Serikali ya nchi ya chitchat

Serikali ya nchi ya chitchat

Mawaziri wote wanaotaka kuleta uasi wote wafutwe kazi mara moja! Kauli ya rais ni AMRI.

well said mkuu............. afu kuna waziri sweetlady anahoji kuwa umenirundikia wizara nyingi, wakati zile ni wizara nyeti na hakuna anayeaminika zaidi yangu
 
Last edited by a moderator:
Serikali ya kaskazini halafu imetawaliwa na mfumo kristo, naomba kuwe na tume ya mabadiliko ya katiba nitoe maoni yangu
 
Serikali ya kaskazini halafu imetawaliwa na mfumo kristo, naomba kuwe na tume ya mabadiliko ya katiba nitoe maoni yangu

afu we Baba V unajua uraia wako una utata......... ukianza kuisumbua serikali halali ya wanachitchat tumaweza kukuhoji uhalali wako kwenye nchi ya chitchat
 
Last edited by a moderator:
Duuuuuuuuuuuuuhhhhhh,

Ingekuwa Ijumaa lazima baraza la mawaziri lingekutana pale nyumbani kwa Preta.......!!

May be twende taratibu...Huyo Filipo ni waziri wa maji yapi??

Hapa itabidi mwalimu gfsonwin atusaidie kabla hataloweshwa!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Na huyo Lily Flower kapewa hiyo wizara kwa sababu ya avatar yake au kuna lingine limeangaliwa??
 
Last edited by a moderator:
Mawaziri wote wanaotaka kuleta uasi wote wafutwe kazi mara moja! Kauli ya rais ni AMRI.

Ndiyo unaibuka, jua hata Raila Odinga aliporwa ushindi na Kibaki. Sasa kabla hujaapishwa na kuwa na power lolote linaweza kutokea.
 
Maadam hili baraza la mawaziri halijawahusisha wake zangu cacico, BADILI TABIA, Yummy na asali Kongosho. Na maadam pia mchumba Zion Daughter hajapewa wizara ya maadili...... Na maadam hili baraza limekaa kikandakanda kama CDM na kidinidini kama CCM.....

Mie ODM kwa heshima najitoa kwenye baraza hili la tukutu.

CC: Prominent members ( Kaizer, Fidel80 tafazali wafahamisheni)

Madame B naomba mwongozo, jumamosi kuna surprise toka kwa prominent Dar Members.
 
Last edited by a moderator:
Dady unipitie nishaandaa mabango yangu! Haiwezekani Mungi ajilundikie mawizara yote hayo!

daughter...we tupia kikamanda nitapita pande yako huko, kwanza haiwezekani kusiwe na waziri wa ndyofu na kilauri.
 
Last edited by a moderator:
well said mkuu............. afu kuna waziri sweetlady anahoji kuwa umenirundikia wizara nyingi, wakati zile ni wizara nyeti na hakuna anayeaminika zaidi yangu

Eer tuangalie uaminifu wao first.
 
Last edited by a moderator:
Maadam hili baraza la mawaziri halijawahusisha wake zangu cacico, BADILI TABIA, Yummy na asali Kongosho. Na maadam pia mchumba Zion Daughter hajapewa wizara ya maadili...... Na maadam hili baraza limekaa kikandakanda kama CDM na kidinidini kama CCM.....

Mie ODM kwa heshima najitoa kwenye baraza hili la tukutu.

CC: Prominent members ( Kaizer, Fidel80 tafazali wafahamisheni)

Madame B naomba mwongozo, jumamosi kuna surprise toka kwa prominent Dar Members.

Yeah kuna apointment bab kubwa.
Afu Asprin naomba siku ya Jumamosi nikukalie pajani kama nilivyokukalia siku ile pale Brajec.
Uko tayari?
naomba Mwongozo.
 
Last edited by a moderator:
heri kujenga daraja kuliko ukuta huyo Erickb52 ni mara mia apewe Bishanga hiyo sector wallah tena atapitisha sheria ya ubakaji halafu watoto wa kwake tu katelekeza
 
CC kuna upendeleo sijawahi kuona yaani hata Unaibu sijapata saweni tu.

Nimewanunia woooote
 
mie nahamia upinzani hii serikali inaonekana imeundwa kimagamba.jamani wenye uchungu na nchi ya cc njooni tuungane huku
 
Maadam hili baraza la mawaziri halijawahusisha wake zangu cacico, BADILI TABIA, Yummy na asali Kongosho. Na maadam pia mchumba Zion Daughter hajapewa wizara ya maadili...... Na maadam hili baraza limekaa kikandakanda kama CDM na kidinidini kama CCM.....

Mie ODM kwa heshima najitoa kwenye baraza hili la tukutu.

CC: Prominent members ( Kaizer, Fidel80 tafazali wafahamisheni)

Madame B naomba mwongozo, jumamosi kuna surprise toka kwa prominent Dar Members.


Kikombe alichonipa Baba, Nisikinywe?
 
Back
Top Bottom