Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,506
- 51,111
Mwanzo tulidhani rais huyu ni muungwana, mchukia uonevu, mstaarabu kumbe ni walewale. Ukiwa member kwenye timu ya wachawi na wewe ni mchawi tu.
Naona serikali yake imeanza kubambikizia watu kesi. Eti Mbowe gaidi, ugaidi mmeujua tu kwa kuwa kaanza kudai katiba mpya na haki ya vyama vya siasa kufanya siasa?
Kiufupi, hii serikali inajidhalilisha, inafanya mambo ya ajabuajabu mpaka inatia aibu.
Najiuliza kwa nini hii serikali imeanza kuwa reactionary, defensive isiyo jiamini?. Yaani wanashindwa kutenda haki kwa mujibu wa katiba wanaanza kutenda uonevu na dhulma za Wazi
Napenda nimkumbushe Samia, Mwenyezi Mungu aliyetuondolea Magufuli, angali yu hai, Kama na yeye ataendeleza dhulma sisi tutapiga Goti kwa BWANA WA MAJESHI. Tulipiga goti tuliponyanyaswa na Magufuli na tutapiga goti tena mbele yake ukiendeleza udhalimu.
Samia uliapa huku umeshika Qu'ran tukufu, na uliapa kutenda haki. Nakushauri tu acha uonevu, kwa sababu hicho kiapo chako ulicholula ni kizito, kina consequences ukikivunja kwa makusudi
Nimefilisha ujumbe kwako mheshimiwa rais, ukitaka fuata niliyokueleza ukitaka acha. Lakini ukizidi Dhulma tutapiga goti kumshitakia Muumba mbingu na nchi!
Naona serikali yake imeanza kubambikizia watu kesi. Eti Mbowe gaidi, ugaidi mmeujua tu kwa kuwa kaanza kudai katiba mpya na haki ya vyama vya siasa kufanya siasa?
Kiufupi, hii serikali inajidhalilisha, inafanya mambo ya ajabuajabu mpaka inatia aibu.
Najiuliza kwa nini hii serikali imeanza kuwa reactionary, defensive isiyo jiamini?. Yaani wanashindwa kutenda haki kwa mujibu wa katiba wanaanza kutenda uonevu na dhulma za Wazi
Napenda nimkumbushe Samia, Mwenyezi Mungu aliyetuondolea Magufuli, angali yu hai, Kama na yeye ataendeleza dhulma sisi tutapiga Goti kwa BWANA WA MAJESHI. Tulipiga goti tuliponyanyaswa na Magufuli na tutapiga goti tena mbele yake ukiendeleza udhalimu.
Samia uliapa huku umeshika Qu'ran tukufu, na uliapa kutenda haki. Nakushauri tu acha uonevu, kwa sababu hicho kiapo chako ulicholula ni kizito, kina consequences ukikivunja kwa makusudi
Nimefilisha ujumbe kwako mheshimiwa rais, ukitaka fuata niliyokueleza ukitaka acha. Lakini ukizidi Dhulma tutapiga goti kumshitakia Muumba mbingu na nchi!