Serikali ya Samia Suluhu Hassan nayo yaanza rasmi kubambikizia watu kesi

Nilisema hapa kuwa the so called Mama ni takataka watu wakafikiri kuwa nina husda,the worst is yet to come.CCM haina uwezo wa kutoa kiongozi mwenye akili.Period.

Akimalizana na upinzani anageukia huko CCM, the same kama bwana Chato.Tena huyu atakuwa lethal kuliko bwana Chato.Waliokuwa wanaiita takataka kuwa ni "Mama" shame on you all!

Having a vagina is no proof that one cannot be a tyrant.
Nendeni mkajibu case ya ukaidi ya bwana yule...nyie mnavyomwambia mama mtamnyoa kwa wembe ule ule unazani yy sio binadamu! Mama alianza kwa gear nzur ya sana ya uungwana..kuwatolea mvuta bange wenu kisha mkaanza kumtukana mkasahau alivyowapa staha alivyoingia..sasa mtaipata subirini
 
Wewe acha uongo,Samia alivyoingia Ikuru aliwatoa wote waliokuwa wakifanya kazi na Magufuri, mpaka Katibu mkuu,akateua washauli wapya,au nikuletee tarifa za Msigwa za uteuzi wa viongozi wa state house?Samia anawashauli wake acha kumsingizia Magufuri.
Yote twayaona waziwazi,
Kwa matendo haya ya udhalimu uliyokuwapo akiwa VP, YAONEKANA washauri wa SSH ni walewale. Polisi ni ileile ya Siro na Kakwale. TISS vilevile...
 
Corona bado ipo ...wacha tuone kama anaweza kupingana na mpango wa Mungu...ajicheki..
 
Mwanzo tulidhani rais huyu ni muungwana, mchukia uonevu, mstaarabu kumbe ni walewale. Ukiwa member kwenye timu ya wachawi na wewe ni mchawi tu.

Naona serikali yake imeanza kubambikizia watu kesi. Eti Mbowe gaidi, ugaidi mmeujua tu kwa kuwa kaanza kudai katiba mpya na haki ya vyama vya siasa kufanya siasa?

Kiufupi, hii serikali inajidhalilisha, inafanya mambo ya ajabuajabu mpaka inatia aibu.

Najiuliza kwa nini hii serikali imeanza kuwa reactionary, defensive isiyo jiamini?. Yaani wanashindwa kutenda haki kwa mujibu wa katiba wanaanza kutenda uonevu na dhulma za Wazi

Napenda nimkumbushe Samia, Mwenyezi Mungu aliyetuondolea Magufuli, angali yu hai, Kama na yeye ataendeleza dhulma sisi tutapiga Goti kwa BWANA WA MAJESHI. Tulipiga goti tuliponyanyaswa na Magufuli na tutapiga goti tena mbele yake ukiendeleza udhalimu.

Samia uliapa huku umeshika Qu'ran tukufu, na uliapa kutenda haki. Nakushauri tu acha uonevu, kwa sababu hicho kiapo chako ulicholula ni kizito, kina consequences ukikivunja kwa makusudi

Nimefilisha ujumbe kwako mheshimiwa rais, ukitaka fuata niliyokueleza ukitaka acha. Lakini ukizidi Dhulma tutapiga goti kumshitakia Muumba mbingu na nchi!
Mbowe alijua anachunguzwa akaamua kuanzisha movement ya Katiba ili akikamatwa mazwazwa kama nyinyi mseme kabambikiwa kesi. Mbona Sabaya hamkusema kabambikiwa kesi, mpaka kesi nyingine imebidi zifutwe ikabakia ya kuiba techno. Acheni double standards.

Mbowe ni binadamu siyo malaika, anaweza kuwa muhalifu kama walivyo wahalifu wengine.
 
Nilisema hapa kuwa the so called Mama ni takataka watu wakafikiri kuwa nina husda,the worst is yet to come.CCM haina uwezo wa kutoa kiongozi mwenye akili.Period.

Akimalizana na upinzani anageukia huko CCM, the same kama bwana Chato.Tena huyu atakuwa lethal kuliko bwana Chato.Waliokuwa wanaiita takataka kuwa ni "Mama" shame on you all!

Having a vagina is no proof that one cannot be a tyrant.
Acha kutusi wakinamama kwa mapenzi yako ya kipumbavu kwa hao wahalifu. Acheni sheria ichukue mkondo wake.
 
Back
Top Bottom