wazanaki
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 1,092
- 804
Afu wanabaki kumlaumu lissu kua ana urafiki na mabeberu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu wanabaki kumlaumu lissu kua ana urafiki na mabeberu.
Kati ya misaada ya silaha na mdaada wa katiba upi msaada borawamepokea wakajenga shule wapi?
matumizi ya misaada kwa serikali inaonekana- miassada ya Ujerumani kwa CHADEMA inatumika kuleta machafuko
Hawa jamaa wanashangaza sana. Wakati raisi anafanya mikutano ya wawekezaji kama kina tony blair na clinton( mabeberu) hawaongei. Ila lissu akisaidiwa na amsterdam kupata katiba mayowe kama yote.Kwahiyo mataga wameandika huu uzi ili kujustify wale policcm waliomkamata Mbowe kuwa ni Gaidi baada ya kutaka katiba Mpya? Tanzania ya Viwonder loh , hakuna Taasisi ya kimarekani inayoweza kutaka kufanya lolote kwa vinchi vyetu hivi masikini ikashindwa wakitaka wanafanya lolote bila hata kutumia nguvu , sisi ni crap tu kwa mmarekani , hivi mmarekani ana interest gani na taifa la uchumi wa kitovuni kama letu?
Tunaigiza sana. Ni bora story za mabeberu tuziache tuPesa zinatoka kulekule zinakotoka chanjo, dawa za ukimwi, dawa za malaria n.k.
wamepokea wakajenga shule wapi?
matumizi ya misaada kwa serikali inaonekana- miassada ya Ujerumani kwa CHADEMA inatumika kuleta machafuko
Mnajengewa uwezo - kumbe hamna uwezo- kweli unaweza kujengewa uwezo jinsi ya kuishi na mkeo
Waulize wanaotoaKati ya misaada ya silaha na mdaada wa katiba upi msaada bora