Serikali ya Zanzibar yapiga marufuku "Shule nyumba"

Serikali ya Zanzibar yapiga marufuku "Shule nyumba"

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
4,783
Reaction score
14,975
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepiga marufuku shule ambazo zilo ndani ya nyumba (skuli nyumba) na kuwataka wamiliki kujenga majengo yanayokidhi utoaji wa huduma kwa wanafunzi wao

Akizungumza na Walimu katika Mkutano Mkuu wa tisa wa Chama cha Walimu Zanzibar (ZATU) katika Ukumbi wa Taasisi ya Utalii Maruhubi Wilaya ya Mjini Unguja, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Lela Mohammed Mussa amesema kumfundisha mtoto ndani ya chumba hakumpi nafasi Mwanafunzi kujifunza kwani Watoto wanahitaji eneo la kutosha ili kujifunza.

Lela amesema haya yanafanyika kutokana na baadhi ya wazazi kuendelea kuwapeleka watoto wao katika maeneo hayo ambayo hayakidhi vigezo vya kuwafundisha Watoto hasa ngazi ya awali.

Pia soma:
~ Matukio ya Ukatili wa Kijinsia yaripotiwa kuongezeka Visiwani Zanzibar
~ Uhalifu 2023: Zanzibar yaongoza ubakaji, Arusha yaongoza ulawiti
~ Kuepusha ulawiti, walimu wa madrassa wawe wanawake tu!
 
Haha waje hapa Dar es salaam, ndio watachoka kabisa , watoto wanapanda school bus lakini shule ina nyumba yenye kibaraza,

Itakuwa wafanyakazi wa wizara wanapewa rushwa , maana hizi shule nyumba kwa hapa Dar es salaam zipo nyingi sana.

Alafu kumbe na zile bembea za watoto huwa hawazitumi hata kidogo ziko pale Kwa ajili ya kuvutia wateja TU 😂 . Watoto wanacheza chini ya mti
 
hivi wanahisi kununua ardhi na kujenga jengo ni kitu chepesi? hawa jamaa hopeless kabisa
Duu umetisha mkuu.

Sio lazima uwe na ghorofa .
Bali madirisha ya kutosha kuingiza hewa ndani.

Sehemu ya watoto kucheza na kupumzika
 
hivi wanahisi kununua ardhi na kujenga jengo ni kitu chepesi? hawa jamaa hopeless kabisa
Vigezo na masharti kuzingatiwa .
Ukiwa mwalimu na mlezi kwa watoto, lazima utimize vigezo .vilivyowekwa na serikali

Kila mjasiriamali akifanya atakavyo yeye , itakuwa sio elimu Tena.

Issues ya kununua kiwanja ni pointless kabisa, inavyoonekana wewe unawezo wa kuwajiri watu wasio na vigezo coz wenye vigezo utawalipa mshahara mkubwa .
 
Vigezo na masharti kuzingatiwa .
Ukiwa mwalimu na mlezi kwa watoto, lazima utimize vigezo .vilivyowekwa na serikali

Kila mjasiriamali akifanya atakavyo yeye , itakuwa sio elimu Tena.

Issues ya kununua kiwanja ni pointless kabisa, inavyoonekana wewe unawezo wa kuwajiri watu wasio na vigezo coz wenye vigezo utawalipa mshahara mkubwa .

na hali zetu za uchumi pia tunatakiwa kuziangalia, nyingi ya hizo shule wanazosema ni za uekezaji mdogo, wanaosoma ni watoto wa hali ya chini na fee ndogo. sio rahisi muwekezaji kuweza kufanya hayo mambo kiwepesi. na zipo mitaani ambao hata bei ya ardhi sio ndogo.

Chakushangaza kabisa hayo yote yanatokea kutokana na failure zao, kwanini wazee wapeleke watoto wao private schools wakati za government zipo? sababu ni kuwa wao wenyewe wameshindwa kufanya wajibu wao ipasavyo lakini kimbelembele kupangia wenzao.
 
na hali zetu za uchumi pia tunatakiwa kuziangalia, nyingi ya hizo shule wanazosema ni za uekezaji mdogo, wanaosoma ni watoto wa hali ya chini na fee ndogo. sio rahisi muwekezaji kuweza kufanya hayo mambo kiwepesi. na zipo mitaani ambao hata bei ya ardhi sio ndogo.

Chakushangaza kabisa hayo yote yanatokea kutokana na failure zao, kwanini wazee wapeleke watoto wao private schools wakati za government zipo? sababu ni kuwa wao wenyewe wameshindwa kufanya wajibu wao ipasavyo lakini kimbelembele kupangia wenzao.
Duu mkuu, unapotoa huduma wateja ni wajibu kutoa huduma Bora kwa wateja wako.

Na pia ndio maana nawalaumu wizara walikuwa wapi mpaka hizi shule nyumba zinatoa huduma .

Kwa shule za awali za serikali ni chache , nyie mumejiamulia utaratibu wenu wa kufanya KAZI duu noma sana.
 
Duu mkuu, unapotoa huduma wateja ni wajibu kutoa huduma Bora kwa wateja wako.

Na pia ndio maana nawalaumu wizara walikuwa wapi mpaka hizi shule nyumba zinatoa huduma .

Kwa shule za awali za serikali ni chache , nyie mumejiamulia utaratibu wenu wa kufanya KAZI duu noma sana.

kwanini ziwe chache? huhisi kama hilo ni jukumu lao? ikiwa wao wamefail, wanataka kusumua wengine.
 
Duu mkuu, unapotoa huduma wateja ni wajibu kutoa huduma Bora kwa wateja wako.

Na pia ndio maana nawalaumu wizara walikuwa wapi mpaka hizi shule nyumba zinatoa huduma .

Kwa shule za awali za serikali ni chache , nyie mumejiamulia utaratibu wenu wa kufanya KAZI duu noma sana.

hudumu always inaendana na malipo, huwezi lipia 25,000 - 50,000 kwa mwezi ukategemea kupata huduma ya kiwango kizuri. hizo kesi huwezi kuta kwenye shule zinazoanzia malipo ya 200 k kwa mwezi.
 
Znz ipo sana hiyo ya shule nyumba,,,mwanzo nilishangaa yaani ni nyumba lkn ni skuli Ina nursery Hadi std seven.
 
Haha waje hapa Dar es salaam, ndio watachoka kabisa , watoto wanapanda school bus lakini shule ina nyumba yenye kibaraza,

Itakuwa wafanyakazi wa wizara wanapewa rushwa , maana hizi shule nyumba kwa hapa Dar es salaam zipo nyingi sana.

Alafu kumbe na zile bembea za watoto huwa hawazitumi hata kidogo ziko pale Kwa ajili ya kuvutia wateja TU 😂 . Watoto wanacheza chini ya mti
Tatizo ni wazazi kuruhusu hilo, imagine asubuhi unaona bodaboda kabeba watoto wadogo watatu anawapeleka shule. Na mzazi ndie aliewapakia.

Unajiuliza huyu mzazi ana akili sawasawa kweli..?
Akifika kijiweni anajisifu kua yeye hawapi hela walimu kwa kutolipia school bus.
 
Tatizo ni wazazi kuruhusu hilo, imagine asubuhi unaona bodaboda kabeba watoto wadogo watatu anawapeleka shule. Na mzazi ndie aliewapakia.

Unajiuliza huyu mzazi ana akili sawasawa kweli..?
Akifika kijiweni anajisifu kua yeye hawapi hela walimu kwa kutolipia school bus.
Kuna vitu serikali iliwadaganya watu riziki popote, kumbe wanaenda kuua kizazi Chao. Sasa uko mashuleni watoto wanapata magonjwa coz wanarudikwa wengi kwenye ki chumba kidogo kwa kukosa hewa safi, kulishwa vyakula vya hovyo, unyanyasaji wa kingono.

Kila kitu kinaenda na utaratibu wake, tu kiacha kila mtu afanye anayotaka kisa anatafuta riski, tutatengeneza kizazi cha hovyo.
 
hudumu always inaendana na malipo, huwezi lipia 25,000 - 50,000 kwa mwezi ukategemea kupata huduma ya kiwango kizuri. hizo kesi huwezi kuta kwenye shule zinazoanzia malipo ya 200 k kwa mwezi.
Okay mkuu, weka kiwango cha 500k > ili kutoa elimu Bora
 
hudumu always inaendana na malipo, huwezi lipia 25,000 - 50,000 kwa mwezi ukategemea kupata huduma ya kiwango kizuri. hizo kesi huwezi kuta kwenye shule zinazoanzia malipo ya 200 k kwa mwezi.
Okay mkuu, weka kiwango cha 500k > ili kutoa elimu bora
kwanini ziwe chache? huhisi kama hilo ni jukumu lao? ikiwa wao wamefail, wanataka kusumua wengine.
Okay mkuu, wa TZ zaeni kwa uangalifu serikali yenu imeshindwa kuwahudumia nyie watu masikini.

Lakini mkuu wewe ni muwekezaji inakupasa kutoa elimu Bora kivyovyote vile
 
Okay mkuu, weka kiwango cha 500k > ili kutoa elimu bora

Okay mkuu, wa TZ zaeni kwa uangalifu serikali yenu imeshindwa kuwahudumia nyie watu masikini.

Lakini mkuu wewe ni muwekezaji inakupasa kutoa elimu Bora kivyovyote vile

mkuu mimi sifanyi hiyo biashara, nimeongelea kutokana na uzoefu wangu na uhalisia wa hali tu
 
Zanzibar wanajifanya wanadini kumbe ziroooooo ,kifupi dini ni chakaaaaa la kujifichiaaaa
 
Tatizo ni wazazi kuruhusu hilo, imagine asubuhi unaona bodaboda kabeba watoto wadogo watatu anawapeleka shule. Na mzazi ndie aliewapakia.

Unajiuliza huyu mzazi ana akili sawasawa kweli..?
Akifika kijiweni anajisifu kua yeye hawapi hela walimu kwa kutolipia school bus.
Unakuta bodaboda asbhi amepakia watoto wa 4 na wote chini ya miaka mi5 alafu anawapeleka mbio balaa yaani nikionaga vile mwili unanisisimka Kwa hofu
 
Back
Top Bottom