Mikataba yote ya madini mi ntazisaini nje ya nchi
6. Lily Flower - waziri mali asili
Hizi lawama sina kikapu cha kubebea yaani twiga wakae mbali na mimi no no no.................. mie nauza mechi, kwa mtu yeyote anayetaka pozisheni yangu tuwasiliane kwa njia yeyote ile.
Mke wangu leo nimeamini unanipenda,mmmmwwwaaaa!!!!!
Afu ukileta mchezo nakurudisha kwenu Rwanda........................... fanya kazi ukishindwa utateuliwa kuwa house girl wa waziri wa nishati na madini sawa bibie?
Honey upo?Hiyo nchi itakuwa ya kifisadi tu
unaota
Mie nishauza pozisheni bhana hili balaa siliwezi.
Endelea kufungasha BAGS, maofisa wa TISS wanakuja kukupeleka airport kwenda KIGALI kwenu na pale RWANDA utapokelewa na mwambata wa jeshi.
mbona haujitetei kuwa una ndoa na mmoja wa mawaziri wake?
unaota
Honey upo?
Safi sana mnikatie tiketi za fastjet kama hawaendi huko kwetu Rwanda am here to stay.
Bora nijirudie zangu chit chat nilikuwa jukwaa la siasa nikaona kuna watiu wako hai sababu ni dhambi kuwaua,na ningeendelea kubaki huko nilngekuwa nakaribisha BAN ambayo sijawahi kuipata...