Serikali ya Tanzania ndio adui wa ustawi wa Watanzania, ushahidi huu hapa

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,705
36,157
Habari,

Watu wanaishia kulaumu majani na matawi huku wakisahau shinda na mizizi yake kuwa ndiyo chanzo cha mti kutokutoa matunda .

Serikali ya Tanzania imeweka kodi za kuumiza kila kona.

Ngoja nikupe mfano mmoja kutoka taasisi za mikopo midogo Mtandaoni.

Hizi Taasisi au microfinance hazina kiwango kikubwa cha riba kama watu wanavyopayuka ila serikali imeweka VAT kubwa , badala ya VAT kuchukua kwenye sehemu ya faida serikali inachukua VAT kwenye mkopo wenyewe.

Hii inawatesa wakopaji, pili hii inafanya watu wafilisike kwa kukosa wateja au kwa wateja kushindwa kulipa mikopo kandamizi.

Anayewakandamiza ni serikali.

Mikopo hii wangeitumia wajasiriamali wadogo kujikwamua katika biashara zao.

Riba ya mikopo hii inahint 35% ambayo mkopaji analazimika kuilipa ndani ya siku 5-6 tu ingawa wanatangaza kuwa mkopo ni wa siku 7.

Angalia hizi picha chini halafu nitakufafanulia. Huo mkopo wa kwanza ni mtu kakopa sh. 380000 ambapo riba ya mkopo wote ni 135000 ndani ya siku 5 . Serikali ikachukua VAT ya sh.78000 huku mwenye kampuni anayelipia Kodi ya pango , anayelipa watumishi anabaki na sh. 50000.

Huo mkopo wa pili ni sh. 510000 riba yake ni 180k ndani ya siku 5.

Nasema siku tano ni kwamba ukichukua leo tarehe 15 kwenye app yao inaonyesha marejesho ni tarehe 21 (six days) lakini tarehe 20 ya mwezi huu mapema saa tatu utapokea simu kuambiwa ni siku ya rejesho.

Kama hujalipa unaaibishwa, kwakuwa uli submit calls na sms za simu zako watawafahamisha watu wote uliowahi kuwasiliana nao kwa sms au calls. Ni zaidi ya aibu.

Hii mikopo ni ya hovyo, serikali iache ukatili kwa raia wake.

Baadaye BOT wanatoka hadharani kusema wakopaji wasiaibishwe mara talalila nyingi huku wao ndio wenye mamlaka ya kuzifungia hizi microfinance na wamekaa kimya kwakuwa wanazoa kodi nyingi haramu kutoka kwa hizi microfinance

Screenshot_20240315-112452.jpg
Screenshot_20240315-111905.jpg

Hao hao ndani ya app yao mkopo namba mbili ndio kuna maajabu zaidi ambayo huwezi kuyakuta nchi yoyote duniani.
Ukichukua 31 ndani ya siku 5 unapaswa kurejesha sh. 51.
Serikali ya Tanzania inayowataka vijana wawe wazalendo ndio waliopitisha huu ushetani.
Screenshot_20240316-185921.jpg
Screenshot_20240316-185731.jpg
Screenshot_20240316-185842.jpg
 
Habari,

Watu wanaishia kulaumu majani na matawi huku wakisahau shinda na mizizi yake kuwa ndiyo chanzo cha mti kutokutoa matunda .

Serikali ya Tanzania imeweka kodi za kuumiza kila kona.

Ngoja nikupe mfano mmoja kutoka taasisi za mikopo midogo Mtandaoni.

Hizi Taasisi au microfinance hazina kiwango kikubwa cha riba kama watu wanavyopayuka ila serikali imeweka VAT kubwa , badala ya VAT kuchukua kwenye sehemu ya faida serikali inachukua VAT kwenye mkopo wenyewe.

Hii inawatesa wakopaji, pili hii inafanya watu wafilisike kwa kukosa wateja au kwa wateja kushindwa kulipa mikopo kandamizi.

Anayewakandamiza ni serikali.

Mikopo hii wangeitumia wajasiriamali wadogo kujikwamua katika biashara zao.

Riba ya mikopo hii inahint 35% ambayo mkopaji analazimika kuilipa ndani ya siku 5-6 tu ingawa wanatangaza kuwa mkopo ni wa siku 7.

Angalia hizi picha chini halafu nitakufafanulia. Huo mkopo wa kwanza ni mtu kakopa sh. 380000 ambapo riba ya mkopo wote ni 135000 ndani ya siku 5 . Serikali ikachukua VAT ya sh.78000 huku mwenye kampuni anayelipia Kodi ya pango , anayelipa watumishi anabaki na sh. 50000.

Huo mkopo wa pili ni sh. 510000 riba yake ni 180k ndani ya siku 5.

Nasema siku tano ni kwamba ukichukua leo tarehe 15 kwenye app yao inaonyesha marejesho ni tarehe 21 (six days) lakini tarehe 20 ya mwezi huu mapema saa tatu utapokea simu kuambiwa ni siku ya rejesho.

Kama hujalipa unaaibishwa, kwakuwa uli submit calls na sms za simu zako watawafahamisha watu wote uliowahi kuwasiliana nao kwa sms au calls. Ni zaidi ya aibu.

Hii mikopo ni ya hovyo, serikali iache ukatili kwa raia wake.

Baadaye BOT wanatoka hadharani kusema wakopaji wasiaibishwe mara talalila nyingi huku wao ndio wenye mamlaka ya kuzifungia hizi microfinance na wamekaa kimya kwakuwa wanazoa kodi nyingi haramu kutoka kwa hizi microfinance

View attachment 2935136View attachment 2935142
Duh hivi mtu unachukuaje mkopo wa lakii tano ambapo processing fee ni zaidi ya robo moja ya mkopo huo. Inataka ujasiri aisee
 
Habari,

Watu wanaishia kulaumu majani na matawi huku wakisahau shinda na mizizi yake kuwa ndiyo chanzo cha mti kutokutoa matunda .

Serikali ya Tanzania imeweka kodi za kuumiza kila kona.

Ngoja nikupe mfano mmoja kutoka taasisi za mikopo midogo Mtandaoni.

Hizi Taasisi au microfinance hazina kiwango kikubwa cha riba kama watu wanavyopayuka ila serikali imeweka VAT kubwa , badala ya VAT kuchukua kwenye sehemu ya faida serikali inachukua VAT kwenye mkopo wenyewe.

Hii inawatesa wakopaji, pili hii inafanya watu wafilisike kwa kukosa wateja au kwa wateja kushindwa kulipa mikopo kandamizi.

Anayewakandamiza ni serikali.

Mikopo hii wangeitumia wajasiriamali wadogo kujikwamua katika biashara zao.

Riba ya mikopo hii inahint 35% ambayo mkopaji analazimika kuilipa ndani ya siku 5-6 tu ingawa wanatangaza kuwa mkopo ni wa siku 7.

Angalia hizi picha chini halafu nitakufafanulia. Huo mkopo wa kwanza ni mtu kakopa sh. 380000 ambapo riba ya mkopo wote ni 135000 ndani ya siku 5 . Serikali ikachukua VAT ya sh.78000 huku mwenye kampuni anayelipia Kodi ya pango , anayelipa watumishi anabaki na sh. 50000.

Huo mkopo wa pili ni sh. 510000 riba yake ni 180k ndani ya siku 5.

Nasema siku tano ni kwamba ukichukua leo tarehe 15 kwenye app yao inaonyesha marejesho ni tarehe 21 (six days) lakini tarehe 20 ya mwezi huu mapema saa tatu utapokea simu kuambiwa ni siku ya rejesho.

Kama hujalipa unaaibishwa, kwakuwa uli submit calls na sms za simu zako watawafahamisha watu wote uliowahi kuwasiliana nao kwa sms au calls. Ni zaidi ya aibu.

Hii mikopo ni ya hovyo, serikali iache ukatili kwa raia wake.

Baadaye BOT wanatoka hadharani kusema wakopaji wasiaibishwe mara talalila nyingi huku wao ndio wenye mamlaka ya kuzifungia hizi microfinance na wamekaa kimya kwakuwa wanazoa kodi nyingi haramu kutoka kwa hizi microfinance

View attachment 2935136View attachment 2935142
"Any Government is an organ of exploitation by nature"
By Mikhail Bukhanin
 
Duh hivi mtu unachukuaje mkopo wa lakii tano ambapo processing fee ni zaidi ya robo moja ya mkopo huo. Inataka ujasiri aisee
Hii ni kwasababu ya dharura zisizoepukika.
Lengo la Uzi ni kuonyesha ukatili wa serikali kwa wananchi wake.
Kama umewahi kuagiza gari utaniunga mkono.
Raia wa Zambia, Zimbabwe ana unafuu sana anapohitaji gari from Japan kuliko Mtanzania ambao wote hutumia Bandari ya Dar es salaam
 
U
Habari,

Watu wanaishia kulaumu majani na matawi huku wakisahau shinda na mizizi yake kuwa ndiyo chanzo cha mti kutokutoa matunda .

Serikali ya Tanzania imeweka kodi za kuumiza kila kona.

Ngoja nikupe mfano mmoja kutoka taasisi za mikopo midogo Mtandaoni.

Hizi Taasisi au microfinance hazina kiwango kikubwa cha riba kama watu wanavyopayuka ila serikali imeweka VAT kubwa , badala ya VAT kuchukua kwenye sehemu ya faida serikali inachukua VAT kwenye mkopo wenyewe.

Hii inawatesa wakopaji, pili hii inafanya watu wafilisike kwa kukosa wateja au kwa wateja kushindwa kulipa mikopo kandamizi.

Anayewakandamiza ni serikali.

Mikopo hii wangeitumia wajasiriamali wadogo kujikwamua katika biashara zao.

Riba ya mikopo hii inahint 35% ambayo mkopaji analazimika kuilipa ndani ya siku 5-6 tu ingawa wanatangaza kuwa mkopo ni wa siku 7.

Angalia hizi picha chini halafu nitakufafanulia. Huo mkopo wa kwanza ni mtu kakopa sh. 380000 ambapo riba ya mkopo wote ni 135000 ndani ya siku 5 . Serikali ikachukua VAT ya sh.78000 huku mwenye kampuni anayelipia Kodi ya pango , anayelipa watumishi anabaki na sh. 50000.

Huo mkopo wa pili ni sh. 510000 riba yake ni 180k ndani ya siku 5.

Nasema siku tano ni kwamba ukichukua leo tarehe 15 kwenye app yao inaonyesha marejesho ni tarehe 21 (six days) lakini tarehe 20 ya mwezi huu mapema saa tatu utapokea simu kuambiwa ni siku ya rejesho.

Kama hujalipa unaaibishwa, kwakuwa uli submit calls na sms za simu zako watawafahamisha watu wote uliowahi kuwasiliana nao kwa sms au calls. Ni zaidi ya aibu.

Hii mikopo ni ya hovyo, serikali iache ukatili kwa raia wake.

Baadaye BOT wanatoka hadharani kusema wakopaji wasiaibishwe mara talalila nyingi huku wao ndio wenye mamlaka ya kuzifungia hizi microfinance na wamekaa kimya kwakuwa wanazoa kodi nyingi haramu kutoka kwa hizi microfinance

View attachment 2935136View attachment 2935142
ULitaka uishi bila kulipa kodi? Hamia nchi ya aina hiyo
 
Hiyo riba ya 35% kwa siku 5 ndio msiba mkuu.
Hizi si taasisi za heri zifungwe tu, hilo ndio nitailaumu BOT kuachia wananchi wa kipato cha chini wanyonywe vibaya.
Anaekopa hivi pia anahitaji elimu zaidi ya kifedha.
 
U

ULitaka uishi bila kulipa kodi? Hamia nchi ya aina hiyo
Kodi tunalipa. Lakini serikali muda mwingine haiko sawa.
Leo hii wewe Mtanzania gari ambayo ukiigiza kwa kutumia milioni 25 (Levy inclusive) Mzimbabwe atatumia milioni 15 tu kumiliki the same car. Ajabu ni kwamba hizo gari zote zinapitia Bandari ya Dar es salaam
 
Hivi ni mimi tu nilieona VAT ni sh 0 au na ninyi wenzangu ?

Halafu mkuu riba ya 35% kwa siku tano ndio uchawi aiseee, hio ni sawa na riba ya 140% kwa mwezi sawa na 1700% hiv kwa mwaka, maana yake ukikopa sh 100 baada ya mwaka utalipa 1700 + 100 = 1800
 
Hivi ni mimi tu nilieona VAT ni sh 0 au na ninyi wenzangu ?

Halafu mkuu riba ya 35% kwa siku tano ndio uchawi aiseee, hio ni sawa na riba ya 140% kwa mwezi sawa na 1700% hiv kwa mwaka, maana yake ukikopa sh 100 baada ya mwaka utalipa 1700 + 100 = 1800
Tazama picha zote mbili ndipo utaiona VAT. Sema kwenye app yao nadhani wamepigwa pin na serikali tapeli wasionyeshe VAT.
VAT wameificha kwenye processing fee.
Ila wakati wa kulipa ndipo utagundua serikali inachukua kama 70% ya faida huku mwenye microfinance anaachiwa 30%.
Iweje huyu mfanyabiashara apewe kidogo kuliko serikali?
 
Samahani, nje ya mada.... Kuna hawa matapeli nao wamechachamaa kweli...
IMG-20240315-WA0410.jpg
 
Tanganyika alipoondoka mkoloni mweupe akaingia mkoloni mweusi kiukweli tunadumazwa na mambo mengi sana mfano Kila unachogusa (ukiacha matunda pori) ni kukaushwa maokoto, Bado vikoba, michango ya harusi, kanisani Kuna sadaka ya kujimaliza yaani unatoa Kila kitu kasoro boxer, Kodi ya nyumba, umeme haueleweki etc
 
Anayewakandamiza ni serikali.

Mikopo hii wangeitumia wajasiriamali wadogo kujikwamua katika biashara zao.

Riba ya mikopo hii inahint 35% ambayo mkopaji analazimika kuilipa ndani ya siku 5-6 tu ingawa wanatangaza kuwa mkopo ni wa siku 7.
Adui ni
Azam Zungu huyu ndiye alianzisha mambo ya tozo
Mwigulu Nchemba huyu ndiye hutumia uwaziri wake na uchawa kujineemesha kwa kodi zetu
Salma Kikwete huyu anapeleka hoja za hovyo bungeni na wabunge wanazipitisha kwakuwa mumewe ni mfitinishaji
 
Adui ni
Azam Zungu huyu ndiye alianzisha mambo ya tozo
Mwigulu Nchemba huyu ndiye hutumia uwaziri wake na uchawa kujineemesha kwa kodi zetu
Salma Kikwete huyu anapeleka hoja za hovyo bungeni na wabunge wanazipitisha kwakuwa mumewe ni mfitinishaji
Hatuna viongozi bali kuna ma sheitwani huko majimboni yanayowaza namna ya kupiga pesa tu
 
Samahani, nje ya mada.... Kuna hawa matapeli nao wamechachamaa kweli... View attachment 2935722
Hawa ni masheitwani matapeli wa Kenya.
Mmoja nilichati naye lisaa lizima mwishowe tunabishana namna ya kuikomboa hiyo milioni 2.4 nikamwambia anikate juu kwa juu. Anitumie milioni mbili na laki 3 elfu 50 akate ada na elfu 50 nampa ya shukrani.
Alitukana mno
 
Hapo picha ziko mbili na kila Moja haina uhusiano na nyingine ingawa ni same microfinance.
Kila picha ina maelekezo yake.
Hiyo ya pili unachukua tarehe 15 Jana unalipa tarehe 21. Ni siku 6 tu lakini mawakala wao tarehe 20 kukicha tu unao wanakuambia wanataka pesa zao.
Kwahiyo mkopo wa riba ya 35% uulipe ndani ya siku 5.
[✓] sawa

Nimeangalia na picha na maelezo hayalingani. Mfano ni tarehe 21-03-24?? hiyo imekaaje?

Sasa ishatokea au? au ndio Ikachukua itachukua tarehe 21-03-24

Mwenye kujua Kalenda za App anieleweshe.
 
Back
Top Bottom