Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,409
- 8,911
Eti wanapiga stop Kenya Airways kwa jeuri gani wakati kila siku mko huko kujikomba? Msichokijua labda Kenya Airways ni mbia wa KLM-Air France kuizuia kutua Dar/Tanzania kunaathiri KLM-Air France pia, hivyo hakuna kitu hapo.
Kenya Airways itatua Dar na biti la Air Tanzania Kenya litabakia kwani anayeathirika na Air Tanzania cargo kutua Kenya ni KLM - Air France ndiyo wanaobeba maua na mboga mboga ktk Kenya kupeleka Amsterdam na ndiyo maana hata wakaingia ubia na Kenya Airways.
Hakuna kitu hapo biti litasimama na Kenya Airways itatua Tanzania, msisahahu Watanzania waliipeleka ndege yetu uholanzi makao makuu ya KLM ili ikamatwe na ikakamatwa.
Kenya Airways itatua Dar na biti la Air Tanzania Kenya litabakia kwani anayeathirika na Air Tanzania cargo kutua Kenya ni KLM - Air France ndiyo wanaobeba maua na mboga mboga ktk Kenya kupeleka Amsterdam na ndiyo maana hata wakaingia ubia na Kenya Airways.
Hakuna kitu hapo biti litasimama na Kenya Airways itatua Tanzania, msisahahu Watanzania waliipeleka ndege yetu uholanzi makao makuu ya KLM ili ikamatwe na ikakamatwa.