Serikali ya nchi ya chitchat

Serikali ya nchi ya chitchat

Huu u AG una mshiko? Au maamuzi yatakuwa yanafanywa na Mh 'RAHISI' peke yake?
 
Yeah kuna apointment bab kubwa.
Afu Asprin naomba siku ya Jumamosi nikukalie pajani kama nilivyokukalia siku ile pale Brajec.
Uko tayari?
naomba Mwongozo.
Madam B nakuona tu hapa unataka kuhashuana na mume wetu! Kongosho unamuona huyu mja......., mapaja ya mume wetu yamuhusuni???
 
Last edited by a moderator:
QUOTE=Mungi;5218986] Dena Amsi atakuwa naibu waziri wa fedha, we naibu wako atakuwa Bishanga sawa?[/QUOTE]

Mungi umpeleke mke wangu Dena Amsi kwenye ofc yako
Hapo nakataa kabisa na Bishanga bepari la kihaya kumleta ofcn kwangu duh mbona kila siku tutakuwa tunagombana
 
Last edited by a moderator:
Uteuzi unaendelea...................... afu we mikataba yote inapitia kwako unalalamika nini?

Nchi ya asali eh!!Ngoja ntulie!! Nitangulizieni mikataba ya madini ya aina zote kwanza nianze kazi!!20% zitapelekwa moja kwa moja kwenye account yangu ya Uswiss!!
 
Nchi ya asali eh!!Ngoja ntulie!! Nitangulizieni mikataba ya madini ya aina zote kwanza nianze kazi!!20% zitapelekwa moja kwa moja kwenye account yangu ya Uswiss!!

30% Za wizara zote ziwekeni kwenye a/c yangu SWISS
 
Nchi ya asali eh!!Ngoja ntulie!! Nitangulizieni mikataba ya madini ya aina zote kwanza nianze kazi!!20% zitapelekwa moja kwa moja kwenye account yangu ya Uswiss!!

Mikataba yote ya madini mi ntazisaini nje ya nchi
 
Serikali ya kaskazini halafu imetawaliwa na mfumo kristo, naomba kuwe na tume ya mabadiliko ya katiba nitoe maoni yangu


Umejuaje kama majina yote hayo ni wa Kikristo :smiling:
 
CC kuna upendeleo sijawahi kuona yaani hata Unaibu sijapata saweni tu.

Nimewanunia woooote


Hakuna upendeleo wala nini Fanta Face,

Kanuni inayotumika ni ile ile tu ya Mh sana ndugu na Dr JK,

"Kula ili na wewe uliwe".....Uko tayari??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom