jailos mrisho
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 647
- 1,360
Nendeni mkajibu case ya ukaidi ya bwana yule...nyie mnavyomwambia mama mtamnyoa kwa wembe ule ule unazani yy sio binadamu! Mama alianza kwa gear nzur ya sana ya uungwana..kuwatolea mvuta bange wenu kisha mkaanza kumtukana mkasahau alivyowapa staha alivyoingia..sasa mtaipata subiriniNilisema hapa kuwa the so called Mama ni takataka watu wakafikiri kuwa nina husda,the worst is yet to come.CCM haina uwezo wa kutoa kiongozi mwenye akili.Period.
Akimalizana na upinzani anageukia huko CCM, the same kama bwana Chato.Tena huyu atakuwa lethal kuliko bwana Chato.Waliokuwa wanaiita takataka kuwa ni "Mama" shame on you all!
Having a vagina is no proof that one cannot be a tyrant.