Kwahiyo mataga wameandika huu uzi ili kujustify wale policcm waliomkamata Mbowe kuwa ni Gaidi baada ya kutaka katiba Mpya? Tanzania ya Viwonder loh , hakuna Taasisi ya kimarekani inayoweza kutaka kufanya lolote kwa vinchi vyetu hivi masikini ikashindwa wakitaka wanafanya lolote bila hata kutumia nguvu , sisi ni crap tu kwa mmarekani , hivi mmarekani ana interest gani na taifa la uchumi wa kitovuni kama letu?