Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,512
- 86,061
Kwanini mnaleta masiala kwenye maisha ya Watu? Kwanini mnakua na maono hafifu kiasi hiki? Ni rasmi kuanzia Leo wamiliki WA hospital Binafsi wamesitisha kupokea Bima za Afya za NHIF ambazo wanaotumia zaidi ni watu WA kipato cha chini.
Siamini kabisa kwamba Serikali nzima ya CCM imekosa MTU mwenye busara hata mmoja kushauri juu ya kushapaza shingo huku? Ni kweli tunaweza kufanya masiala Juu ya Afya za Watu kwa kiasi hiki?
Tuna Nchi yenye Viongozi WA ajabu kuwahi kutokea Nchi hii. Juzi Kati waingiza mafuta walilalamika na kuandika barua Kabisa, Nani anayejua, Kesho na wao wakigoma itakuaje? Kila MTU Yuko kimya. Mwisho sio mwema.
Siamini kabisa kwamba Serikali nzima ya CCM imekosa MTU mwenye busara hata mmoja kushauri juu ya kushapaza shingo huku? Ni kweli tunaweza kufanya masiala Juu ya Afya za Watu kwa kiasi hiki?
Tuna Nchi yenye Viongozi WA ajabu kuwahi kutokea Nchi hii. Juzi Kati waingiza mafuta walilalamika na kuandika barua Kabisa, Nani anayejua, Kesho na wao wakigoma itakuaje? Kila MTU Yuko kimya. Mwisho sio mwema.