoto wa chekechea, sio watu wazima wenye akili zao, hivi hayo makosa yalivyo so well sculpted namna hiyo unathubutu kusema ni bahati mbaya?, hapo mtu inaonekana alikaa akawa anasuka namna nzuri ya kuingiza hayo majina feki, wewe useme ni bahati mbaya, watz sio wajing hivyo, no!
 
Hata kipindi kile waliajiri walimu hewa

Huu nao ni ufisadi mwingine ndani ya serikali ya Jiwe maana wanaingia kwenye Mfumo wa mishahara wa watumishi wa umma wakati ni majina hewa"

Au ni kudanganya watu kwamba tumeajiri walimu elf4 kumbe ukute ni elf 1 .......

Hii serikali ya kupika data ni shida.
Don't stoop too low! Yaani hata kosa la uchapishaji ni kuajiri mara mbili. Wale wenye hiyo nia hawafanyi hivyo. Ni wajanja kuliko unavyofikiria. Na mtu yeyote anayedhani huo ni ushahidi wa ufisadi inabidi ajitathimini mwenyewe. Hakuna mwenye akili mbovu mwenye nia ufisadi atafanya hivyo. Naona sasa tunakosa cha kuchangia!
 
Don't stoop too low! Yaani hata kosa la uchapishaji ni kuajiri mara mbili. Wale wenye hiyo nia hawafanyi hivyo. Ni wajanja kuliko unavyofikiria. Na mtu yeyote anayedhani huo ni ushahidi wa ufisadi inabidi ajitathimini mwenyewe. Hakuna mwenye akili mbovu mwenye nia ufisadi atafanya hivyo. Naona sasa tunakosa cha kuchangia!
Jaribu kugicha ujinga wako
 
huu ni upigaji wa moja kwa moja, yaani waalimu hewa, mishahara hewa na watu wenye vigezo wamepigwa pending
 
Katika ajira 4549 zilizotangazwa wiki iliyopita, baadhi ya majina yameajiriwa mara mbili katika vituo viwili tofauti. Ukifatilia katika matokeo yao ya NECTA kwa mwaka husika, unagundua kuwa namba hazikujirudia.

1.Hawa hapa walimaliza F4 mwaka 2010
View attachment 1085322
Matokeo ya NECTA ni namba moja tu
View attachment 1085323

2. Hawa walimaliza F4 2012
View attachment 1085324
Matokeo ya NECTA ni namba moja tu
View attachment 1085325
3. Hawa hapa mmoja alimaliza F4 2011 na mwingine 2015
View attachment 1085328
lakini jambo la kushangaza ni kwamba mwaka 2015 jumla ya idadi ya watahiniwa iliishia 0126 wakati huyu akionekana kuwa na namba 0131.
2011;
View attachment 1085329

2015;View attachment 1085330

4. Cheki hawa hapa, mmoja kaongezewa SURNAME halafu mwingine namba yake ya F4 imeandikwa kwa irabu 'O' ilihali matokeo yanaonesha aliyefanya mtihani ni mtu mmoja tu.
View attachment 1086167
View attachment 1086170

5. Hawa hapa hawakusoma AGRICULTURE F4. Huyo aliyemaliza F4 2016 alipata 'DIV ZERO' na ni MALE lakini katika ajira ameandikwa FEMALE. Je, aliendaje advance? Hata kama angeenda, kuna F4 wa 2016 wa 'School candidate' aliyekwisha maliza SHAHADA?
View attachment 1086203
View attachment 1086214
View attachment 1086215


The Beautyful Ones Are Not Yet Born!
HAPPY MAY DAY!
Mhhh Ngachoka mie
 
Back
Top Bottom