Serikali ya nchi ya chitchat

Serikali ya nchi ya chitchat

Ndoto zingine sijui inamaanisha nini.
ifuatayo ndo list ya uongozi wa nchi ya chitchat!
1. Arushaone - rais
2. Blaki Womani - makamu rais
3. PakaJimmy - PM
4. Filipo - waziri wa maji
5. LiverpoolFC - waziri wa michezo
6. Lily Flower - waziri mali asili
7. Erickb52 - waziri wa jinsia wanawake na wtt
8. Asprin - waziri wa afya


9. Mungi - waziri wa fedha, mambo ya nje, nishati na madini, ujenzi na viwanda na biashara.


10 Mr Rocky - sheria na katiba
11 Preta - IGP
12 sweetlady - waziri ofisi ya waziri wa fedha
13 King'asti - waziri ofisi ya waziri wa nishati
14 Madame B - waziri ofisi ya waziri wa ujenzi
15 Kipipi - waziri ofisi ya waziri wa viwanda
16 Zinduna - waziri wa habari michezo
17 Ruttashobolwa - waziri wa mazingira
18 Judgement - chief justice
19 marejesho - AG
20 Mzee wa Rula - waziri wa elimu
21 manoah (rest in server) - waziri wa ulinzi
22 Smile - waziri wa sayansi
23 Dark City - mkuu wa magereza
24 Kaizer - kilimo
25 watu8 - mkuu wa majeshi
26 FirstLady1 - TISS

NB:
maswali kuhusu kwanini warembo kibao wizara ya fedha, nishati, viwanda na mambo ya nje hayatajibiwa.


Mmmmmhh! Wizara zote hizo! Haikubaliki hata kidogo Mungi
 
Last edited by a moderator:
Ana mme cacico? Kuanzia lini?

Acha umbea wewe mwanaume khaaaaa!!!!!!!!!!
Watu tuna Ring zetu za Tanzanite na Gold vidoleni.
Na kwa taarifa yako,kama ulikuwa na mpango wa kumnyatia umenoa Bishanga.
Utajijuuuuu......!!!!!!!!!!!!!!

Na kama ulikuwa Hujui ni kwamba TUNAKUANDALIA MSUTO MWINGINE Wewe na Baba V,
Mwaka Huu mpaka muhame Jiji.
 
Last edited by a moderator:
Acha umbea wewe mwanaume khaaaaa!!!!!!!!!!
Watu tuna Ring zetu za Tanzanite na Gold vidoleni.
Na kwa taarifa yako,kama ulikuwa na mpango wa kumnyatia umenoa Bishanga.
Utajijuuuuu......!!!!!!!!!!!!!!

Na kama ulikuwa Hujui ni kwamba TUNAKUANDALIA MSUTO MWINGINE Wewe na Baba V,
Mwaka Huu mpaka muhame Jiji.
Kwa taarifa yako hawara yangu wa buguruni malapa anayeitwa bi kidawa jana kanizalia mtoto,tumemwita Havintishi....mi iko itwa baba havintishi,gotcha?
 
Last edited by a moderator:
Kwa taarifa yako hawara yangu wa buguruni malapa anayeitwa bi kidawa jana kanizalia mtoto,tumemwita Havintishi....mi iko itwa baba havintishi,gotcha?

Havintishi?????
Hilo jina au aina ya Burudani.
Utajijuuuuuuu
 
Ndoto zingine sijui inamaanisha nini.
ifuatayo ndo list ya uongozi wa nchi ya chitchat!
1. Arushaone - rais
2. Blaki Womani - makamu rais
3. PakaJimmy - PM
4. Filipo - waziri wa maji
5. LiverpoolFC - waziri wa michezo
6. Lily Flower - waziri mali asili
7. Erickb52 - waziri wa jinsia wanawake na wtt
8. Asprin - waziri wa afya
9. Mungi - waziri wa fedha, mambo ya nje, nishati na madini, ujenzi na viwanda na biashara.
10 Mr Rocky - sheria na katiba
11 Preta - IGP
12 sweetlady - waziri ofisi ya waziri wa fedha
13 King'asti - waziri ofisi ya waziri wa nishati
14 Madame B - waziri ofisi ya waziri wa ujenzi
15 Kipipi - waziri ofisi ya waziri wa viwanda
16 Zinduna - waziri wa habari michezo
17 Ruttashobolwa - waziri wa mazingira
18 Judgement - chief justice
19 marejesho - AG
20 Mzee wa Rula - waziri wa elimu
21 manoah (rest in server) - waziri wa ulinzi
22 Smile - waziri wa sayansi
23 Dark City - mkuu wa magereza
24 Kaizer - kilimo
25 watu8 - mkuu wa majeshi
26 FirstLady1 - TISS

NB:
maswali kuhusu kwanini warembo kibao wizara ya fedha, nishati, viwanda na mambo ya nje hayatajibiwa.

mama ndo mpanga bajet sa washangaa nin hata ukiacha buku utakuta kuku chezeiya kisa cha mpemba
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom