MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,984
- 2,587
Ni mwendawazimu pekee ndie atakayeamini serikali haina mkono kwenye hizi bei.Waziri wa viwanda na biashara Dr Kijaji amezitaka mamlaka zinazohusika kuwachukulia hatua wafanyabiashara waliopandisha bei za Soda, Cement, Nondo na bidhaa nyingine kinyume cha utaratibu.
Dr Kijaji amesema uchunguzi umeonyesha kuwa wakati bidhaa hizo zinapandishiwa bei gharama za uzalishaji zilikuwa chini na hakukuwa na sababu yoyote ile ya kuongeza bei.
Source: ITV habari