Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,182
- 24,684
And still upo hapa unabishana na mwenye akili ya kinyesi?Hiyo october ndio utajikuta peke yako una akili za kinyesi.
Utakuwa mfia chattle wewe au wale wajinga wa ccm kwa kuzaliwa.Sipo chato, ila nyie wapuuzi mnaozarau vya kwetu mnakera Sana. Ebu inama chini jiangalie km jinsia yako bado ipo!
huyo kilaza huwa hataki kusikia jema lolote kuhusu Tz mpuuzie tuWyatt Mathewson vipi tusubiri nchi zingine wafuate Kenya walichokifanya au nisifuatilie mambo yako...
MkuuWyatt Mathewson vipi tusubiri nchi zingine wafuate Kenya walichokifanya au nisifuatilie mambo yako...
Mkuu
Relax,it has been just 48hrs tu..
Tusubiri mpaka December,utaona msururu wa haya mataifa...
Watch this space!
Wakifanya hivyo basi walimu uchwara maelfu kwa maelfu toka Kenya watafungashwa viragoPagumu sana hapa! MKAPA ndio alikuwa anaweza kumshauri Magufuli sasa hayupoYaani diplomasia ya Kenya na Tz ipo pabaya sana.
Ego itaua uhusiano wa hizi nchi mbilii japo wanajidai marafiki kinafiki lakini tushafikaa mbalii aiseee sasa hivi raia wa Tanzania wataanza kutimuliwa Kenya
MKAPA majirani wote hawajaja kumzika.
Wana nia ovu nasi kama, tajiri Bill gates.Sasa Kenya wakileta ndege zao Tz jamani si zitatoka na covid? Ni afadhali wasizilete. Maana huku si wamesema tunakufa ovyo mitaani? Ndege zao zisije pakaa covid bure. Wakae kwao
Mbn mnesanda kwendeni zenu huko kujiona USA! Km hamhitaji bongo mbona mnalialiaMnapenda kujidanganya! Ni kwa sababu Uganda hawana ujinga ya ujamaa na blind nationalism. Makampuni ya Kenya mengi yanapenda kuwekeza Uganda na Rwanda kwa sababu viongozi wa hizo nchi wana akili ya kujua kutofautisha siasa na biashara.
Kwa sahi viwanda vinavyojengwa uganda mingi ni makampuni za kutoka kenya. BUL(Bidco uganda limited) mtoto wa Bidco Kenya, Hoima cement mtoto wa bamburi cement Kenya,Nile breweries mtoto wa Kenya breweries, Lato milk ni mtoto wa wahindi kutoka Kenya na Brookside Kenya.
Hii ndiyo sababu viwanda vya uganda vinakuwa kwa kasi kushinda Tanzania, na sababu ya biashara kati ya Kenya, Uganda na Rwanda kuwa kubwa kuliko Tanzania
Sisi hatutegemei Kenya kama hao uliowataja. Tuna rasirimali za kutosha na tumewashitukia baada ya kugundua kuwa siku zote mmekuwa mkishirikiana na wahindi kutuibia madini yetu kama TanzaniteMnapenda kujidanganya! Ni kwa sababu Uganda hawana ujinga ya ujamaa na blind nationalism. Makampuni ya Kenya mengi yanapenda kuwekeza Uganda na Rwanda kwa sababu viongozi wa hizo nchi wana akili ya kujua kutofautisha siasa na biashara.
Kwa sahi viwanda vinavyojengwa uganda mingi ni makampuni za kutoka kenya. BUL(Bidco uganda limited) mtoto wa Bidco Kenya, Hoima cement mtoto wa bamburi cement Kenya,Nile breweries mtoto wa Kenya breweries, Lato milk ni mtoto wa wahindi kutoka Kenya na Brookside Kenya.
Hii ndiyo sababu viwanda vya uganda vinakuwa kwa kasi kushinda Tanzania, na sababu ya biashara kati ya Kenya, Uganda na Rwanda kuwa kubwa kuliko Tanzania
Tuwe makini na wakenya, hawaaminiki.Naomba niurudishe huu uzi Mana Kuna watu Ni warahisi kula matapishi yao.
Tujadilini Kama tulivyojadili miezi kadhaa hapo nyuma
Kweli wale jamaa ukizubaa unaachwa feri na kwa akili za ndugu zangu wanavyopenda mapenzi nanstori za umbea mbaya zaid akiwa na hela ya kula basi analala kabisa Hawa jamaa waliza wengi hapa TanzaniaTuwe makini na wakenya, hawaaminiki.