Serikali ya nchi ya chitchat

Serikali ya nchi ya chitchat

heri kujenga daraja kuliko ukuta huyo Erickb52 ni mara mia apewe Bishanga hiyo sector wallah tena atapitisha sheria ya ubakaji halafu watoto wa kwake tu katelekeza

Maumivu ya kichwa huanza pooolepole.....!!, wapi Bishanga
 
Last edited by a moderator:
heri kujenga daraja kuliko ukuta huyo Erickb52 ni mara mia apewe Bishanga hiyo sector wallah tena atapitisha sheria ya ubakaji halafu watoto wa kwake tu katelekeza

Mke wangu leo nimeamini unanipenda,mmmmwwwaaaa!!!!!
 
Mbona mimi sipo?? Acha mambo yako weweee mi nakata rufaaa!!
 
Atteeeeeeeeeention:
Serikali ya Mungy imepinduliwa,kuanzia sasa Rais mpya ni koplo bishanga,aide de camp wangu nimemteua Nyani Ngabu,bodegadi wa mke wangu mama The secretary bishanga atakuwa ni phina.
 
Last edited by a moderator:
Duuuuuuuuuuuuuhhhhhh,

Ingekuwa Ijumaa lazima baraza la mawaziri lingekutana pale nyumbani kwa Preta.......!!

May be twende taratibu...Huyo Filipo ni waziri wa maji yapi??

Hapa itabidi mwalimu gfsonwin atusaidie kabla hataloweshwa!

Babu DC!!


hahahhah! babu banaaaa umesahau kwamba Filipo ni mtaalam wa kurusha maji yeye na mzabzab na Bazazi??
 
Last edited by a moderator:
Duuuuuuuuuuuuuhhhhhh,

Ingekuwa Ijumaa lazima baraza la mawaziri lingekutana pale nyumbani kwa Preta.......!!

May be twende taratibu...Huyo Filipo ni waziri wa maji yapi??

Hapa itabidi mwalimu gfsonwin atusaidie kabla hataloweshwa!

Babu DC!!

Ni kama yale maji ya pale Narok! Nitahakikisha mengi ni yale ya kwenye chupa za "chani kiwiti!"
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom