daztheinvisible
Member
- Jan 20, 2018
- 23
- 25
Ww ushaambiwa ule kwa urefu wa kamba yako ila usile sana😵😵 chengaa tuuu hii nchiKwa namna jambo hili lilivyo kaa inapaswa Rais atoe kauli, si jambo dogo hili!
Wananchi wameumizwa sana na uandaaji wa bei za didhaa mbalimbali nchini.
Hasa mafuta ya kula, sukari, na vifaa vya ujenzi