Serikali ya Ubeligiji Yaipatia Serikali Ya Tanzania Euro Milioni 4 Kwa Ajili ya Mradi wa Maji Mkoani Kigoma

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,207
4,702
Fedha hizo zimetolewa na Serikali ya Ubelgiji kama nyongeza ya fedha zacawali zilizotolewa ambazo no Euro Milioni 8, hivyo kufanya jumla ya fedha zote kuwa Euro milioni 12 sawa na tshs 33 bilioni

Malengo ya msaada huo ni kusambaza maji katika Wilaya zote 6 za Mkoa wa Kigoma

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Emanuel Tutuba alisaini makubaliano hayo pamoja na Balozi wa Ubeligiji nchini Peter Van Acker

FB_IMG_16192690819190254.jpg


FB_IMG_16192690677874451.jpg


FB_IMG_16192690493852381.jpg


FB_IMG_16192690386324416.jpg
 
Fedha hizo zimetolewa na Serikali ya Ubelgiji kama nyongeza ya fedha zacawali zilizotolewa ambazo no Euro Milioni 8, hivyo kufanya jumla ya fedha zote kuwa Euro milioni 12 sawa na tshs 33 bilioni

Malengo ya msaada huo ni kusambaza maji katika Wilaya zote 6 za Mkoa wa Kigoma

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Emanuel Tutuba alisaini makubaliano hayo pamoja na Balozi wa Ubeligiji nchini Peter Van Acker

View attachment 1762535

View attachment 1762536

View attachment 1762537

View attachment 1762538
Doto James,ilikuwa kazi yako,sasa itakuwaje
 
Fedha hizo zimetolewa na Serikali ya Ubelgiji kama nyongeza ya fedha zacawali zilizotolewa ambazo no Euro Milioni 8, hivyo kufanya jumla ya fedha zote kuwa Euro milioni 12 sawa na tshs 33 bilioni

Malengo ya msaada huo ni kusambaza maji katika Wilaya zote 6 za Mkoa wa Kigoma

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Emanuel Tutuba alisaini makubaliano hayo pamoja na Balozi wa Ubeligiji nchini Peter Van Acker

View attachment 1762535

View attachment 1762536

View attachment 1762537

View attachment 1762538
Inawabidi mumshukuru sana mh Lissu maana yeye ndiyo mwakilishi halisia.
 
Okeeeeeeee
Lile deni mmefuta kwani au bado mnatudai?
Europa kama Europa haya mtuchanganye mtuvuruge
 
Fedha hizo zimetolewa na Serikali ya Ubelgiji kama nyongeza ya fedha zacawali zilizotolewa ambazo no Euro Milioni 8, hivyo kufanya jumla ya fedha zote kuwa Euro milioni 12 sawa na tshs 33 bilioni

Malengo ya msaada huo ni kusambaza maji katika Wilaya zote 6 za Mkoa wa Kigoma

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Emanuel Tutuba alisaini makubaliano hayo pamoja na Balozi wa Ubeligiji nchini Peter Van Acker

View attachment 1762535

View attachment 1762536

View attachment 1762537

View attachment 1762538
Kwahiyo siyo mabeberu tena?
 
Ni wahisani mkuu na ni washirika wetu wa maendeleo , neno beberu aliondoka nalo mwendazake si unaona siku hizi hata wale wanyonge wa magufuli hawapo tena
Hakika hawa mahinteajamwe walikusudia kuliangamiza taifa
 
Fedha hizo zimetolewa na Serikali ya Ubelgiji kama nyongeza ya fedha zacawali zilizotolewa ambazo no Euro Milioni 8, hivyo kufanya jumla ya fedha zote kuwa Euro milioni 12 sawa na tshs 33 bilioni

Malengo ya msaada huo ni kusambaza maji katika Wilaya zote 6 za Mkoa wa Kigoma

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Emanuel Tutuba alisaini makubaliano hayo pamoja na Balozi wa Ubeligiji nchini Peter Van Acker

View attachment 1762535

View attachment 1762536

View attachment 1762537

View attachment 1762538
dona kantri inapokeaji mkopo wa riba kubwa namna hii toka kwa mabebru wenye vita ya maendeleo na sisi, teana wana LGBT?
 
Back
Top Bottom