Serikali ya Tanzania yazuia ndege kutoka shirika la Kenya Airways kutua Dar, Kilimanjaro na Zanzibar

Hiyo october ndio utajikuta peke yako una akili za kinyesi.
And still upo hapa unabishana na mwenye akili ya kinyesi?

Utakua na akili ya kinyesi zaidi kama unatumia muda wako kubishana na unaemwita ana akili ya kinyesi to begin with!

Fvck whatever you say!
 
Sasa Kenya wakileta ndege zao Tz jamani si zitatoka na covid? Ni afadhali wasizilete. Maana huku si wamesema tunakufa ovyo mitaani? Ndege zao zisije pakaa covid bure. Wakae kwao:p
 
IMG_1165.jpg
 
Pagumu sana hapa! MKAPA ndio alikuwa anaweza kumshauri Magufuli sasa hayupo Yaani diplomasia ya Kenya na Tz ipo pabaya sana.

Ego itaua uhusiano wa hizi nchi mbilii japo wanajidai marafiki kinafiki lakini tushafikaa mbalii aiseee sasa hivi raia wa Tanzania wataanza kutimuliwa Kenya

MKAPA majirani wote hawajaja kumzika.
Wakifanya hivyo basi walimu uchwara maelfu kwa maelfu toka Kenya watafungashwa virago
 
Sasa Kenya wakileta ndege zao Tz jamani si zitatoka na covid? Ni afadhali wasizilete. Maana huku si wamesema tunakufa ovyo mitaani? Ndege zao zisije pakaa covid bure. Wakae kwao:p
Wana nia ovu nasi kama, tajiri Bill gates.
Wana kiu na hamu ya kuona Watanzania wanakufa na Covidi.
Maelfu na maelfu, ndio furaha yao wanayo ingojea kwa hamu kubwa.
Na waseme
"tuliwaambia ninyi, mlikuwa na kiburi"

Wanasahau sisi sote ni Wana wa Mungu.
Mungu humvika taji anaye mtaka.
Na sio wanaowataka Wakenya.

Wakenya wangekuwa na maamuzi, chaguo lao la kwanza ni kuwaangamiza watanzania Wote. Ili wabaki na Swahiba zao Waganda na Wanyarwanda.

Hata sijui tuliwakoseaga nini Wakenya

Hadi sasa hivi wamekaa kitako wakisubiri watanzania wafe na Kovidi.

Yaani wapo katika Primitive Age.
 
Mnapenda kujidanganya! Ni kwa sababu Uganda hawana ujinga ya ujamaa na blind nationalism. Makampuni ya Kenya mengi yanapenda kuwekeza Uganda na Rwanda kwa sababu viongozi wa hizo nchi wana akili ya kujua kutofautisha siasa na biashara.
Kwa sahi viwanda vinavyojengwa uganda mingi ni makampuni za kutoka kenya. BUL(Bidco uganda limited) mtoto wa Bidco Kenya, Hoima cement mtoto wa bamburi cement Kenya,Nile breweries mtoto wa Kenya breweries, Lato milk ni mtoto wa wahindi kutoka Kenya na Brookside Kenya.

Hii ndiyo sababu viwanda vya uganda vinakuwa kwa kasi kushinda Tanzania, na sababu ya biashara kati ya Kenya, Uganda na Rwanda kuwa kubwa kuliko Tanzania
Mbn mnesanda kwendeni zenu huko kujiona USA! Km hamhitaji bongo mbona mnalialia
 
Mnapenda kujidanganya! Ni kwa sababu Uganda hawana ujinga ya ujamaa na blind nationalism. Makampuni ya Kenya mengi yanapenda kuwekeza Uganda na Rwanda kwa sababu viongozi wa hizo nchi wana akili ya kujua kutofautisha siasa na biashara.
Kwa sahi viwanda vinavyojengwa uganda mingi ni makampuni za kutoka kenya. BUL(Bidco uganda limited) mtoto wa Bidco Kenya, Hoima cement mtoto wa bamburi cement Kenya,Nile breweries mtoto wa Kenya breweries, Lato milk ni mtoto wa wahindi kutoka Kenya na Brookside Kenya.

Hii ndiyo sababu viwanda vya uganda vinakuwa kwa kasi kushinda Tanzania, na sababu ya biashara kati ya Kenya, Uganda na Rwanda kuwa kubwa kuliko Tanzania
Sisi hatutegemei Kenya kama hao uliowataja. Tuna rasirimali za kutosha na tumewashitukia baada ya kugundua kuwa siku zote mmekuwa mkishirikiana na wahindi kutuibia madini yetu kama Tanzanite
 
Naomba niurudishe huu uzi Mana Kuna watu Ni warahisi kula matapishi yao.

Tujadilini Kama tulivyojadili miezi kadhaa hapo nyuma
 
Tuwe makini na wakenya, hawaaminiki.
Kweli wale jamaa ukizubaa unaachwa feri na kwa akili za ndugu zangu wanavyopenda mapenzi nanstori za umbea mbaya zaid akiwa na hela ya kula basi analala kabisa Hawa jamaa waliza wengi hapa Tanzania
 
47 Reactions
Reply
Back
Top Bottom