johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Hapo Chadema hakuna mradi wowote wa kimkakati?Kwa hiyo tumetoka kwenye vyeti feki,tunakuja kwenye mikataba. Haya bwana kazi ipo.
Muulize Mbowe.Hapo Chadema hakuna mradi wowote wa kimkakati?
Huyu pale buguruni kwa mnyamani lami inatandikwaje au pale visiwani!Leo David Silinde amekagua barabara za mitaa ya Dar na kuahidi lami kila kona!
Hahahaaaa...... Kuna mradi wa kushona kombati na masweta ya makamanda!Muulize Mbowe.
Hivi Chadema wameshika dola?Hapo Chadema hakuna mradi wowote wa kimkakati?
Nadhani wanalengwa wageni!
Kama lami imetoboa kutoka mwananyamala kwa " Manjunju" hadi Tandale kwa Mtogole basi ujue hakuna patakaposhindikana bwashee!Huyu pale buguruni kwa mnyamani lami inatandikwaje au pale visiwani!
Tumugoje, tumuleshe?Leo David Silinde amekagua barabara za mitaa ya Dar na kuahidi lami kila kona!
Nazungumzia mradi wa chama kama ilivyo CCM yenye miradi mikubwa kila kona na sasa wanataka kununua treni ya umeme!Hivi Chadema wameshika dola?
Mwambieni asiwasahau huko Kinondoni shamba!Tumugoje, tumuleshe?
Ohoooo! Fagio hilo la chuma baada ya uchumi kuporomoka kwa kasi ya kutisha. Maelfu kufukuzwa kazi kwa mikataba “isiyo na tija” kwa serikali hii haramu.
Au neno miradi ya kimkakati kwenu ni msamiati Mpya? Mnakimbilia kukosoa bila kuelewa hoja! You need to changeHuwezi kupima tija ya mfanyakazi ndani ya mwezi mmoja
Hainihusu.Hahahaaaa...... Kuna mradi wa kushona kombati na masweta ya makamanda!
Huyo Jenista mwenyewe Hana tija serikalini mwalimu wa kiswahili na diploma yake pale korogwe ttc sijui anawahonga Nini Marais wetu mpaka wanamteuwa.
Basi wewe uko salama hautahakikiwa!Hainihusu.
Nyota tu bwashee.Kweli nimeamini ndumba ina nguvu, huyo mama kila baraza la mawaziri yuko, lakini uwezo duni mno.
Nyota tu bwashee.
Hapa JICA walifika tu nchini na kuanza kujenga hiyo barabara?Twende ukajibu hoja yangu ya barabara ya Bagamoyo, hapa nilikuwa nakuchokonoa tu. Barabara inajengwa na JICA mipumbavu mnajisifia eti ni nyie mnajenga.
Mmeshindwa kujenga vyoo vya mashule, madarasa, maabara na maktaba na nyumba za walimu, mtawezaje kujenga Bagamoyo road?
Nyerere aliita kasuku nilikuwa mdogo kipindi hicho ila hii kasuku naikumbukaOhoooo! Fagio hilo la chuma baada ya uchumi kuporomoka kwa kasi ya kutisha. Maelfu kufukuzwa kazi kwa mikataba “isiyo na tija” kwa serikali hii haramu.